Alikiba aachia Wimbo wake mpya Dodo

Alikiba aachia Wimbo wake mpya Dodo

Punguza chuki na nyege ndipo uandike vzr THEY WAY ndo nini
Wala sio chuki ni ukweli unaoonekana wazi, kuhusu suala la spelling mistake binadamu yoyote anafanya. Chill sikiliza nyimbo ya msanii wako pendwa, unaonekana ni shabiki wa damu ambae hata kwenye show za ali kiba huwa huendi😂
 
Ngoja niivizie e tv ila comments zinachekesha sana
 
Kiba kunyoosha mikono sasa!!

Hana kipya tena mitindo ile ile mahadhi yale yale nirasmi sasa anajiondoa kwenye soko la wababe na kimataifa kwa ujumla.

Anachanganya sana udini na muziki nafikiri anatakiwa kuamua kufanya jambo moja. Duniani au Akhera.

Maana anashuka kwa kiwango kikubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3] Wabongo mna vituko sana.. Ww umtungie nyimbo kiba

Daktari wa Meno ni multitalented bro. Jamaa ni daktari, na amejifunzia udaktari YouTube, ni mtanesco (alishawahi kufanya kazi tanesco), ni dreva, ni mkulima, pia alitakiwa agombee udiwani akakataa anataka kugombea ukuu wa wilaya.

Kwa hiyo hata swala la kutunga nyimbo si ajabu anaweza.
 
Siyo kama alikuwa hataki kubadilika Bali yeye yupo kwenye transition ambayo wenzake walipitia miaka mitatu minne ilopita. Yaani yeye Akili yake iko kinyume na wengine, kama ni dent basi ni very slow Lerner!
Hivi ni LERNER kweli???... Kwikwikwiiiiiiii kuandika shughuli kumuelewa Kiba utaweza wapi??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeamini mchawi sio lazima apae na ungo, unasemaje Kiba amepanic wakati miezi 6 imepita tangu atoe wimbo wake wa mwisho kabla ya huu?

Punguza njaa.

Go Kiba Gooooo.

The best Medicine of Corona is to Stay Home.
Makonda alikuwa anapiga kelele tu watu wasizurure DAWA YA KUTOZURURA NI DODO tunaiskiza Mara 10/10 tukiwa tumetuliaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu binafsi sijauelewa huu wimbo sema utakiki kwasababu kuna Mobetto, but huyu jamaa inatakiwa atulie apunguze panic. Mziki ni kupanda na kushuka akubali tu kwamba kashuka. Mimi namshauri kama yupo humu ndani aanze upya kuimba yaani awe underground akubali kwenda studio kujipima uwezo asitoe nyimbo kwanza.
.
.
Maendeleo hayana vyama

Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo bhana sasa ile nyimbo ina ubaya gan wakati for the first time nineona sherria za uandishi zimefatwa mule na uhakika hajaandika yeye ile nyimbo

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
Back
Top Bottom