afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
- Thread starter
- #61
Hahahahaaaa! Mangure, Busa & Kideko??? Walah tena wewe lazima utakuwa wifi angu, tena wa damu kabisa...umenikumbusha deshi deshi ( hapa wanakodoa macho takujazia baadae) nae yupo anapata mangure mida hii si unajua mjasiri haachi asili na akiacha asili hana akili...lol. Nyumbani ni nyumbani bana asikwambie mtu... Karibu this time ujivinjari na chibuku..
hahahahahahaha..
Hayo maji matamu ndo yaliyotupeleka shuleni eti..
Nikijifanya siyajui sasa basi sintokuwa na tofauti na wanyama ..
hahahah
Manguru ukinywa ni kama Mbege eti..
unapuliza ule mtama wa juu juu nyuma halafu
unaweka kedeku kwenye lips ndo chujio hivyo hahaha.
Nyumbani raha jamai.. ...
Halafu kuna Wanzuki hahahahahahah
loohhh sijui ni kwa nini nacheke mwenyewe
kama kichaa hapa hahahahah .. sante dear