Am so much in love with excellent

Am so much in love with excellent

Eti anadai mie na jinsia mbili, kwa hiyo niwe smart nikakate moja mara mwanamke mara mwanamme.

Na mtu mwingine hapo kamkopi anamaanusha eti anamapepo yenye roho mbili mara anakuwa possesed na id 1, mara anakuwa possesed na id 2, kwa hiyo apelekwe akaombewe kwa mods ili hayo mapepo ya id mbili way-merge liwe pepo la id moja.

Duniani kuna mambo!

mhh,unajua mimi sijawaelewa kabisa?labda unifafanulie kwanza
 
Eti anadai mie na jinsia mbili, kwa hiyo niwe smart nikakate moja mara mwanamke mara mwanamme.

Na mtu mwingine hapo kamkopi anamaanusha eti anamapepo yenye roho mbili mara anakuwa possesed na id 1, mara anakuwa possesed na id 2, kwa hiyo apelekwe akaombewe kwa mods ili hayo mapepo ya id mbili way-merge liwe pepo la id moja.

Duniani kuna mambo!

Kweli JF kuna vituko
 
Lol! Inabidi nikae karibu na wewe unipeleke kwa mganga wako. Kuna wakaka watano humu nataka siku nikiwafungukia wote kwa mpigo asichomoke hata mmoja,hehehe!
Unaongelea mahari? Mie najilia ki The Boss changu taratiibu, huoni siku hizi kama makeke kapunguza? Ni supu na kumsinga tu.
 
Eti mie na kabakabana ni Advanced Kamerunians. loh

Nimeelewa sasa kwa nini Kate na Prince Willian walichelewa kuoana, kuna wakaanga sumu humu ndani!!!!!
Enyi wakaanga sumu, kwa nini msianzishe kiwanda cha kutengeneza dawa ya kuua wadudu waharibifu? Mngeingiza mihela hiha!


Kwa hiyo una ujumbe gani kwa The Boss na Excellent? Lol
 
Labda uwa-PM, yaani kuwa Wakodombwe square, wanataka kupaisha ndege wa wenzao.

Lol! Inabidi nikae karibu na wewe unipeleke kwa mganga wako. Kuna wakaka watano humu nataka siku nikiwafungukia wote kwa mpigo asichomoke hata mmoja,hehehe!
 
sasa hinvi niakuwa na wasiwasi na hawa wadada wa jf wanaojitongozesha
 
Eti anadai mie na jinsia mbili, kwa hiyo niwe smart nikakate moja mara mwanamke mara mwanamme.

Na mtu mwingine hapo kamkopi anamaanusha eti anamapepo yenye roho mbili mara anakuwa possesed na id 1, mara anakuwa possesed na id 2, kwa hiyo apelekwe akaombewe kwa mods ili hayo mapepo ya id mbili way-merge liwe pepo la id moja.

Duniani kuna mambo!

mh yamekua haya tena?!
 
Eti mie na kabakabana ni Advanced Kamerunians. loh

Nimeelewa sasa kwa nini Kate na Prince Willian walichelewa kuoana, kuna wakaanga sumu humu ndani!!!!!
Enyi wakaanga sumu, kwa nini msianzishe kiwanda cha kutengeneza dawa ya kuua wadudu waharibifu? Mngeingiza mihela hiha!

achana nao hao hawana jipya,wasikuumize kichwa hata
 
kongosho na kabakabana
wana tabia moja
mimi naona hawa ni wanaume.
no Mamndenyi!
kabakabana is a woman tena atakuwa superwoman endapo akiwezeshwa.....kwahiyo kazi ni kwa excelent kumuwezesha kigori huyu afike anakopaota.
 
mashauzr classic on action kanga moko ndembe ndembe..
 
no Mamndenyi!
kabakabana is a woman tena atakuwa superwoman endapo akiwezeshwa.....kwahiyo kazi ni kwa excelent kumuwezesha kigori huyu afike anakopaota.

kachanganyikiwa huyo ndo maisha mazuri kwa kila mtanzania nahisi yamemkuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom