Amani itapatikana Mashariki ya Kati kwa Wapalestina kukiri Israel ni Familia teule, takatifu yenye baraka zote za Mungu wao aliye wa kweli

Amani itapatikana Mashariki ya Kati kwa Wapalestina kukiri Israel ni Familia teule, takatifu yenye baraka zote za Mungu wao aliye wa kweli

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
4,188
Reaction score
9,165
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao

Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu

Watambue kuwa kushindana na wsteule hao ni kushindana na Mungu na hilo kamwe haliwezekana ni sawa na kupiga ngumi ukuta wa chuma

Niwasihi na kuwaomba sana watafakari njia zao na wafanye uamuzi wa kukubali kuishi kwa amani na familia hiyo teule ya uzao wa moja kwa moja wa Ibrahim na Sara

Niwatakie siku njema
 
FB_IMG_17468880105220441.jpg
 
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao

Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu

Watambue kuwa kushindana na wsteule hao ni kushindana na Mungu na hilo kamwe haliwezekana ni sawa na kupiga ngumi ukuta wa chuma

Niwasihi na kuwaomba sana watafakari njia zao na wafanye uamuzi wa kukubali kuishi kwa amani na familia hiyo teule ya uzao wa moja kwa moja wa Ibrahim na Sara

Niwatakie siku njema
Una sali kanisa gani mkuu ?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao

Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu

Watambue kuwa kushindana na wsteule hao ni kushindana na Mungu na hilo kamwe haliwezekana ni sawa na kupiga ngumi ukuta wa chuma

Niwasihi na kuwaomba sana watafakari njia zao na wafanye uamuzi wa kukubali kuishi kwa amani na familia hiyo teule ya uzao wa moja kwa moja wa Ibrahim na Sara

Niwatakie siku njema
Huo NI ukweli dhahiri wako billion 2 pamoja na mungu wao mmoja muweza wa yote hajazaa na Hana mshirika lakini mteule bado anawajambisha wote Maamae.

Adiosamigo green rajab Ritz mdogoye ITR kimsboy Malaria 2

Nyau de adriz
 
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao

Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu

Watambue kuwa kushindana na wsteule hao ni kushindana na Mungu na hilo kamwe haliwezekana ni sawa na kupiga ngumi ukuta wa chuma

Niwasihi na kuwaomba sana watafakari njia zao na wafanye uamuzi wa kukubali kuishi kwa amani na familia hiyo teule ya uzao wa moja kwa moja wa Ibrahim na Sara

Niwatakie siku njema
Ila ukoo wenu ni ukoo teule wa shetani? Pumbavu waafrika sijui huu ufala wamefundishwa na Nani aisee
 
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao

Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu

Watambue kuwa kushindana na wsteule hao ni kushindana na Mungu na hilo kamwe haliwezekana ni sawa na kupiga ngumi ukuta wa chuma

Niwasihi na kuwaomba sana watafakari njia zao na wafanye uamuzi wa kukubali kuishi kwa amani na familia hiyo teule ya uzao wa moja kwa moja wa Ibrahim na Sara

Niwatakie siku njema
Wapalestina au waarabu hawana shida na mayahudi, wameishi kwa pamoja kwa mianga mingi tu, shida ipo kwa wazungu waliyojivika uyahudi na kuanzisha uzayuni ili wapate kuitawala mashariki ya kati ambayo kwa kipindi fulani ilikuwa tishio kwa wazungu.
Ulichosema ni mtazamo unaoshikiliwa na watu wengi—hasa wale wanaounga mkono haki za Wapalestina. Kwa mujibu wa historia:
Ni kweli kwamba:
  • Wayahudi, Wapalestina, na Waarabu waliwahi kuishi pamoja kwa amani kwa karne nyingi katika maeneo kama Palestina, Iraq, Morocco, na Yemen, kabla ya kuibuka kwa siasa za kizayuni.
  • Mfarakano mkubwa ulianza karne ya 20, pale ambako:
    • Wazayuni (hasa kutoka Ulaya ya Kati na Mashariki) walihamia Palestina kwa wingi wakitaka kuanzisha taifa la Kiyahudi.
    • Hii ilianza kuleta mvutano na jamii ya Kiarabu waliokuwa huko kwa karne nyingi.
    • Uingereza (kupitia Balfour Declaration 1917) ilisaidia azma ya Wazayuni, jambo lililowakera Waarabu.
Hivyo, watu wengi hutofautisha kati ya:
  • Uyahudi (dini/kabila),
  • Uzayuni (itikadi ya kisiasa), na
  • "Wazungu waliovaa Uyahudi" — mtazamo kuwa baadhi ya Wazayuni wa Ulaya walitumia Uyahudi kama kinga au kichaka cha kisiasa na kikoloni.
Hili ndilo limeibua hoja kwamba Uzayuni ni mradi wa ukoloni wa kisasa (settler colonialism) ulioanzishwa na watu wa Ulaya kuutawala Mashariki ya Kati kwa maslahi yao.
  • Watu wengi wa Kiarabu hawana tatizo la kidini au kiasili na Uyahudi.
  • Tatizo kuu limekuwa uzayuni kama itikadi ya kisiasa ya ukoloni na ubaguzi, si Uyahudi kama dini au watu.
Kuna wayahudi wengi duniani wanaokemea waziwazi vitendo vya Wazayuni—hasa sera na matendo ya serikali ya Israeli dhidi ya Wapalestina.

Watu hawa mara nyingi hufanya tofauti kati ya:
  • Uyahudi: dini na utamaduni wa watu wa Kiyahudi, na
  • Uzayuni: itikadi ya kisiasa inayounga mkono kuanzishwa na kupanuliwa kwa taifa la Kiyahudi katika ardhi ya Palestina (Israeli ya sasa).
️ Makundi au watu mashuhuri wa Kiyahudi wanaokemea Uzayuni au sera za Israeli ni kama:
  1. Neturei Karta
    • Kundi la Wayahudi wa Korthodoksi (Hasidic) wanaokataa kabisa Uzayuni.
    • Wanaamini kwamba Wayahudi wanapaswa kuishi kwa amani kokote walipo, na kwamba taifa la Kiyahudi linapaswa kuanzishwa na Masihi, si kwa juhudi za kibinadamu.
    • Wamewahi kuunga mkono Wapalestina hadharani na kupinga vikali matendo ya Israeli.
  2. Jewish Voice for Peace (JVP) – lenye makao Marekani
    • Kundi la Wayahudi wa msimamo wa kati na kushoto linalotetea haki za Wapalestina, kusitishwa kwa uvamizi, na amani ya haki.
    • Wanakosoa serikali ya Israeli na kupinga ujeshi na matumizi ya nguvu dhidi ya Wapalestina.
  3. Wanazuoni, wanaharakati, na marabi wengi wa Kiyahudi
    • Watu kama Noam Chomsky, Norman Finkelstein, na Rabbi Dovid Feldman wamekuwa wakikosoa vikali jinsi Israeli inavyowatendea Wapalestina.
Ujumbe wa kawaida kutoka kwa Wayahudi hawa ni:
  • “Si kwa jina letu” – wakimaanisha hawataki Uyahudi wao utumike kuhalalisha unyanyasaji au ukatili.
  • Wito wa haki, haki za binadamu, na kuishi kwa amani kati ya Wayahudi na Wapalestina.
  • Kusisitiza kuwa kupinga Uzayuni si sawa na kuwa mpinga-Wayahudi (antisemitism) — jambo muhimu sana katika mjadala huu.
Haya mambo yanataka elimu zaidi kuliko mihemko ya kinadharia.
 
Wapalestina au waarabu hawana shida na mayahudi, wameishi kwa pamoja kwa mianga mingi tu, shida ipo kwa wazungu waliyojivika uyahudi na kuanzisha uzayuni ili wapate kuitawala mashariki ya kati ambayo kwa kipindi fulani ilikuwa tishio kwa wazungu.
Ulichosema ni mtazamo unaoshikiliwa na watu wengi—hasa wale wanaounga mkono haki za Wapalestina. Kwa mujibu wa historia:
Ni kweli kwamba:
  • Wayahudi, Wapalestina, na Waarabu waliwahi kuishi pamoja kwa amani kwa karne nyingi katika maeneo kama Palestina, Iraq, Morocco, na Yemen, kabla ya kuibuka kwa siasa za kizayuni.
  • Mfarakano mkubwa ulianza karne ya 20, pale ambako:
    • Wazayuni (hasa kutoka Ulaya ya Kati na Mashariki) walihamia Palestina kwa wingi wakitaka kuanzisha taifa la Kiyahudi.
    • Hii ilianza kuleta mvutano na jamii ya Kiarabu waliokuwa huko kwa karne nyingi.
    • Uingereza (kupitia Balfour Declaration 1917) ilisaidia azma ya Wazayuni, jambo lililowakera Waarabu.
Hivyo, watu wengi hutofautisha kati ya:
  • Uyahudi (dini/kabila),
  • Uzayuni (itikadi ya kisiasa), na
  • "Wazungu waliovaa Uyahudi" — mtazamo kuwa baadhi ya Wazayuni wa Ulaya walitumia Uyahudi kama kinga au kichaka cha kisiasa na kikoloni.
Hili ndilo limeibua hoja kwamba Uzayuni ni mradi wa ukoloni wa kisasa (settler colonialism) ulioanzishwa na watu wa Ulaya kuutawala Mashariki ya Kati kwa maslahi yao.
  • Watu wengi wa Kiarabu hawana tatizo la kidini au kiasili na Uyahudi.
  • Tatizo kuu limekuwa uzayuni kama itikadi ya kisiasa ya ukoloni na ubaguzi, si Uyahudi kama dini au watu.
Kuna wayahudi wengi duniani wanaokemea waziwazi vitendo vya Wazayuni—hasa sera na matendo ya serikali ya Israeli dhidi ya Wapalestina.

Watu hawa mara nyingi hufanya tofauti kati ya:
  • Uyahudi: dini na utamaduni wa watu wa Kiyahudi, na
  • Uzayuni: itikadi ya kisiasa inayounga mkono kuanzishwa na kupanuliwa kwa taifa la Kiyahudi katika ardhi ya Palestina (Israeli ya sasa).
️ Makundi au watu mashuhuri wa Kiyahudi wanaokemea Uzayuni au sera za Israeli ni kama:
  1. Neturei Karta
    • Kundi la Wayahudi wa Korthodoksi (Hasidic) wanaokataa kabisa Uzayuni.
    • Wanaamini kwamba Wayahudi wanapaswa kuishi kwa amani kokote walipo, na kwamba taifa la Kiyahudi linapaswa kuanzishwa na Masihi, si kwa juhudi za kibinadamu.
    • Wamewahi kuunga mkono Wapalestina hadharani na kupinga vikali matendo ya Israeli.
  2. Jewish Voice for Peace (JVP) – lenye makao Marekani
    • Kundi la Wayahudi wa msimamo wa kati na kushoto linalotetea haki za Wapalestina, kusitishwa kwa uvamizi, na amani ya haki.
    • Wanakosoa serikali ya Israeli na kupinga ujeshi na matumizi ya nguvu dhidi ya Wapalestina.
  3. Wanazuoni, wanaharakati, na marabi wengi wa Kiyahudi
    • Watu kama Noam Chomsky, Norman Finkelstein, na Rabbi Dovid Feldman wamekuwa wakikosoa vikali jinsi Israeli inavyowatendea Wapalestina.
Ujumbe wa kawaida kutoka kwa Wayahudi hawa ni:
  • “Si kwa jina letu” – wakimaanisha hawataki Uyahudi wao utumike kuhalalisha unyanyasaji au ukatili.
  • Wito wa haki, haki za binadamu, na kuishi kwa amani kati ya Wayahudi na Wapalestina.
  • Kusisitiza kuwa kupinga Uzayuni si sawa na kuwa mpinga-Wayahudi (antisemitism) — jambo muhimu sana katika mjadala huu.
Haya mambo yanataka elimu zaidi kuliko mihemko ya kinadharia.
Wadau hamjamboni nyote?

Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao

Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu

Watambue kuwa kushindana na wsteule hao ni kushindana na Mungu na hilo kamwe haliwezekana ni sawa na kupiga ngumi ukuta wa chuma

Niwasihi na kuwaomba sana watafakari njia zao na wafanye uamuzi wa kukubali kuishi kwa amani na familia hiyo teule ya uzao wa moja kwa moja wa Ibrahim na Sara

Niwatakie siku njema
Tatizo la hawa Waislamu ni Uongo uliopitiliza wakifikiri bado wanaishi Dunia ya zamani ambapo upumbavu na chuki ya vitabu vyao ilikuwa ni SIRI. Vumilika internet sikuhizi inawavua nguo. Nyinyi mafundisho yenu toka mwanzo ni ya CHUKI kwa Wayahudi na Wakristo. Mtume wenu aliagiza kufukuza wayahudi na wakristo wote toka Arabian peninsula. Ona hizo hadithi zote tatu.
Screenshot_20250506_091737.jpg

Kule Israel kwa Taarifa yako wako Waarabu Waislamu ambao ni Raia wa Israel wapatao 2,000,000. Sasa Uliza huko Gaza na Judea na Samaria wako Wayahudi wangapi? Zero. Na ikitokea amepotea njia akaingia Nyinyi waislamu humuua mara moja. Wengi wa wayahudi waliorudi baada ya Vita ya Dunia ya Kwanza ni wale waliokimbia mateso toka nchi za kiarabu
Hata mnapoenda nchi nyingine kama huko Ulaya na Amerika, akili zenu za kishetani zinawatuma kutawala jamii nyingine

View: https://x.com/Shariakill/status/1921477894829674736
 
wateule wa kitu gani au usenge ??

haya ni maneno yao wenyewe soma link hapo chini

Israel is the gayest country on earth | Yoni Leviatan - The Blogs


View attachment 3330861
Huyu Jagina akitana kuleta maneno haya ajue kuwa yuko nyumba ya Vioo; kwani internet imewaweka uchi kabisa Allah wao, Mtume na Quran yao. Siyo kama zamani ambapo uchafu wa Quran ulikuwa ni siriyao.
Ati Israel ni wateule wa U**nge.
Na Mtume wenu imepatika hadithi kumbe alikuwa upinde. Uzalendo wa Kitanzania
Cc: uzalendo wa kitanzania

View: https://youtu.be/dK33b7SClCw?si=aAV0k5XV2rr3w0EW
 
Taifa Teule la Sasa siyo Israel hii unayoiona na kuisikia Mashariki ya Kati.
Israel ya Sasa ni Kanisa la Mungu ulimwenguni,ndilo Taifa teule,
(1 Petro2:8-10)
Kanisa ndiyo Uzao wa Ibrahimu,(Wagalatia3:26-29)
Kanisa la Mungu ni la Watu wote (Wakristo) waliomwamini Yesu Kristo na Kukolewa,
(Mathayo16:18)
(Matendo2:46-47)
Je Wana wa Israel wa Taifa la Israel lilipo mashariki ambalo mchana kutwa linapigana na Wapalestina ni Taifa Teule, Yesu Kristo anasemaje juu yao?
(Yohana8:21-24)
(Yohana10:24-26)
Kwa nini hawakumwamini ili Wapate Wokovu,Mungu akaupeleka kwa Mataifa wakaamini,
(Matendo28:26-28)
 
Wapalestina au waarabu hawana shida na mayahudi, wameishi kwa pamoja kwa mianga mingi tu,
Waarabu au wewe unaowaita Wapalestina ndiyo waliua watu Oct 07,2023 waliua raia wasio na hatia 1,200 na wakawateka nyara watu 251 mpaka leo hii bado wamewashikilia harafu ulivyo mjinga unajitoa ufahamu kuwa waarabu hawana shida na wayahudi.
shida ipo kwa wazungu waliyojivika uyahudi na kuanzisha uzayuni ili wapate kuitawala mashariki ya kati ambayo kwa kipindi fulani ilikuwa tishio kwa wazungu.
Ulichosema ni mtazamo unaoshikiliwa na watu wengi—hasa wale wanaounga mkono haki za Wapalestina. Kwa mujibu wa historia:
Wewe Mmatumbi mwenzangu Una uhakika gani kuwa hao ni wazungu? Chuki zako kwa wazungu ndizo zimekufanya ubwabwaje hivyo? Huo msimamo Unashikiliwa na watu wengi wepi hao? Haki za wapalestina zipi hizo maana Palestina haijawahi kuwa nchi!!!
Wayahudi, Wapalestina, na Waarabu waliwahi kuishi pamoja kwa amani kwa karne nyingi katika maeneo kama Palestina, Iraq, Morocco, na Yemen, kabla ya kuibuka kwa siasa za kizayuni.
Tumia akili zako vizuri hakujawahi kutokea nchi ya Palestina wala wapalestina. Wayahudi waliwahi kuishi na waarabu na hawaja wapi kuishi kwa Amani kwa sababu ya waarabu daima kutaka kuwaangamiza wayahudi katika nchi yao. Huko Iraq,Morocco,Yemen,Ulaya na Marekani walikuwa huko kama watumwa haikuwa kwao. Israel ndiyo nyumbani kwa wayahudi wote!!!
Mfarakano mkubwa ulianza karne ya 20, pale ambako:
  • Wazayuni (hasa kutoka Ulaya ya Kati na Mashariki) walihamia Palestina kwa wingi wakitaka kuanzisha taifa la Kiyahudi.
Ni kweli Wayahudi walikuwa huko Ulaya na Marekani kama watumwa sasa ilifikia kipindi wanarudi kwao wewe kwa ujinga wako unawaita wazungu. Ni sawa na kuwa Mimi Mmatumbi niende Kenya nikaishi huko baada ya miaka mingi kupita naamua kurudi kwetu Kilwa nitakushangaa sana kama utaniita mimi Mjaluo wakati mimi narudi kwetu Kilwa!!!!!
Uingereza (kupitia Balfour Declaration 1917) ilisaidia azma ya Wazayuni, jambo lililowakera Waarabu.
Waarabu ndiyo waliokataa Balfour Declaration na kuanza kupanga njama za kuwaua wayahudi na ndipo shida ilipoanzia!!!
  • Uyahudi (dini/kabila),
  • Uzayuni (itikadi ya kisiasa), na
  • "Wazungu waliovaa Uyahudi" — mtazamo kuwa baadhi ya Wazayuni wa Ulaya walitumia Uyahudi kama kinga au kichaka cha kisiasa na kikoloni.
Wewe hapo ndipo unaonyesha hujui kitu chochote unabwabwaja ovyo kwa vitu ambavyo huvijui kabisa. Huwezi kutenganisha uzayuni,Wayahudi na Israel hicho ni kitu kimoja na havitenganishwi!!!!
Kuna wayahudi wengi duniani wanaokemea waziwazi vitendo vya Wazayuni—hasa sera na matendo ya serikali ya Israeli dhidi ya Wapalestina.
Unasema wako wayahudi wengi duniani wanakemea wazi wazi vitendo vya wazayuni hiyo haina maana kuwa ni kweli “ Wayahudi duniani” haina maana yoyote ndiyo wanawakilisha wayahudi walioko Israel ambao ndiyo wahanga wa vitendo vya mauaji,Ugaidi na Utekwaji nyara kwa watu wasio na hatio uliofanywa na magaidi wa kiarabu hapo Oct 07,2023.
Makundi au watu mashuhuri wa Kiyahudi wanaokemea Uzayuni au sera za Israeli ni kama:
  1. Neturei Karta
    • Kundi la Wayahudi wa Korthodoksi (Hasidic) wanaokataa kabisa Uzayuni.
    • Wanaamini kwamba Wayahudi wanapaswa kuishi kwa amani kokote walipo, na kwamba taifa la Kiyahudi linapaswa kuanzishwa na Masihi, si kwa juhudi za kibinadamu.
    • Wamewahi kuunga mkono Wapalestina hadharani na kupinga vikali matendo ya Israeli.
  2. Jewish Voice for Peace (JVP) – lenye makao Marekani
    • Kundi la Wayahudi wa msimamo wa kati na kushoto linalotetea haki za Wapalestina, kusitishwa kwa uvamizi, na amani ya haki.
    • Wanakosoa serikali ya Israeli na kupinga ujeshi na matumizi ya nguvu dhidi ya Wapalestina.
  3. Wanazuoni, wanaharakati, na marabi wengi wa Kiyahudi
    • Watu kama Noam Chomsky, Norman Finkelstein, na Rabbi Dovid Feldman wamekuwa wakikosoa vikali jinsi Israeli inavyowatendea Wapalestina.
Hayo ni makundi yanayowapinga wayahudi na hayapo nchini Israel hivyo hayana uchungu wala madhira wanayoyapata wayahudi.
Hivyo Msimamo wa wapinzani hao ambao hawako nchini wako Ulaya na Marekani hauwezi kuwa msimamo wa wazawa ambao wako nchini kulinda nchi yao dhidi ya magaidi wa kiarabu!!

Ni mjinga tu kama wewe ndiyo anaweza kusema waarabu wana nią njema na Israel. Daima Israel ipo hapo kwa sababu nguvu za Mungu ingekuwa ni matakwa ya waarabu Wangekuwa wamefutwa kwenye uso wa dunia hii.
 
Waarabu au wewe unaowaita Wapalestina ndiyo waliua watu Oct 07,2023 waliua raia wasio na hatia 1,200 na wakawateka nyara watu 251 mpaka leo hii bado wamewashikilia harafu ulivyo mjinga unajitoa ufahamu kuwa waarabu hawana shida na wayahudi.

Wewe Mmatumbi mwenzangu Una uhakika gani kuwa hao ni wazungu? Chuki zako kwa wazungu ndizo zimekufanya ubwabwaje hivyo? Huo msimamo Unashikiliwa na watu wengi wepi hao? Haki za wapalestina zipi hizo maana Palestina haijawahi kuwa nchi!!!

Tumia akili zako vizuri hakujawahi kutokea nchi ya Palestina wala wapalestina. Wayahudi waliwahi kuishi na waarabu na hawaja wapi kuishi kwa Amani kwa sababu ya waarabu daima kutaka kuwaangamiza wayahudi katika nchi yao. Huko Iraq,Morocco,Yemen,Ulaya na Marekani walikuwa huko kama watumwa haikuwa kwao. Israel ndiyo nyumbani kwa wayahudi wote!!!

Ni kweli Wayahudi walikuwa huko Ulaya na Marekani kama watumwa sasa ilifikia kipindi wanarudi kwao wewe kwa ujinga wako unawaita wazungu. Ni sawa na kuwa Mimi Mmatumbi niende Kenya nikaishi huko baada ya miaka mingi kupita naamua kurudi kwetu Kilwa nitakushangaa sana kama utaniita mimi Mjaluo wakati mimi narudi kwetu Kilwa!!!!!

Waarabu ndiyo waliokataa Balfour Declaration na kuanza kupanga njama za kuwaua wayahudi na ndipo shida ilipoanzia!!!

Wewe hapo ndipo unaonyesha hujui kitu chochote unabwabwaja ovyo kwa vitu ambavyo huvijui kabisa. Huwezi kutenganisha uzayuni,Wayahudi na Israel hicho ni kitu kimoja na havitenganishwi!!!!

Unasema wako wayahudi wengi duniani wanakemea wazi wazi vitendo vya wazayuni hiyo haina maana kuwa ni kweli “ Wayahudi duniani” haina maana yoyote ndiyo wanawakilisha wayahudi walioko Israel ambao ndiyo wahanga wa vitendo vya mauaji,Ugaidi na Utekwaji nyara kwa watu wasio na hatio uliofanywa na magaidi wa kiarabu hapo Oct 07,2023.

Hayo ni makundi yanayowapinga wayahudi na hayapo nchini Israel hivyo hayana uchungu wala madhira wanayoyapata wayahudi.
Hivyo Msimamo wa wapinzani hao ambao hawako nchini wako Ulaya na Marekani hauwezi kuwa msimamo wa wazawa ambao wako nchini kulinda nchi yao dhidi ya magaidi wa kiarabu!!

Ni mjinga tu kama wewe ndiyo anaweza kusema waarabu wana nią njema na Israel. Daima Israel ipo hapo kwa sababu nguvu za Mungu ingekuwa ni matakwa ya waarabu Wangekuwa wamefutwa kwenye uso wa dunia hii.



View: https://youtube.com/shorts/5STUG_1GPeI?si=33oohF8E4oYay367
 
Taifa Teule la Sasa siyo Israel hii unayoiona na kuisikia Mashariki ya Kati.
Israel ya Sasa ni Kanisa la Mungu ulimwenguni,ndilo Taifa teule,
(1 Petro2:8-10)
Kanisa ndiyo Uzao wa Ibrahimu,(Wagalatia3:26-29)
Kanisa la Mungu ni la Watu wote (Wakristo) waliomwamini Yesu Kristo na Kukolewa,
(Mathayo16:18)
(Matendo2:46-47)
Je Wana wa Israel wa Taifa la Israel lilipo mashariki ambalo mchana kutwa linapigana na Wapalestina ni Taifa Teule, Yesu Kristo anasemaje juu yao?
(Yohana8:21-24)
(Yohana10:24-26)
Kwa nini hawakumwamini ili Wapate Wokovu,Mungu akaupeleka kwa Mataifa wakaamini,
(Matendo28:26-28)
Kama wewe ni Mkristo, be careful with what you're saying lest you fall into the trap of persecuting the the current jews. Ujue Shetani ni mwerevu sana. Na hawa islamists wanachofanya sasa, they have the backing of satan 💯 % yes waisrael walimkataa Yesu kuwa ndiye Messiah, hata hivyo ile concept yao ya messiah ndiyo hiyo hiyo. Pili wayahudi hawa hawanashida na historia ya yesu pale Jerusalem na wala hawana mpango wa kuifutilia mbali. Bali WAISLAMU kutokana na Itikadi zao za Quran, my friend tegemea kuihujumu historia ya Yesu kama walivyofanya Hekalu la Daudi ( Temple Mount) kama walivyofanya Kanisa Lenye Historia ya Mtume Paulo Kule Istanbul ambapo wakaligeuza Msikiti wa Hagia Sofia, walivyofanya ISIS kule Iraq kuangamiza vielelezo vyote vya UKIRISTO.
HIVYO, ili kulinda Historia hiyo, nafikiri hata huyo Mungu wa Wakristo ataona ni bora ile Holy Land iwe chini ya Wayahudi kuliko magaidi wa Kiislamu. So be careful my friend you might be serving the interests of satan
 
Back
Top Bottom