Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii
Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.
Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!
The hell no!!!
Umeyataka mwenyewe...
wewe ni pombe ya ngomani kila mlevi anajichotea
Aaaaaaaah wapi! Kasome upyaaa nimeboreshaa zaidi usemi wangu.
Dah! wanawake ukiwaelewa ni watu wenye huruma sana. Baada ya kuachana nae hujakutana na mwanaume mwingine kwa miaka2, unakuja kukutana nae huyo huyo tena na anakuchezea. Pole sana. Ndiyo mapenzi yalivyo.
Good for you.SO TRUE AND THIS BEACH GOT LUCKY THIS TIME IS ABOUT TO BANG A GERMAN SHEPHERD!!!!!!!!! Chiwawa take several seats back and pack well jor! Its gonna be a long ride. I have edited make sure you read!:becky:
Dont be unecessarily mean and rude. Muwe na huruma ndugu zangu, itikadi za BOYS TO MEN hapa zinamnyongonyeza victim.
Nimejiona mpumbavu sana kumruhusu binadamu huyu kuchezea moyo wangu kwa mara ya pili.
Mpaka anakuja huyu mwanaume sikuwa nimefanya mapenzi kwa miaka miwili, uone tu jinsi ninavyojiheshimu.
Mmmmh!!!
Hivi hiyo post ya Watu8 inaonesha u-rudeness?
Mbona mleta mada kajiita hivi...
No niliachana nae 2003, baada ya hapo alioa, alianza kurudi kwangu 2010. Ilikuwa miaka miwili tangu nikutane na mwanaume last.
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii
Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.
Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!
Hahahahaaaa! Alikuwa anatafuta SYMPATHY sasa ndo mtu anatishia kujiua, unamtaarifu kaburi tayari na cement ya kusakafia pia tayari, andelee tu kinachosubiriwa ni utekelezaji. :becky:
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii
Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.
Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!
Yaani hicho kinaniuma Zaidi, alipokuwa BF kwa zamani tulivaa mpira, juzi ilikuwa kavu!!!