Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,716
- 45,117
Amepost tweet hii dakika chache zilizopita, je huo ukimya ni nini? Tusubiri saa 1:00 usiku
====
Update, Joseph Mbilinyi (Sugu) avunja ukimya kwa kuongelea Covid-19
Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amejitokeza na kuvunja ukimya kwa kufafanua madhara ya ugonjwa wa Covid-19 na madhara yake.
Katika kuffanua hoja yake Sugu amemtolea mfano kaka yake wa damu ambaye alipata maradhi hayo akalazwa na kuwekwa katika mitungi ya kupumulia kwa zaidi ya wiki tatu.
Sugu amesisitiza kuwa ugonjwa huo ni hatari na matibabu yake yanagharimu kwa kiasi kikubwa sana.
Mwisho, Sugu ametoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kupata chanjo ya corona ili kuikinga miili yao dhidi ya maambukizi na athari za ugonjwa huo.
====
Update, Joseph Mbilinyi (Sugu) avunja ukimya kwa kuongelea Covid-19
Aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu amejitokeza na kuvunja ukimya kwa kufafanua madhara ya ugonjwa wa Covid-19 na madhara yake.
Katika kuffanua hoja yake Sugu amemtolea mfano kaka yake wa damu ambaye alipata maradhi hayo akalazwa na kuwekwa katika mitungi ya kupumulia kwa zaidi ya wiki tatu.
Sugu amesisitiza kuwa ugonjwa huo ni hatari na matibabu yake yanagharimu kwa kiasi kikubwa sana.
Mwisho, Sugu ametoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kupata chanjo ya corona ili kuikinga miili yao dhidi ya maambukizi na athari za ugonjwa huo.