Ambao hatukuitwa kwenda JKT tunapata wakati mgumu katika kuomba ajira, vigezo vinahitaji aliyepita JKT tunaomba ushauri tufanye nini?
Miaka ya Nyuma baada ya kumaliza kidato cha sita katika shule nafasi zilitoka kwa kuchagua idadi fulani ya wanafunzi kwenda kwenye mafunzo ya JKT -Mujibu wa sheria ambao hatukupata nafasi hiyo ya kuchaguliwa
Sasa tunahangaika na kuomba nafasi za ajira , kila ukiona tangazo kigezo mojawapo ni Lazima awe amepitia mafunzo ya JKT
Tunaomba ushauri tufanye nini? Kulikua na ulazima gani wa kuweka kigezo hicho ilihali mnajua hakuweza kuwapa nafasi ya kuwapeleka wanafunzi wote huko?
Tunaomba ushauri na mapendekezo tufanye nini tunaopitia hali hii?
Miaka ya Nyuma baada ya kumaliza kidato cha sita katika shule nafasi zilitoka kwa kuchagua idadi fulani ya wanafunzi kwenda kwenye mafunzo ya JKT -Mujibu wa sheria ambao hatukupata nafasi hiyo ya kuchaguliwa
Sasa tunahangaika na kuomba nafasi za ajira , kila ukiona tangazo kigezo mojawapo ni Lazima awe amepitia mafunzo ya JKT
Tunaomba ushauri tufanye nini? Kulikua na ulazima gani wa kuweka kigezo hicho ilihali mnajua hakuweza kuwapa nafasi ya kuwapeleka wanafunzi wote huko?
Tunaomba ushauri na mapendekezo tufanye nini tunaopitia hali hii?