Yaani hicho kinaniuma Zaidi, alipokuwa BF kwa zamani tulivaa mpira, juzi ilikuwa kavu!!!
Yaani hicho kinaniuma Zaidi, alipokuwa BF kwa zamani tulivaa mpira, juzi ilikuwa kavu!!!
chukua soda kwa mangi nakuja kulipa
Yaani hicho kinaniuma Zaidi, alipokuwa BF kwa zamani tulivaa mpira, juzi ilikuwa kavu!!!
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii
Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.
Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!
Dont be unecessarily mean and rude. Muwe na huruma ndugu zangu, itikadi za BOYS TO MEN hapa zinamnyongonyeza victim.
Kumbe unauza
Pole shogaaa! MEN ARE DOGS! mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii
Mi mwenzio shogaaa siku hizi bila kuiona pesaaaa hivi, sitoi CHIU! Yaani SITOIIIII. I love you zijae kiroba na kumwagika, chupi imetulia kiunoni. Ukicheka na wanaume watakukopa kila siku bila riba. Ooooooohhhhhh! Mtu hata nimpende vipi asipojiongeza kufungua pochi tutapiga story basi. Chezea wanaume wewe.
Ila wanaumewema wapo wapo wachache wakuhesabu. Nashukuru Mungu jf humu miaka 3 juzi ndo kuna danga moja nimelibaatisha juzi, lilikuwa siku nyingi linajiongeza ila nikawa sijalichukulia serious, toka 2012 juzi hapa ndo nimeligundua, kila siku linanitoa 100,000/=. Nikifanya koooh 100,000/= hii hapa. Niseme nini. Hanijui simjui, haliombi chiu wala nini. Just kindness. Sahivi nimeambiwa nitafute biashara anikopeshe hela mpo hapoooo? Haloooooo! Mtu na nyota yangu. Humu humu JF wala sio mbali. SO GOOD MEN ARE STILL THERE ILA NDO ONLY FEW. Hili danga likiendelea hivi nitalifosishia chiu kwa nguvu tka lisitake.:becky: Na silitaji ngoooooooooo hamkawii kuni overtake! Hangaikeni na hayo hayo masanturaaaa ya mkopo!:becky: Ngoja niishie hapa mdomo uliponza kichwa! Okay Bye!
best mwingne tena??? mana mwanasiasa alishakusaula. hebu nitafutie mmoja wa kuchuna mana unavyojua kunusa pesa nimekunyoshea miguu.
Mimi naona unampenda sana sema hukuelewa kwamba ulitafutwa kwasababu ya kum entertain kwa kipindi hicho cha mkutano.
Hongera kwa kuonyesha kumpenda ila next time jitahidi kuwa makini.
Makosa ni ya binadamu.
Haya ni kawaida sana katika ulimwengu wa mapenzi, sema tu wengi hawasemi, pia kukaa two years bila kukulwa nakupongeza sana aisee! Endelea kufurahi maisha yako wala hakuna haja ya kuumia!