All JF members... Happy Holidays...

Habari zenu wapendwa,natakia x-mass njema,niko njian naelekea Moshi kwetu km ilivyo desturi yetu,niko ndan ya Dar express nahitaji maombi yenu tufike salama,nawapenda wote.
 
Habari zenu wapendwa,natakia x-mass njema,niko njian naelekea Moshi kwetu km ilivyo desturi yetu,niko ndan ya Dar express nahitaji maombi yenu tufike salama,nawapenda wote.

rejao anasema kuna bonge la foleni maeneo ya mlandizi kwa hiyo kuwa mvumilivu na wale wote wanaojipanga barabarani watu ndio waja hivyoo..
 
rejao anasema kuna bonge la foleni maeneo ya mlandizi kwa hiyo kuwa mvumilivu na wale wote wanaojipanga barabarani watu ndio waja hivyoo..

Ni kweli kuna bonge la folen mpaka mda huu tupo maeneo ya mlandizi magari yamesimama tu hata haieleweki tutatoka mda gani!tunaamin mungu ni mwema atatuwezesha!
 
Ukirudi mjini niletee ile kitu yenu ya kuchangamsha ubongo. Unaenda Moshi pande zipi?
 
Ukirudi mjini niletee ile kitu yenu ya kuchangamsha ubongo. Unaenda Moshi pande zipi?

Hahahaha!ucjali mzee c unajua ile makitu lzm!nitakuletea,highway kituo km kawa kupata msoc na mazagazaga mengine ila huwa nachukua take away nakula ndan ya bac coz kuna cku nilinogewa mle mpaka bac likaniacha nikapata kazi ya kufukuzia,mpaka leo utaratibu ni kulia ndan ya bac!mkuu mwisho wa safari ni mail sita babangu!
 
wana Jf sikukuu ndio hiyo ss kama utaratibu wangu lazima kesho natupia nguo mpya sasa niko pande za kariakoo hapa natafuta perfume kwa ajili ya tukio la kesho....ss nimejaribu kunusa nusa viunyunyu sielewi scent ipi itanifaa coz hapa nilipo kunavarieties za kutosha kama malimao, ndimu, mchaichai, mapera, diesel mpaka ndumu sasa mdau wa make up anipe utaalam kidogo coz pamba zangu zinanukia taiwani..........nategemea ushauri wenu
 
Dah utoto raha sana...

Sisi wakubwa tuna maumivu ya kununua nguo za Xmass za watoto, mama yao na nyumba ndogo unafikiri hata pua zetu zinaweza kunusa hizo unyunyu zenu... Ila enzi zetu tulikuwa fiti kuna li unyunyu fulani linawekwa kwenye kamfuko kama gunia hivi na bei yake mkasi toka miaka kumi iliyopita.
 
aikaruwa1983,

Dogo usisahau kwenda kutoa "fungu la kumi" (Tithe). Waweza fanya hivyo kesho au leo kwenye ibada za Mkesha wa Kuzaliwa Kristo.....
 
Kuna zile za kiarabu. jero jero tu pale Buguruni, huwa zimetandazwa chini.
Nzuri sana zile
 
dah hivi kumbe tupo wengi humu ndani ya basi....hebu tupa macho hapa #26.....
Acha kamba!
Jamaa yako hakupati kwenye simu, amesema ukitoka Njiro mpitie pale opposite na General Pharmacy, yuko kule basement floor!
 
Acha kamba!
Jamaa yako hakupati kwenye simu, amesema ukitoka Njiro mpitie pale opposite na General Pharmacy, yuko kule basement floor!

he he....ninawahi sensa mie....nasikia mwaka huu tulipungua sana.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom