Utamaduni wa mwafrika ushakufa siku nyingi sana alipoingia mwarabu na mzungu . Hapo ulipo sidhani kama unatumia majina yako ya asili ya kabila lako. Hata mwanao sidhani kama utakuja kumuita Mwakaleli, Mwamvua, Maneno n.k. Hapo nyumbani kwako unatumia chungu na mtungi? Mpira ngozi nao ni utamaduni wetu? Nafikiri wangetumia mpira wa daso kwenye kombe la Afrika.Kwanza kwenda na masuti kwa watu ambao hawajozoea kuvaa suti ni ushamba. Hili ni kombe la Afrika ambayo kila nchi ingebidi iingie na mavazi ya kitamaduni. Kuna mavazi ya kigogo, kisukuma ama kimasai wagewatafuta wangeitangaza vyema nchi sasa haya masuti oversize na viau kachumbari?
Hapo wangeenda kwa wahadzabe kama wanaangalia ile channel ya safari, wawatengenezee mavazi ya ngozi halafu kofia wakatengenezewe na wamasai zile zinazofanana na kichwa cha simba pamoja na shanga za kutosha huku wakiwa na fimbo zilizozungushiwa shanga zenye bendera ya Tanzania hapo ndio wangeshtua dunia sasa wanaendaendaje hivyo?Utamaduni wa mwafrika ushakufa siku nyingi sana alipoingia mwarabu na mzungu . Hapo ulipo sidhani kama unatumia majina yako ya asili ya kabila lako. Hata mwanao sidhani kama utakuja kumuita Mwakaleli, Mwamvua, Maneno n.k. Hapo nyumbani kwako unatumia chungu na mtungi? Mpira ngozi nao ni utamaduni wetu? Nafikiri wangetumia mpira wa daso kwenye kombe la Afrika.
Najua hautanilewa lakini ukweli ndiyo huo.
Hivi huyu kulibali kumbe ni taifa stars??Hivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
Acha uongo mkuuKawaida ya wachezaji Wa mpira Wa miguu huwa hawapendezwi na nguo za kawaida
Hivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
Acha ujinga we katonta, ustadh inekujaje hapo au umetumwa?
Umenielewa lakini
Nilicho kuelewa ni kichwa ZERO
Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu sana..
View attachment 1121104View attachment 1121106
And what did you just say bitch?! I shoudn't quote you, anh?! Then here I am, again and again you little cunt! You forced to have war with me, and I'm war you mother'fvck piece of shit with a swollen big smelling fast as's! And if you really want a war, let your PM open douchebag!Aiseee
And what did you just say bitch?! I shoudn't quote you, anh?! Then here I am, again and again you little cunt! You forced to have war with me, and I'm war you mother'fvck piece of shit with a swollen big smelling fast as's! And if you really want a war, let your PM open douchebag!