Kuna video ya Ali Kiba ambapo video queen ni Tanasha (mzazi mwenzake Diamond).
Hii video mpya nayo video queen ni mzazi mwenzake na Diamond.
Ali Kiba amewahi kutoka na Jokate (x wa Diamond).
Kwenye wimbo wa Aje, Ali Kiba aliwahi kumwimba Wema Sepetu (x wa Diamond).
Ali Kiba ajifunze kutafuta cycle nyingine nje ya ile inayomhusu Diamond.
Kuna video ya Ali Kiba ambapo video queen ni Tanasha (mzazi mwenzake Diamond).
Hii video mpya nayo video queen ni mzazi mwenzake na Diamond.
Ali Kiba amewahi kutoka na Jokate (x wa Diamond).
Kwenye wimbo wa Aje, Ali Kiba aliwahi kumwimba Wema Sepetu (x wa Diamond).
Ali Kiba ajifunze kutafuta cycle nyingine nje ya ile inayomhusu Diamond.
Diamond sio mmiliki wa hao watu, yeye aliwapitia tu.
Nyimbo zote za Diamond za hivi karibu zote mbaya Sana, sioni la maana analoimbaJeje ni wimbo mbaya kuwai kutokea lakini hamkuunanga hivi.. Acheni double standard
Mkuu, kuhusu Kiba kumtumia mobetto kama video vixen si kwaajili ya kutengeneza attention, ikumbukwe miaka kumi iliyopita kiba alimtumia mobetto kama video queen kwenye wimbo wa mdogo wake abdukiba "hatuna habari nao" kipindi icho mobetto hata hafahamiki. Je napo alitafuta attention?
PumbaNi wimbo mzuri kwa 70% ila utapata wakosoaji wengi kwa sababu:
● Sio wimbo wa kuamsha popo, wimbo ni utulivu kwa watu wa kiwango cha kati na juu na sio uswazi kwenye ushabiki wa kukata mauono (uswahilini)
● Video ni nzuri ila hakuna dancers kuchangamsha nyimbo. Muziki wa Leo uli wapate mashabiki hasa vijana "kucheza" ni lazima. Hii style yake ya kudengua na sio kuonesha ufundi wa kucheza si tu unaunyima wimbo huu hadhi yake Bali pia hata zile #dodochallenges zinazoamsha ushabiki mitandaoni na uswahili zitakufa kifo cha mende.
● Uvaaji wa King Kiba lazima usiwe ule uliozoeleka kwenye nyimbo zake zote. Haya makofia, miwani, na suti za kubana si lazima zionekeane lila video zake. Haya mavazi za kuonesha sijui usultan au ufalme auache. Mahadhi na uvaaji wa kiislam (povu hapana siruhusu) kuvaa kwa namna hiyo na jambia kiunoni unachosha. Ufike mahali avaae kama mwanamuziki katika video zake. Awaone kina Psquare, Tekno, Chriss brown , NeYo na wengine wanavyovaa katika nyimbo zake na si kila video zake ziakisi tamaduni za Mwarabu, yarabu au uislam. Lazima paige gear za "kikafiri' pia (sitaki povu pia hapa)
Nimalize kwa kusema, wimbo huu ni wimbo mzuri kwa mtu utulivu (ambao kimsingi si wanunuzi/watazamaji wa kazi zake YouTube) angeweka vikorombwezo za kiuno, na wanenguaji angepata maviwers zaidi na biashara ingepanda kea sababu hicho ndicho wanataka vijana wa Leo!
Auna kichwa kingine nyumbani..ukibadilishe na iki kilicho andika apaNaona wimbo unapigwa Wasafi TV, je ni nani alieupeleka huko ama wameiba mtandaoni? Je Alikiba ana haki ya kuwashtaki kwa kupiga wimbo wake bila ridhaa ama zile sababu za kukataa kualikwa tamashani hazihusiki kwenye TV yao.
Nimejikuta nawaza ile sheria ya media kumlipa msanii ambae wimbo wake utasikika iliishia wapi!!!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimekwisha Fanya hivyo pia Akhsantee!Mkuu binafsi sijauelewa huu wimbo sema utakiki kwasababu kuna Mobetto, but huyu jamaa inatakiwa atulie apunguze panic. Mziki ni kupanda na kushuka akubali tu kwamba kashuka. Mimi namshauri kama yupo humu ndani aanze upya kuimba yaani awe underground akubali kwenda studio kujipima uwezo asitoe nyimbo kwanza.
.
.
Maendeleo hayana vyama
Sent using Jamii Forums mobile app