Kukaja Kununu
JF-Expert Member
- Mar 27, 2017
- 1,077
- 1,212
Kwa taarifa nilizopata za chinichini n kuwa serikali itatangaza huu wimbo kama tiba ya Covid-19
nyimbo iko vyema ila video ndio kavuluga.....
No coment mashairi mazuri ila wimbo umepoa sana..wanaopenda watapenda na wasiopenda basi tusubiri nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu pekee kanivutia ni kajitahidi sana kubadilika kwenye video zake sikuhizi zipo tofuti mno na zamani.!
kazi ipo mbna hao wachambuzi wa JeiefuuWimbo wa kawaida na ni mzuri kwa kusikiliza ukiwa ume tulia zako utaki stress..
Sent from my SM-A105G using Tapatalk
Upo sahihi.Mkuu binafsi sijauelewa huu wimbo sema utakiki kwasababu kuna Mobetto, but huyu jamaa inatakiwa atulie apunguze panic. Mziki ni kupanda na kushuka akubali tu kwamba kashuka. Mimi namshauri kama yupo humu ndani aanze upya kuimba yaani awe underground akubali kwenda studio kujipima uwezo asitoe nyimbo kwanza.
.
.
Maendeleo hayana vyama
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji81][emoji81][emoji81]Ali Kiba hapendi kujionyesha tu,nicki Minaj kampigia sana simu King Kiba ili awe japo hata video vixen tu kwny huo wimbo jamaa akamchomolea nje akaona bora amchukue Mobeto.
Ametanguliza maslahi mapana ya nchi yetu,ni mzalendo na hapendi kujionyesha.
Mbaya mnoooSijauona huu wimbo, ila kutokana na maoni ya watu tafiti inaonesha WIMBO NI MBAYA.