mankachara
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 6,161
- 3,496
Mimi mpaka watu waipende nyimbo ndiyo niisikilize
Muziki anafanya ili aendeshe maisha yake au anafanya tu ili kujifurahisha?Hiki tu ndoulichokiona tu? Binadamu hata ufanye jema gani kuna watakaokupinga tu!
Sasa wew unateseka na nini? The world is full of choices, hulazimishwi kuchagua kimoja wala hatuwezi kuwa sawa....
Usipende kukosoa wenzio wakati wew hakuna ulilofanya juu ya kitu kilekile!
Sent using Jamii Forums mobile app