Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

kichwa changu kimegoma kabisa kuamini huyu jamaa haaminiki ni muongo muongo

anaeza kuwa kweli ama kasoma ule uzi kuhusu waaminifu wa dubai akapata wazo atoke vipi
 
Google hilo jina lililo kwenye driving license, kuna uwezekano mkubwa akawepo Facebook au sehemu nyingine mitandaoni
 
Wakuu,mimi Kijana Wa Kanda Ya Ziwa Nipo Hapa Dar Kwa Takriban Wiki Ya Pili Sasa,leo Ktk Zungukazunguka Yangu Usiku Huu Wakati Narejea Kulala Majira Ya Saa Mbili Hivi Nimeokota Pochi Yenye Kiasi Kikubwa Hivi Cha Pesa Pamoja Na Driving License Maeneo Ya ilala ktk flat za wanajeshi kwenye njia inayochepukia kuelekea Kigogo,kwanza Nimewaza Sana Iwapo Hii Ni Bahati Au Lah! Nikajiuliza Mara Mbili Mbili,baadae Moyo Ukaniambia Kuwa Mwenye Huo Mzigo Yawezekana Nae Ana Matatizo Yake Na Hiyo Pesa Ndo Alikuwa Anaitegemea Sana,kwa Kuwa Mimi Kidogo Nipo Vizuri Kiuchumi Nimeona Ni Bora Nitangaze,kwa Yeyote Aliyepoteza ani pm Na Aeleze Jina Lake Kama Lilivyo Kwenye License Na Aseme Kiasi Halisi Cha Pesa,kisha Tuonane Nimpatie Mzigo Wake,Warning:kama huhusiki Tafadhali Pita Sitaki Usumbufu Wala Kejeli,heshima Ni Kitu Cha Bure.

hapana siyo kweli hata siku moja
mimi ni kijana wa kanda ya ziwa neno hili linaeleza wazi ujumbe na dhimira ya mada yako kwamba nikuwazihaki wakanzi wa pwani
 
Ubarikiwe sana Mkuu, katika dunia yetu hii ya leo ni nadra sana kuwa na watu wenye moyo wa ubinadamu kama wewe.

Amesema anafanya usamaria mwema kwa vile uchumi wake uko vizuri,kwa maana nyingine yeye sio wa hivyo no matter what!
 
Toa taarifa polisi ila usiwape hela, waambie tu umeokota dring licence...watafuta jina na adress yake watakupatia. Huku JF sio kila mtu anaingia huku. Pia angalia kwenye pochi kuna wezakuwa na business card zake au no ya mtu ambaye anaweza kumjua. Kama umekuwa msamaria mwema simamia hili mpaka mwisho na Mungu akubariki.

Ahsante Mkuu Kwa Maelekezo Mazuri,ila Pochi Haina Business Card Zaidi Ya Leseni Tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom