Debwadebwa
JF-Expert Member
- Sep 29, 2014
- 204
- 281
Walifika millioni 1Naona kule Youtube viewers wameporomoka kutoka 947K had kufikia 798K, sa cjui na yeye huwa ananunua viewers kama alivyomnanga Chibuu..???
Walifika millioni 1Naona kule Youtube viewers wameporomoka kutoka 947K had kufikia 798K, sa cjui na yeye huwa ananunua viewers kama alivyomnanga Chibuu..???
Ndio maana nikasema huyu Chibudee ni mnafki jina tu ni nickname ya diamond sasa hapa kuna chakujadili mzee.
. Kama kuna kitu Ali kiba alichokuwa anakosea ni Maudhui ya video kuendana na anacho kiimba.Ila kwa huu wimbo kiukweli kanisuprise kabisaa, naweza sema Characters Wa video hii na mazingira pia shooters walijipanga kwan ni video unaweza itazama icikuchoshe.Tukija katk audio nadhan ni muendelezo Wa Kiba yule yule mwenye mashair yasiyo kupa mashashaka yakusikiliza na rika tofaut na yapo wazi.Kikubwa Ali Kiba anapaswa kubadili aina ya Bits amazotumia kwa sasa kwan zimepoa sana hivyo kibiashara kwake inaweza isimsaidie,Tukitazama hata nyimbo zilizokimbiza karibuni ambazo ni AJE, na SEDUCE ME nilikuwa na mapigo ambayo yalimfanya msikilizaj ainjoy na kuucheza pia.Alikiba ni msanii mkubwa mwenye kipaj kikubwa anayekosa washaur sahih Wa kaz zake.Naamin kama angekuwa serious kuwekeza katk mziki wake angefanya makubwa sana.Umeuonaje wimbo mpya wa Alikiba?
A: Amepatia
B: Sio mzuriView attachment 1414053
Sent using Jamii Forums mobile app
. Kama kuna kitu Ali kiba alichokuwa anakosea ni Maudhui ya video kuendana na anacho kiimba.Ila kwa huu wimbo kiukweli kanisuprise kabisaa, naweza sema Characters Wa video hii na mazingira pia shooters walijipanga kwan ni video unaweza itazama icikuchoshe.Tukija katk audio nadhan ni muendelezo Wa Kiba yule yule mwenye mashair yasiyo kupa mashashaka yakusikiliza na rika tofaut na yapo wazi.Kikubwa Ali Kiba anapaswa kubadili aina ya Bits amazotumia kwa sasa kwan zimepoa sana hivyo kibiashara kwake inaweza isimsaidie,Tukitazama hata nyimbo zilizokimbiza karibuni ambazo ni AJE, na SEDUCE ME nilikuwa na mapigo ambayo yalimfanya msikilizaj ainjoy na kuucheza pia.Alikiba ni msanii mkubwa mwenye kipaj kikubwa anayekosa washaur sahih Wa kaz zake.Naamin kama angekuwa serious kuwekeza katk mziki wake angefanya makubwa sana.
Umeongea point kubwa Sana jamaa anashindwa kufanya mziki utaopendwa na wengi mfano mzuri ngoma yake hii atachukua hata wiki moja itapotea. Kama kuna kitu Ali kiba alichokuwa anakosea ni Maudhui ya video kuendana na anacho kiimba.Ila kwa huu wimbo kiukweli kanisuprise kabisaa, naweza sema Characters Wa video hii na mazingira pia shooters walijipanga kwan ni video unaweza itazama icikuchoshe.Tukija katk audio nadhan ni muendelezo Wa Kiba yule yule mwenye mashair yasiyo kupa mashashaka yakusikiliza na rika tofaut na yapo wazi.Kikubwa Ali Kiba anapaswa kubadili aina ya Bits amazotumia kwa sasa kwan zimepoa sana hivyo kibiashara kwake inaweza isimsaidie,Tukitazama hata nyimbo zilizokimbiza karibuni ambazo ni AJE, na SEDUCE ME nilikuwa na mapigo ambayo yalimfanya msikilizaj ainjoy na kuucheza pia.Alikiba ni msanii mkubwa mwenye kipaj kikubwa anayekosa washaur sahih Wa kaz zake.Naamin kama angekuwa serious kuwekeza katk mziki wake angefanya makubwa sana.
Aje mpaka kesho naielewa sana sana remix.... Kama kuna kitu Ali kiba alichokuwa anakosea ni Maudhui ya video kuendana na anacho kiimba.Ila kwa huu wimbo kiukweli kanisuprise kabisaa, naweza sema Characters Wa video hii na mazingira pia shooters walijipanga kwan ni video unaweza itazama icikuchoshe.Tukija katk audio nadhan ni muendelezo Wa Kiba yule yule mwenye mashair yasiyo kupa mashashaka yakusikiliza na rika tofaut na yapo wazi.Kikubwa Ali Kiba anapaswa kubadili aina ya Bits amazotumia kwa sasa kwan zimepoa sana hivyo kibiashara kwake inaweza isimsaidie,Tukitazama hata nyimbo zilizokimbiza karibuni ambazo ni AJE, na SEDUCE ME nilikuwa na mapigo ambayo yalimfanya msikilizaj ainjoy na kuucheza pia.Alikiba ni msanii mkubwa mwenye kipaj kikubwa anayekosa washaur sahih Wa kaz zake.Naamin kama angekuwa serious kuwekeza katk mziki wake angefanya makubwa sana.
Issue ipo ukitaka kuwini mziki wa bongo na watanzania wengi tengeneza vitu hiv viwili kwa ufasaha beat nzuri, Melody nzuri mashairi hata ukinzingua sio mbaya haijalishi unafanya mziki wa slow au wakuchangamka ngoma ya Raha ya Mario ni ya slow lakini imehit cos beat yake ni nzuri na Melody ni Kali ingawa pia Ina mashairi mazuri, ngoma ya diamond baila ni slow lakini ilihit kwenye kipindi hiki hiki cos alitengeneza Melody Kali na ngoma Ina beat nzuri ingawa pia Ina mashairi mazuri.Tukija kwa kiba alichofeli kwenye ngoma yake hii ni beat ya wimbo sio nzuri ukiangalia pia Melody ya wimbo sio mzuri ingawa mashairi ni mazuri ukishafeli kwenye beat na Melody ni ngumu kwa ngoma yako kupendwa na wengi especially vijana na hapa ndio alipokwama.Kwamba wimbo ukipoa unakuwa sio mzuri..
Au neno ' kupoa ' kwako linatafsiri ipi mkuu..
Tuanzie hapa kwanza..
Naisubiri kusikia maoni yako.
Issue ipo ukitaka kuwini mziki wa bongo na watanzania wengi tengeneza vitu hiv viwili kwa ufasaha beat nzuri, Melody nzuri mashairi hata ukinzingua sio mbaya haijalishi unafanya mziki wa slow au wakuchangamka ngoma ya Raha ya Mario ni ya slow lakini imehit cos beat yake ni nzuri na Melody ni Kali ingawa pia Ina mashairi mazuri, ngoma ya diamond baila ni slow lakini ilihit kwenye kipindi hiki hiki cos alitengeneza Melody Kali na ngoma Ina beat nzuri ingawa pia Ina mashairi mazuri.Tukija kwa kiba alichofeli kwenye ngoma yake hii ni beat ya wimbo sio nzuri ukiangalia pia Melody ya wimbo sio mzuri ingawa mashairi ni mazuri ukishafeli kwenye beat na Melody ni ngumu kwa ngoma yako kupendwa na wengi especially vijana na hapa ndio alipokwama.
1.MwanaTaja nyimbo5 za alikiba unazozikubali..
Taja nyimbo5 za diamond usizozikubali..
Nataka ninote kitu hapa..
1.Mwana
2.My everything
3.Aje
4.Far away
5.Dushelele
ila sijapanga kimpangilio hapo kwa Kiba
Diamond sizipendi ngoma mbili tu za kwake
1.baba lao
2.kidogo