Nadhani wengi humu mnaendeshwa na hisia za mapenzi binafsi, ila kiukweli kipindi Cha Mwendazake Sector binafsi ilikufa, wawekezaji walikimbia nchi, kazi za ujenzi kwa upande wa private company zilikufa kabisa kila kazi za ujenzi ilikuwa ni TBA, NHC, JKT etc.
Hakukuwa na ajira, watu walikaa miaka 6 wanasubiri ajira mpaka mama ndio kajakuajiri.
Alichofanikiwa ni Miundombinu -Barabara, madaraja, umeme na kuongezeka kwa wamachinga.
Najua Wasukuma wengi wanamtetea lakini ukweli lazima usemwe.
Eti na wapinzani Leo hii wanesahau walivyoiona joto ya JIWE kipindi chake,!