Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

mimi ni akili ya kitoto sawa, nakupa hongera kwa kuwa wewe una akili yakikubwa.

dhimara ya mada yako ni kuwakashifu wakazi wa kanda ya pwani kwamba wao wakiokota vitu hawanga tabia yakufanya kama ulivyofanya wewe.

kama kweli umeokota ilikuwa haina haja ya wewe kujitambulisha unatoka kanda ya ziwa.

Hii kanda ya ziwa mwaka huu itawasumbua sana nyie watu mnaoishi na kuzaliwa pwani! hata wewe Shy land?
 
Hii kanda ya ziwa mwaka huu itawasumbua sana nyie watu mnaoishi na kuzaliwa pwani! hata wewe Shy land?

Hii ni chapa ng'ombe sisi dar huwanga tunaiona kwenye video vya kina diamond tu.
 
Wakuu, mimi kijana wa Kanda ya Ziwa nipo hapa Dar kwa takriban wiki ya pili sasa. Leo katika kuzungukazunguka yangu usiku huu wakati narejea kulala majira ya saa mbili hivi nimeokota pochi yenye kiasi kikubwa hivi cha pesa pamoja na driving license maeneo ya ilala katika flat za wanajeshi kwenye njia inayochepukia kuelekea Kigogo.

Kwanza nimewaza sana iwapo hii ni bahati au lah! Nikajiuliza mara mbili mbili, baadae moyo ukaniambia kuwa mwenye huo mzigo yawezekana nae ana matatizo yake na hiyo pesa ndo alikuwa anaitegemea sana, kwa kuwa mimi kidogo nipo vizuri kiuchumi nimeona ni bora nitangaze, kwa yeyote aliyepoteza aniPM na aeleze jina lake kama lilivyo kwenye license na aseme kiasi halisi cha pesa, kisha tuonane nimpatie mzigo wake.

Warning: Kama huhusiki tafadhali pita sitaki usumbufu wala kejeli, heshima ni kitu cha bure.

Ile ahadi ya kujenga makanisa vijiji vyote vya wilaya ya Kahama ushaitekeleza?
 
Ahsante Mkuu Kwa Maelekezo Mazuri,ila Pochi Haina Business Card Zaidi Ya Leseni Tu.

Kama kwwli piga picha lesseni yake na umtangaza very simple maswala ya PM ya nn akati una alternative.. ila NAKUONA MUONGO SANA YAAN NTOKE VIPI wiseboy na naomba uniprove wrong kwa kutuletea leseni
 
Hakuna Mtu Mwenye Hati Miliki Ya Jina,majina Huwa Yanarandana Ama Kufanana Kabisa,nikiweka Jina Italeta Usumbufu,cha Msingi Aliyepoteza Anajua Details Zikoje.

Mr wise.. ndo maana kuna kua na vithibitisho vingine, leseni si ina picha yake?? Akija asiefanana nae utamtambua, BTW haezi kujileta bila vitambulisho vya kumsuport.. design kama unalidissapoint jina lako
 
Hakuna Mtu Mwenye Hati Miliki Ya Jina,majina Huwa Yanarandana Ama Kufanana Kabisa,nikiweka Jina Italeta Usumbufu,cha Msingi Aliyepoteza Anajua Details Zikoje.

Ok mkuu,lakini licence number si zipo unique,?ungeweza hata kuiscan leseni ungekuwa rahisi zaidi
 
Ni Ndoto,ila Mimi Nilifanya Hivyo Ili Nijiajiri Na Sasa Kipato Changu Ni Zaidi Ya 2mil Per Month,umeshawahi Kusoma Habari Za Wright Brothers? Na Albert Einsten? Tafuta Kitabu Cha "THINK BIG AND GROW RICH"ili Utoe Tongongo Kwenye Ubongo Wako,hapo Utaanza Kuamini Ktk Mambo Makubwa Na Si Madogo Tena,ukisikia Jambo Zito Linaongelewa Utaamini Na Hutabisha Kitoto Hivyo,tatizo Watanzania Hatuna Tabia Ya Kusoma Vitabu Ili Kutanua Ubongo,ndo Maana Kila Jambo Ni La Kushangaza Kwetu,makanisa 50 Tu? Nitajenga Zaidi Ya Hayo,kila Jambo Chini Ya Jua Linawezekana Kwa Jina La Yesu.[/
QUOTE]nakupa tano, jaribu kuvuka sasa hadi Global
 

kwa kuwa mimi kidogo nipo vizuri kiuchumi nimeona ni bora nitangaze
Ulikuwa na haja ya kubainisha kwamba mambo yako kiuchumi ni mazuri au unatangaza biashara zako nyingine?

Anyhow, kwa Tanzania hapa utawakomba wengi kwa hizi triki ambao hata Wanigeria walishaacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom