Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 7,338
- 7,589
Paragraph zinakushinda huo Uchumi utaujuaje?
Labda huo unaoukalia š¼
Uchumi kweli ameukalia....anao
Paragraph zinakushinda huo Uchumi utaujuaje?
Labda huo unaoukalia š¼
Unajua uchumi wewe? Tafuta wazabuni leo uongee nao uone wanakwambia niniKwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
Kwahiyo tusimjadili mumeo Rostam?Kwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
Thats the big truth, ndio sababu tunataka na samia atupishe aachie nchi, nchi ianze kuongozwa kisheria, taasisi ziwe separated na inderpendent, lazima tupate NEW REFORM ZA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA haraka sanaKwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
mi nina B.A economics udsm. Hakua ambaye kasoma uchumi anakubaliana na jpm from day one. yule aliua kila kitu na kidogo uchumi ucollapse. Thanks, kikwete and alies kuona hiyo na kurescue haliKwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
Kwani we utakuwa mbangaizaji maisha yako yote? mbona unajidharau hivyoWa sasa hivi uliofufuka una tija gani kwa mbangaizaji wa kitaa ?!!!
Kama wewe sio mchawi basi unaroho ya kichawiKwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
Maduka yalivyofungwa nchi nzima vitu na mahitaji ya kutumia ulikuwa unaletewa na basha wako kutoka wapi ?Mapema 2017 mabasi ya mikoani yalikua hayajai,makampuni ya kubeba mizigo (vifurushi) yakafa,maduka yakafungwa nchi nzima
Aiseehhh uchumi wa makalatasi VS uchumi halisia, my africanmi nina B.A economics udsm. Hakua ambaye kasoma uchumi anakubaliana na jpm from day one. yule aliua kila kitu na kidogo uchumi ucollapse. Thanks, kikwete and alies kuona hiyo na kurescue hali
Tatizo kubwa sana watu mnakuwa na myopic thinking iliyochanganyana na UMIMI na kuangalia mambo not as a whole equation bali kwa mafungu... MIMI au WEWE (individually hatuwezi kuhesabika kama ndio maendeleo ya nchi..., Mbona tuna kina Azam na kina Mo na watu wana pesa za kumwaga wanazolamba na kuzichota)?k
Kwani we utakuwa mbangaizaji maisha yako yote? mbona unajidharau hivyo
Nilivoona tu jina lako la kichawa nikaacha na kusoma uzi wako
KWA SASA UMEKUWA TANGIA AMEFARIKI?Kwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
Magufuli yuko wapi hapa? PumbafuKwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
š®š®š®š®š®š®š®š®Kwa wenye roho za kichawi si rahisi kunielewa hapa. Kwa wenye mtindio wa ubongo si rahisi kunielewa hapa.
Magufuli aliua uchumi wa Tanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Kama angemaliza miaka 5 ya awamu ya pili angeua uchumi wa Tanzania kwa 90% mpa 100%.
Uchumi imara wa Taifa lolote unategemea uimara wa sekta binafsi. Kipindi cha Magufuli a.k.a kipindi cha viwanda hewa sekta binafsi zilipigwa pini kila kona.
Wazabuni wa mashirika ya umma kila walipodai pesa zao za zabuni waliambiwa tunahakiki malipo.
Kampuni zilifungwa sana, benki nazo ziliminywa vibaya mno.
Ujenzi wa makazi ya watu binafsi ulisimama kwasababu ya hali ngumu, biashara za kati na ndogo hazikuzuka mpya.
Wachuuzi almaarufu wamachinga ndio waliongezeka .
Wakati wa Magufuli ndipo biashara ya uchawa na kununua wanasiasa ndipo ilisitawi .
Haya wachawi nasubiri matusi yenu.
Wakati wa Magufuli hatukujua kuwa tupo kwenye ujamaa au ubepari, mambo yalikuwa shaghalabaghala na watu wakampigia makofi.
Kweli Afrika kazi tunayo
Maduka mengi kufungwa maana yake ajira zinapotea, kodi inapotea, ndiyo maana Mungu wako magu alipiga kelele maduka kufungwaMaduka yalivyofungwa nchi nzima vitu na mahitaji ya kutumia ulikuwa unaletewa na basha wako kutoka wapi ?
Haya Mwarabu koko wa Nzega..Maduka mengi kufungwa maana yake ajira zinapotea, kodi inapotea, ndiyo maana Mungu wako magu alipiga kelele maduka kufungwa
Mi mhehe we falaHaya Mwarabu koko wa Nzega..