Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahah some people bhana.
Eti anawaambia wenzie wana elimu ndogo....elimu ndogo compared to who??? Smh
Wewe mwenye elimu kubwa ndo ikoje? Ina ukubwa gani?! Mbona waonekana lafa tu!! Heheh ebu nitie kicheko cha sunna mie!

Alafu nawe Matola naona ka unazingua tu daily kujipendekeza mtaa wa pili.
Kwani ukimkosoa Kiba ni lazima ukajisifu kwa jirani? Huko ni kujikosha tu ndo ukae ukijua hata kama we unaona sifa FYI wanakuchora tu.
Kama mtu unaona Kiba anazingua si umteme tu kwani sh ngapi aseee??!
Wakosoaji hawako hivo ila watafuta sifa kwa nguvu ndo mmejificha under the umbrella of kukosoa!
Avemaria hapo hata kasatifiketi huna je ukipata kadegree si tutakukimbia, hii akili kubwa mno ujue.
 
Last edited by a moderator:
Kula gwala halafu simwonagi akiwapa nakoz hawa wajingawajinga au kuanzisha thread ndio umemaliza hahaha yani ukiona mpinzani wako anakusifia ujue kuna walakin. Hata kwenye ktma sikumwona akimnadi kiba kisana au labda ni silent killer 😡😡😡😡:what:

There is something going on behind the scene, waelewa wanaelewa
#chekechevideovibes
#i 'llalwaysloveyouking
 
Yaani we acha tu, hiki kipaji walah ni dhambi kubwa kutokukirecognize ndio maana majirani hawataki dhambi kutwa tuko nao humu wanamrecognize japo in a bad way ila wenyewe wanaujua ukweli mioyoni mwao, wanamkubali King vibaya mno na anawaendesha hatari, basi tu wanajitoa ufahamu.

Wanashindana na asoshindana si uendawazimu huo, acha awakimbize na inabidi wamshukuru sn King maana bila yeye wangelala, kawaamsha hatari.
Hebu na wote tuwe na adabu na tuseme "Hasante King"

Wanajifaragua tu hao.
Na ndo maana wanatumia nguvu nyingi sana waendelee kuwepo kwenye ramani.

Asante King, energy kidogo mwitikio ewaaaa!!
 
Kula gwala halafu simwonagi akiwapa nakoz hawa wajingawajinga au kuanzisha thread ndio umemaliza hahaha yani ukiona mpinzani wako anakusifia ujue kuna walakin. Hata kwenye ktma sikumwona akimnadi kiba kisana au labda ni silent killer 😡😡😡😡:what:

Tunatofautiana sana umri humu, ukikuwa utaelewa tu kwa sasa hata kwa bakora huwezi kunielewa. Soma kwa bidii na maarifa utakuwa muelewa.
 
Hivi wema jana kasemaje vile kuhu tuzo za KTMA juu ya kumpigia kura kiba... daaa wema bwana napenda kweli kipond chako

Wewe ni ndoooorobo wa wapi wewe??? Campaign ni jambo la kawaida ulitaka akae kimya asijipromoti??? Hivi ulikuwa husikii hata kina lina na barnaba wakiwa promoted na clouds??? Au boss wako mondi sasa anavyoomba kura kwa kutengeneza ads kibao na baadhi ya wasanii wenzie kumpromoti??? Na sasa hujaona davido akiweka bendera ya bongo na yemi alade kuweka ya kenya??? Huko ni kuomba votes mama eeeee usijifiche sana ndani mpaka mambo ya huku nje yanakupita hujui hata industry inaendaje
 
Wanajifaragua tu hao.
Na ndo maana wanatumia nguvu nyingi sana waendelee kuwepo kwenye ramani.

Asante King, energy kidogo mwitikio ewaaaa!!

Aiii teeena, wao waendelee kupoteza energy zao tu, maana hata sioni wanachoendelea kuprove
 
Hahahaha Dai na management yake washapanic, oyoooooo kingKiba

Wao wanadhani kuimba kinaijeria ndio kimataifa, Twende Kiba hakuna kulala

#Rockstar4000 presents

Nao hata waimbe sijui mdundiko ila washaisoma, King nikimbizie hawa watu wanaokimbia mbio wasizozijua! Alaaaaaa
 
Tunatofautiana sana umri humu, ukikuwa utaelewa tu kwa sasa hata kwa bakora huwezi kunielewa. Soma kwa bidii na maarifa utakuwa muelewa.

