Alikiba aachia Wimbo wake mpya Dodo

Alikiba aachia Wimbo wake mpya Dodo

Naona wimbo unapigwa Wasafi TV, je ni nani alieupeleka huko ama wameiba mtandaoni? Je Alikiba ana haki ya kuwashtaki kwa kupiga wimbo wake bila ridhaa ama zile sababu za kukataa kualikwa tamashani hazihusiki kwenye TV yao.
Nimejikuta nawaza ile sheria ya media kumlipa msanii ambae wimbo wake utasikika iliishia wapi!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums

Roho mbaya hiyo mkuu, wimbo tulitumiwa kwenye Email na management yake mwenyewe sasa kwanini tusiicheze? Hata Adam mchomvu ambae ni mfanya kazi wa clouds anamchukia mondi kichiz ila yeye ndiye wa kwanza kutuma nyimbo zake zichezwe wasafi media na zinachezwa bila hiyana.
 
Mwanzo nilikua naamini Ali kiba hapendi kabisa kujihusisha na maswala ya diamond lakini naanza kuamini sio kweli.

tukiachilia mbali swala la hamisa mobeto kuwa mwanamitindo wa video wanawaita “video vixen” , they way Ali kiba alikuwa anaji-portray kutokutaka kuhusishwa na chochote kuhusu diamond aliwaaminisha wengi kuwa yeye huwa hana time na attentions zisizozuwa na msingi kwake.

lakini huenda upepo unavyoenda inaonekana ameshindwa na inabidi ili abaki kwenye game walau kwa miaka kadhaa ijayo ni lazima asake attentions.

Wapo wataosema hamisa ni video vixen Kama wengine lakini kwa Ali kiba alivyotuaminisha alikuwa sio wa kumtumia hamisa kwenye hii video , anahitaji Ipate promotion ya kutosha, Je ali kiba ameamua kufanya janja janja (opportunist) sawa na diamond anavyofanyaga?
Mkuu unaoleta wewe ni uadui si ushindani wa game inamaana ali akitaka kuimba na rayvanny au konde boy itakuwa nikosa kubwa.kwakuwa ni wasanii wa wcb..acheni wivu wa kike.mbona tanasha alikuwa video vixen wa alikiba na baadae akatoka na mondi ulisikia watu wakipiga domo..mobeto pale yupo kazini kama ilivyo kuwa kwa tanasha.
 
Umeuonaje wimbo mpya wa Alikiba?

A: Amepatia
B: Sio mzuri
FB_IMG_1586446400334.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona kule Youtube viewers wameporomoka kutoka 947K had kufikia 798K, sa cjui na yeye huwa ananunua viewers kama alivyomnanga Chibuu..???
 
Back
Top Bottom