Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,728
- 4,415
Siku diamond akifa ndo utakuwa mwisho wa ALI KIBA kufahamika, nimeview huu wimbo kwasababu tu kuna watu huwa wanamfananisha na diamond.
Yatatokea yalotokea kwenye bongo movie
Mashabiki wasioijua Sanaa walimpambanisha KANUMBA na Rey, Leo KANUMBA hayapo, hata hizo movie za Rey hawaangalii[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yatatokea yalotokea kwenye bongo movie
Mashabiki wasioijua Sanaa walimpambanisha KANUMBA na Rey, Leo KANUMBA hayapo, hata hizo movie za Rey hawaangalii[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app