Hahahahaha we ngoja nikuache mana timu chibu isijenivamia bureeee mana ndio watetezi wako. Anyway kama baridi kuwa baridi na kama moto ni moto, la sivyo unaonekana kungulu tu.
 
Hahahahaha we ngoja nikuache mana timu chibu isijenivamia bureeee mana ndio watetezi wako. Anyway kama baridi kuwa baridi na kama moto ni moto, la sivyo unaonekana kungulu tu.

Sawa Great thinker, una akili nyingi sana ubarikiwe.
 
Mtasema yote mwaka huu, unajua kiba ni zaidi ya boss wako mondi ( ukitoa makolabo ya wanigeria ambayo wanampa msanii chipukizi mondi). Hii comment yako inaonyesha jinsi unavyosubir kwa hamu mfalme atakuja na kitu gani hhahhahaahha mbona huwa huzisubirii video za kina shilole na mziwanda. Chungu kumeza ila umejitutumua mzee, angalia trace kesho kisha ufungue thread.

Kiba anajulikana hapo mwananyamala kwenu. Nje ya hapo ni underground kama nuhu mziwanda tu...
 
Hivi kwanini alikiba akitangaza kutoa wimbo mpya au video huyu jamaa lazima aje na mambo ya "should I drop this one " cjui "u gonna love it " Mimi mpka Leo nasubiria kale kawimbo alichokitangaza na psquare kwa mtindo Wa should I drop this
Mwambieni aache kuwa na mawazo ya wavaa chachandu

Huyo Ali kiba katangaza wimbo gani mpya kwan
 
Kiba anajulikana hapo mwananyamala kwenu. Nje ya hapo ni underground kama nuhu mziwanda tu...

Hahahaha nafurahi kusikia kwamba mi na wewe tunakaa hapa mwananyamala kwa sababu umemjuaje kama wewe upo nje ya mwananyamala???? Karibu chama kubwa mzee.
 
Mi namshangaa huku kudrop video kila siku kunamshusha sana, hivi haoni tanzania nzima sasa inazizima kwa kusubiri cheketua??? Ajifunze kwa the #king kiba

Toka mda alisema After 3/month ana dondosha video mpya we mbona davido last year alitoa owo n Koko halafu akaja kutoa the sound sasa ivi ana fans mi ukiwa na ela everything is possible n library zpo nyimbo nyingine sn zina video tayari bado kuzifumua tu sio mnatoa audio video hata miezi 7 au mwaka toka audio itoke
 
Toka mda alisema After 3/month ana dondosha video mpya we mbona davido last year alitoa owo n Koko halafu akaja kutoa the sound sasa ivi ana fans mi ukiwa na ela everything is possible n library zpo nyimbo nyingine sn zina video tayari bado kuzifumua tu sio mnatoa audio video hata miezi 7 au mwaka toka audio itoke

Habari za kuamka, ushapiga mswaki lakini
 
Mwaka huu katoa Nasema nawe na Nana hizo mbili...

Mwana vipi si alishoot kwa god father??? amepata hata msanii chipkizi??

Dangote nitampata wapi imempa mtumbuizaji bora, bumbum imempa best collable, na consistency yake kumaintain mwaka mzima ameonwa kama mwanamuziki wa kiume bora zaidi...

Wizkid- crazy aliyoshirikishwa na sayshay imempa best collable, show you the money imempa best song, na consistency imempa best male

Davido mwaka jana katoa nae nyimbo nying tu shoki alishirikishwa imempa best song, collable na video the sound pamoja na best male... Still alitoa nyimbo nyingi aye, tchelete, naughty, owo ni koko, sasa diamond mdogomdogo, bumbum na ntampata wapi kwa mwaka unaona nyingi hahahahahahaha

masikini aliye na buku mfukoni, hata ukitumia 20000 tu anaona umefanya kufuru hahahaha ni uwezo tu

Aiseeee bora umeambia maana wanaona ajabu diamond anavyo fumua video hawazoea kwa k kutoa video n audio pamoja washazoea viporo
 
Back
Top Bottom