Ameni-dump kwa mara ya pili

Ameni-dump kwa mara ya pili

Dah! wanawake ukiwaelewa ni watu wenye huruma sana. Baada ya kuachana nae hujakutana na mwanaume mwingine kwa miaka2, unakuja kukutana nae huyo huyo tena na anakuchezea. Pole sana. Ndiyo mapenzi yalivyo.
 
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii

Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.


Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!


Go go go girl!!!
 
Dah! wanawake ukiwaelewa ni watu wenye huruma sana. Baada ya kuachana nae hujakutana na mwanaume mwingine kwa miaka2, unakuja kukutana nae huyo huyo tena na anakuchezea. Pole sana. Ndiyo mapenzi yalivyo.

No niliachana nae 2003, baada ya hapo alioa, alianza kurudi kwangu 2010. Ilikuwa miaka miwili tangu nikutane na mwanaume last.
 
SO TRUE AND THIS BEACH GOT LUCKY THIS TIME IS ABOUT TO BANG A GERMAN SHEPHERD!!!!!!!!! Chiwawa take several seats back and pack well jor! Its gonna be a long ride. I have edited make sure you read!:becky:
Good for you.
 
Huenda amekuta kilichomkimbiza bado kipo. Inauma lakini kuna uwezekano huo pia
 
Dont be unecessarily mean and rude. Muwe na huruma ndugu zangu, itikadi za BOYS TO MEN hapa zinamnyongonyeza victim.

Mmmmh!!!

Hivi hiyo post ya Watu8 inaonesha u-rudeness?

Mbona mleta mada kajiita hivi...

Nimejiona mpumbavu sana kumruhusu binadamu huyu kuchezea moyo wangu kwa mara ya pili.
 
Thats wat i call "pure living" damn it thats soo irritatn but a "pure leason too" hopeful you leant alot next time just visualize wat was done unto you and you'll discover dat you had been used as a vodka for calmn the stress and the tables turned..!dont you have a "Men" than being used as a vocher
 
Mpaka anakuja huyu mwanaume sikuwa nimefanya mapenzi kwa miaka miwili, uone tu jinsi ninavyojiheshimu.

nani alikwambia kuwa kipolo cha makande ukikipasha ninakuwa fesh as if kimepikwa leo??? Poleee
 
Mmmmh!!!

Hivi hiyo post ya Watu8 inaonesha u-rudeness?

Mbona mleta mada kajiita hivi...

Hahahahaaaa! Alikuwa anatafuta SYMPATHY sasa ndo mtu anatishia kujiua, unamtaarifu kaburi tayari na cement ya kusakafia pia tayari, andelee tu kinachosubiriwa ni utekelezaji. :becky:
 
No niliachana nae 2003, baada ya hapo alioa, alianza kurudi kwangu 2010. Ilikuwa miaka miwili tangu nikutane na mwanaume last.


Itakuwa alipanga mapema na alijua atapata safari ya huko, ili asiwe mpweke ndiyo akatafuta "Easy target" ya kujivinjari nayo, ambayo ni wewe. Na inaonekana anajua udhaifu wako mpaka kufanikiwa kukurudisha tena. Usiogope ni kawaida sana katika mapenzi mambo kama hayo ingawa yanauma sana.
 
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii

Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.


Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!

Kidemu cha mizingaaa ndio unatutangazia kwamba unauzaa eheee
 
Hahahahaaaa! Alikuwa anatafuta SYMPATHY sasa ndo mtu anatishia kujiua, unamtaarifu kaburi tayari na cement ya kusakafia pia tayari, andelee tu kinachosubiriwa ni utekelezaji. :becky:

Hahaha hapana buanaaa...

Nilitaka ajue kuwa kosa limetokana na yeye mwenyewe...

Ila bahati nzuri kashatambua kuwa alikutana na bazazi...
 
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii

Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.


Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!

ndo maana wanasema ukitaka kupasha kipolo pasha cha ubwabwa tuuu! Otherwise ukijifanya una huruma kwa wanaume utakuwa zaidi ya mtumwa, komaa na hilo danga lako akishindwa a log out mwenyewe.
 
Back
Top Bottom