Aliyemtishia Nape bastola, 'aweweseka'

Aliyemtishia Nape bastola, 'aweweseka'

Paskali,

Ninaamini aliyemtolea Nape bastola anafahamika vizuri tu.
Kuna waandishi wa habari kadhaa walioshiriki ile tafarani na kumnasua nape.
Walikwaana na huyo jamaa uso kwa uso.
Ni rahisi sana kwa wanahabari hao kumtambua wakikutana naye siku nyingine mahali popote pale.
Maulid kitenge anamjua vizuri!!!!
 
Paskali,

Ninaamini aliyemtolea Nape bastola anafahamika vizuri tu.
Kuna waandishi wa habari kadhaa walioshiriki ile tafarani na kumnasua nape.
Walikwaana na huyo jamaa uso kwa uso.
Ni rahisi sana kwa wanahabari hao kumtambua wakikutana naye siku nyingine mahali popote pale.


Mbona hata aliyemtuma anajulikana na yupo ofisini hata saa hii?
 
Paskali,

Ninaamini aliyemtolea Nape bastola anafahamika vizuri tu.
Kuna waandishi wa habari kadhaa walioshiriki ile tafarani na kumnasua nape.
Walikwaana na huyo jamaa uso kwa uso.
Ni rahisi sana kwa wanahabari hao kumtambua wakikutana naye siku nyingine mahali popote pale.
Pascal try to be serious!!! vyombo vilivyosomea fani ya kudeal na wahalifu visimbaini waandishi wa makaratasi waweze..? "HAJULIKANI" unaweza kumwona asiyejulikana ? labda uwe mtenda miujiza !!
 
Ningefurahi zaidi kama hata sura ya huyo anayejiita 'aliyemtishia Nape bastola' ingeonekana hapa. Kwa teknolojia ilivyobamba, sidhani kama wabunge wote hao, akiwemo mwanahabari dada yangu Esther Bulaya, walishindwa hata kumfotoa ili walau watu waone sura yake na kuilinganisha na ile ya wakati uleee.

Kinachoonekana hapa ndugu zangu walisimuliwa, hawakuwepo kwenye tukio. Kimtazamo tu, angesimulia hapo mtu wa chama tawala kidogo ningeweza kusadiki japo kwa mbali, lakini kama jamaa zangu wamesimuliwa na wabunge wa upinzani wenye 'nasaba' na gazeti hilo, nachelea kuamini.

Hii habari ilifaa kuandikwa na 'magazeti pendwa' siyo TanzaniaDaima.

DM
tapatalk_1522216641625.jpeg
 
Ndiyo maana nikasema hii habari imelishushia hadhi gazeti makini kama TanzaniaDaima. Purely Yellow Journalism.

Unless waseme kwamba wameamua kuiweka kwa 'shinikizo', vinginevyo hawakwenda beyond the doubts.
Huyo hapo
tapatalk_1522216641625%7E2.jpeg
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu asiejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini kwa mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na vyombo vya sheria ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
hahaaaa hiii nidharau ya wazi wazi
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu asiejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini kwa mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na vyombo vya sheria ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
Kaka kuna uzi wa jana humu jamaa kaonekana tena jana akiescort kina Mbowe...Tetesi: - Inadaiwa aliyemtolea Nape bastola aonekana akisindikiza msafara wa viongozi CHADEMA kwenda mahabusu Nini maoni yako?
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu asiejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini kwa mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na vyombo vya sheria ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
Umenichekesha k w eli broo, nakwambia leo unaweza kujua ama kufaham mambo mengi lakini huwezi kujua au kufaham yote, ha ha ha hab
 
Back
Top Bottom