Wimbo ni mbaya ila video ndo ipo vizuri ila Kama umeharibu kwenye wimbo asitegemee video imbebe.Waliozoea kuona mavideo vixen wako uchi huu wimbo watasema mbaya[emoji28][emoji28][emoji1321]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo ni mbaya ila video ndo ipo vizuri ila Kama umeharibu kwenye wimbo asitegemee video imbebe.Waliozoea kuona mavideo vixen wako uchi huu wimbo watasema mbaya[emoji28][emoji28][emoji1321]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji81][emoji81][emoji81]kibakuli sometimes ana mambo ya kishamba sana.
Wimbo ni mbaya ila video ndo ipo vizuri ila Kama umeharibu kwenye wimbo asitegemee video imbebe.
Ki-pencil hawezi kukubali watamroga apotee kabisaNimesikiliza huu mwimbo, ila kiukweli Ali Kiba inabidi afikirie kumshirikisha mondi au harmonize kwenye nyimbo zake ili wambusti arudi tena juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nnhh...Jeje ni wimbo mbaya kuwai kutokea lakini hamkuunanga hivi.. Acheni double standard
😀😀😀😀 RobidinyoAli Kiba hapendi kujionyesha tu,nicki Minaj kampigia sana simu King Kiba ili awe japo hata video vixen tu kwny huo wimbo jamaa akamchomolea nje akaona bora amchukue Mobeto.
Ametanguliza maslahi mapana ya nchi yetu,ni mzalendo na hapendi kujionyesha.
Naona wimbo unapigwa Wasafi TV, je ni nani alieupeleka huko ama wameiba mtandaoni? Je Alikiba ana haki ya kuwashtaki kwa kupiga wimbo wake bila ridhaa ama zile sababu za kukataa kualikwa tamashani hazihusiki kwenye TV yao.
Nimejikuta nawaza ile sheria ya media kumlipa msanii ambae wimbo wake utasikika iliishia wapi!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umewahi kujiuliza lini Chris Brown ameleta nyimbo Tanzania kama hajawahi mbona unazisikia na kuzitazama?Naona wimbo unapigwa Wasafi TV, je ni nani alieupeleka huko ama wameiba mtandaoni?
Hana haki ya kuwashitaki ila ana haki ya kuwaambia wasipige kwa kuwaandikia barua na wataacha mara moja ila hajawahi.Je Alikiba ana haki ya kuwashtaki kwa kupiga wimbo wake bila ridhaa ama zile sababu za kukataa kualikwa tamashani hazihusiki kwenye TV yao.
Sheria ya mirabaha Tanzania ipo ila ni mfu haifanyi kazi.Nimejikuta nawaza ile sheria ya media kumlipa msanii ambae wimbo wake utasikika iliishia wapi!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums