Aliyemtishia Nape bastola, 'aweweseka'

Aliyemtishia Nape bastola, 'aweweseka'

Baada ya CDM kwenda polisi, walikutana na sura kama ile iliyoonekana ikitoa bastola.
Walipokutanisha macho yao wakatambuana.
Huyo jamaa akaanza kuweweseka.
" Willy Gamba'
Kama ulivyoeleza walikutana na sura kama ile, kama ile maana yake ni kama tuu, sii ile, yule Jamaa mwenyewe halisi aliyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana.

P
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu ayejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na byombo vya sharia ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
Uandishi ULIOTUKUKA................kula Like...............!!!!
 
Paskali,

Ninaamini aliyemtolea Nape bastola anafahamika vizuri tu.
Kuna waandishi wa habari kadhaa walioshiriki ile tafarani na kumnasua nape.
Walikwaana na huyo jamaa uso kwa uso.
Ni rahisi sana kwa wanahabari hao kumtambua wakikutana naye siku nyingine mahali popote pale.
Ni kwel hat yule kitenge alikuwepo ila naisi atakua amemsahau c unajua tena ni mtu asiye julikana na in mtu aliyetumia iyo nafasi kufany ktendo cha kialifu na sio ajabu ile sio bastola halisi uskute ni manati tuu
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu ayejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na byombo vya sharia ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
Mkuu huyo mtu hajulikani kwa nani? Ikiwa ni kwa Wananchi sawa. Lakini kwa vyombo vyetu vya ulinzi haiingii akilini. Maana walikuwepo eneo la tukio na walishudia kwanini wasimkamate?
 
Gazeti hilo kwa uongo.. ndio maana haliuzi kama enzi za Dr. Slaa

Bomu kabisaaaaa
wakati wa slaa lilikuwa linauza nakala ngapi kwa siku ? ukilinganisha na sasa ambapo huuza nakala ngapi kwa siku? ukishindwa kujibu hustahili kuwa member hapa .hata kama una miaka 100 humu.
kiswahili chenyewe hujui unaandika kama upo maliwatoni.
hovyo kabisa... we wenzio wanajadili issues kila mara slaa slaa slaa si akakuoe?
 
Pascal kweli umaamini haya maneno ulio yaandika??
Mkuu Yombo, so suala la kuamini Maneno niliondika, bali moja ya sifa yangu kuu humu jf, ni kuwa mkweli Daima!. Mimi ni verified member na siku zote husema ukweli. Yule aliyemtishia Nape bastola ni mtu aliyejulikana, na uzuri wangu, mimi kama mwandishi mzoefu, sisi waandishi sio tuu tunauwezo wa kuwabaini wasiojulikana, bali tuna vifaa vya kunasia picha na sauti za wasiojulikana hawa!. Tukio la Nape kutishiwa bastola, waandishi tumerekodi video, tumepiga picha, tumezisambaza kwenye media zote hadi mitandao ya kijamii, lakini ikathibitishwa pasipo shaka kuwa mtu yule ni mtu asiyejulikana!.

Hivyo hapa nimwazungumza vizuri wasiojulikana hawa
Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

Na sikuishia katika kuwataja tuu wadiojulikana hawa, bali kama mwana media mkongwe, nikatoa vito kwa Watanzania wenye uwezo wa kuisaidia serikali yetu inaposhindwa, tujitokeze kuisaidia, mimi nikajitokeza na kusaidia namna ya kuwabaini wasiojulikana waliomshambua Lissu hadi kuelekeza watu wa kuwahoji.

WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

P.
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu ayejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na byombo vya sharia ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
Baba heshima kwako

Hivi kwa utamaduni wa woga wa tz tuliokuwa nao, unadhani mtz gani jasiri,mmiliki silaha kumnyooshea waziri mstaafu bastola hadharani halafu useme hajulikani? Mkuu kwanza kumiliki tu bastola kwa mtanzania wakawaida ni ngumu sana,
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu ayejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na byombo vya sharia ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
Kweli PASKALI Tanzania Daima ni WAZUSHI,Serikali bado inamtafuta aliyemtolea Bastola Nape mpaka leo hajulikani,Wao wamemjuaje?
 
A figurative language should remain figurative language for a good sake. Ila wanaotaka kumwelewa Mayala wamemuelewa sana tu. Ni sawa na aliyeandika kitabu cha nchi ya kusadikika tulimuelewa tu
Watu wanashindwa kabisa kumuelewa PASKALI,inatakiwa utulize akili na umsome kinyume nyume.
 
Mkuu huyo mtu hajulikani kwa nani? Ikiwa ni kwa Wananchi sawa. Lakini kwa vyombo vyetu vya ulinzi haiingii akilini. Maana walikuwepo eneo la tukio na walishudia kwanini wasimkamate?
Anayeweza kukamatwa ni mtu tuu anayejulikana, asiyejulikana hawezi kukamatwa!, unamkamataje mtu asiyejulikana?.

WanaJF, Je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.

P.
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu ayejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na byombo vya sharia ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mayalla huwa unanichekesha sana maandiko yako na coment zako,
[emoji120] naunga mkono hoja yako kwamba huyo mtu hajulikani na ni kweli serikali yenye mkono mrefu unaofika kila sehemu hawajampata.
 
Hili gazeti watakuwa ni wazushi tuu!, wanawezaje kumjua mtu aliyemtishia Nape bastola. ili hali ni mtu ayejulikana?!.
Japo mtu huyo alipigwa picha na video na sura yake kubainika wazi, lakini mujibu wa vyombo husika, hawamjui mtu huyo. hivyo ni mtu asiyejulikana!, hawa Tanzania Daima watawezaje kumbaini mtu asiyejulikana wakati serikali yenyewe yenye mkono mrefu unafika kila mahali, wameshindwa kumpata?. Hawa Tanzania Saima watakuwa ni waongo hawa, wazushi tuu!, watajuaje?.

Nijuavyo mimi alyemtishia Nape bastola ni mtu asiyejulikana na mpaka sasa anatafutwa na byombo vya sharia ili afikishwe mahakamani maana ni kosa la jinai, mtu kumtishia mtu bastola.

Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.

Shambulio la Lissu: Wajue Wasiojulikana Watakaojulikana na 'Wasiojulikana' Ambao Kamwe, Hawatajulikana!.
P.
Salute kaka!
 
Source: Tanzania Daima: Gazeti la CHADEMA.. Byeeeeee see you again
 
Hata waliomshambulia Tundu Lissu pia ni watu wasiojulikana na wanatafutwa!, kinachokwamisha kupatikana kwa watu hawa ni mtu pekee alyewashuhudia, amekataa kutoa ushirikiano kwa polisi ili wawakamate, hivyo mtu huyo anasubiriwa, akiishapatikana na kuelezea wakoje, ndipo uchunguzi wa kuwabaini uanze!.
P.

That is Pascal! napenda uandishi wake.
 
Back
Top Bottom