Ameni-dump kwa mara ya pili

Ameni-dump kwa mara ya pili

Sky Esclat, msiwe mnatukubari haraka haraka hivyo. Wengine huwa hatupendi. Tunatamani tu. Pole yako
 
Pole mwaya ndiyo unakomaa hivyo,
Baadae hawatakusumbua kabisaaa...!!!
Maana moyo utakua ushapoa, wa baridiiiii.
Kikubwa,asiwe kakuachia Magonjwa au mtoto ambaye hutakua na furaha nae.

Jamani kama kuna kutendwa mie nilitendwa jamani!! LAKINI SIO NA MUME WA MTU. (Uzuri hakuna ex wangu alieoa hadi nimeanza mimi) Yani hiyo ya kuachwa na kurudiwa ni mbaya mno! Usirudie tena, Mahusiano yakiisha yameisha hata ubembeleze vipi.

Usirudie tena, yani natamani nikuambie huku nakutazama usoni. Wanaume wana tamaa mno, na ukishaona anakuletea matani yenye giza mkimbie mapema.
Nahisi sitamaliza hapa.

Siyo mume wa mtu ndoa imesambaratika kama ni mahusiano yatakuwa mapya, mvua zilianza kunyesha siku ya mwisho kabla hajaondoka kwahiyo mimba hakuna. Asante sana.
 
Siyo siri nilimpenda sana, nikadhani this time round amemiss penzi langu.

Ndo maana nimekuambia makosa ni ya binadamu. Nyani au wanyama hawakosei maana hawana akili ya kutofautisha jema na baya
 
Dont be unecessarily mean and rude. Muwe na huruma ndugu zangu, itikadi za BOYS TO MEN hapa zinamnyongonyeza victim.

Exactly, halafu kwa kuwa ndoa ya jamaa ilishavunjikaga ilikuwa ni rahisi bidada kuamini ni fursa yake kuolewa sasa, I think any one could have been trapped in easily coz these people knew each other before, were in a relationship before so kumlaumu bidada ni kumkosea kwa kweli
 
Kaaaa...
Kweli kuna watu hawathamini nyuchi zao.. Pole sn
 
Hayo ndio yanaitwa maisha, one mistake two goals, mwenzio alikuwa anatafuta kipozeo maana Dar baridi. Kutoa pichu sio guarantee, ndio shida ya kuongozwa na moyo zaidi kuliko ubongo

Pole sana, it's not the end of the world.Move on

Daaaa.. Ila wanaume ni nyokooooo (si wote). Unaweza kujinyonga ati.
 
Binafsi nakushauri usifanye kitu yako kuwa kitega uchumi chako,usiendeshwe na njaa za tumbo...kabla hujafanya jambo jiridhishe vyakutosha,umeumia na yeye atalipwa....wanawake huwa nyie ni hodari sana kwa kuwaumiza wanaume ila wanaume siyo wepesi kupiga kelele...
 
Kwa kweli anakudharau sana na nafikiri zamu ijayo akija utampatia tu papuchi
 
Pole sana, kumbe wengi tunakumbwa na haya mambo, nilidhani niko peke yangu. I have been in a similar situation, it is very painful but life ani't always fair my girl. I have been dumped for a second time and still struggling to get a hold of my self but unlike you and lucky me I didn't sleep with the guy for the second time, nilifanikiwa kumkwepa, nafikiri ningeumia zaidi.
Tulikuwa wapenzi enzi hizo, I was a teenager, he was in his early 20s, though years have passed sitasahau the day he dumped me, in cold blood, I could say. He was like kuna mtu tumetoka naye mbali aliniacha nikiwa bado nampenda ila sasa karudi, lazima nimheshimu, so it is over baby girl. Sikutegemea, I went numb, I was hurt, I felt stupid and ugly, I wanted to just lay down and die, I was angry, not at him, but at myself for loving him still even when he said it was over.

Kwa kuwa tulikuwa bado vijana wadogo sana tulikuwa katika mazingira ya kujificha wakati wa hilo tukio, nakumbuka nilikuwa nimetoroka home and it was dark already, jamaa baada ya kuniambia upuuzi wake akaniacha hapo hapo to find my own way home.

I desparately I needed someone to hold and comfort me then but there was no one only darkness. I had to cross a wide golf course to return home, kawaida alikuwa akinisindikiza coz uwanja wa golf ulikuwa ni eneo hatarishi kidogo, machokoraa wengi, but siku hiyo nadhani alichagua kuniacha nikafie mbali. Kwani niliogopa hata kupita hapo peke yangu siku hiyo? The the way I was hurt hata mtu angetaka kuniua I was ready and I wouldn't even feel the pain because there was too much pain inside me already. Sikusikia woga wowote ule na wala kile kiza nilikuwa sikioni.

Bahati nzuri kabla ya kufika home nikapitia kwa rafiki kuchukua vitabu vya homework ikawa ndio kisingizio kuwa nimetoka kuazima vitabu, sikufanywa lolote.

Maisha yakaendelea baada ya hapo na eventually nikajifunza kumsahau, japo kwa taabu sana. Alinifanya niogope sana wanaume, nilipokuwa chuo nilikuwa mtazamaji, marafiki wana boyfriends mimi natazama tu, niliua kabisa hisia za kupenda mwanaume, sikupenda kitu chochote romantic kama music, movies etc.

Nikiwa chuo hakukuwa tena na mawasiliano yoyote kati yetu. Nikiwa mwaka wa pili chuo nilirudi home likizo, the dumper alijaribu kunitafuta tena, sijui nani alimtaarifu kama nipo coz mimi sikuwa nawasiliana nae kabisa. Siku hiyo akaja home kaingia hadi ndani, ilikuwa usiku na mother, mkali sana kipindi hicho, alikuwepo, sijui alipata wapi guts za kuja kwetu kwani mother alikuwa anasifika sana kwa ukali. I was stunned na sikuweza kuongea, nilibaki namtazama tu, sikumbuki alisema nini but nikaitwa na tukatoka nae nje. Kwa kweli siyakumbuki mazungumzo ya siku hiyo, alikuwa anasema tu umekua mkubwa, blah, blah akataka tutoke nikasema siruhusiwi baada ya muda akaondoka, I guess he was just checking me out. Hatukuonana tena baada ya hapo, nikasikia alienda US.

Come years later ananitafuta kwenye facebook, anataka kujua intimate details za maisha yangu, alipojua nipo single akaanza kuniita baby girl na chats za usiku wa manane zikaanza. Nikikumbuka aliyonifanyia nyuma sikuonesha interest yoyote kwake. Kumbe yule mdada aliyesababisha niachwe alikuja kumuacha dumper wangu na akaolewa na mzungu. The dumper naye akaoa mzungu ila aka divorce baadaye. Wakati ananitafuta tena kwa facebook alikuwa anadate na mtu online, nika loose kabisa interest naye baada ya kujua hivyo, nikapunguza mawasiliano naye mwisho ikawa kimya kabisa.

Miaka kama miwili ikapita akanitafuta tena December last year, sikuhiyo napokea message facebook messenger, hey baby girl, still single and free? By then I was very single and lonely na nilikuwa napitia kipindi kigumu sana, nikamuuliza hujaoa tu? Akasema yuko free, so tukaanza kuchat na nikarudisha tena feelings zangu kwake, what a stupid mistake! Again! Akasema Easter this year atakuja home lazima tuonane.

Zilipokaribia siku za kuja huku akapunguza sana mawasiliano, mwanzo nilifikiri yuko busy sana na kubeba box, iliweza hata kupita hata wiki kimya, message zangu hajibu. Nilipomuuliza alijibu ubize tu mama, hamna jingine.

Then one morning he called, akaniambia ana mtu wake miaka minne sasa ingawa huyo dada yuko Bongo na yeye yuko US na wana mipango ya kurasimisha mahusiano yao. Mpango wa kuja home Easter bado alikuwa nao na bado akawa anataka aje kwangu akidai nikimshawishi atabaki na mimi. Kwa kweli baada ya kuambiwa hayo siku yangu ikaharibika na hata kazini nilikuwa kama zombie.

This guy has emotionally tortured me so much and is still tormenting me. Nikajiuliza katumwa na nani kunitesa? Nilikuwa nimeshamsahau miaka mingi na maumivu yangu yalishapona, nani alimtuma anitafute tena na huku akijua ana mtu wake? Na kwanini anitafute wakati niko vulnerable halafu aniache tena kwa mara nyingine na kuamsha upya maumivu yangu?

Halafu kwanini atake kuja kwangu na huku ana mtu mwingine? Sikumkatalia directly kuja kwangu ila nilimwambia sitakuwepo kwangu kipindi chote ambacho atakuwepo bongo na bahati nzuri nilipata safari ya kikazi kipindi hicho hicho hivyo sikuwa nimemdanganya, hiyo safari ilinifanya niwe busy sana kiasi cha kunipunguzia mawazo.

Sikumtafuta, hakunitafuta hadi kaondoka bongo mwezi uliopita. Siku tatu zilizopita he called me, saa kumi usiku ya kwao, kalewa chakari, still asking if I was free, blah, blah nyingi sana. Ila kwa kuwa alishanikatisha tamaa I didn't pay attention to his rantings, hiyo ikaja kuwa tabia akiwa na stress zake analewa sana halafu ananipigia simu analalamika wee kuhusu maisha yake, sijui nimweke fungu gani ila nafasi yake kwangu haipo tena.
 
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii

Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.


Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!
only prostitutes get paid for sex
 
Siyo mume wa mtu ndoa imesambaratika kama ni mahusiano yatakuwa mapya, mvua zilianza kunyesha siku ya mwisho kabla hajaondoka kwahiyo mimba hakuna. Asante sana.

Inamaana ulifanya kavukavu?mbona mnajitoa mhanga hivyo?please..
 
Back
Top Bottom