Babu Njunju unatafuta wa kumnjunju. Hizo kozi ni za mabintiKuna kikazi cha siku 1 au 2 kwa mtu wa jinsi yoyote ambaye yuko Mtwara lakini hasa mwanaume atapewa kipaumbele zaidi. Mtu ambaye yuko sharp, smart na anajiamini na mwenye uelewa wa mambo.
Anicheki DM fasta na namba yake ya simu. Lazima uwe Mtwara mjini.
Hahahaha hamna mkuu mm mbeba tofali bwanaBabu Njunju unatafuta wa kumnjunju. Hizo kozi ni za mabinti
Weka qualification vizuri mkuu unataka mtu wa ngazi gani certificate diploma au degree inayohusiana na nn sasa ustawi wa jamii na mazingira ndio kozi gani hyo mtaalam.Bado siijapata mtu wataalamu.