Ingia instagram kwenye page ya officialalikiba utaona kipande cha video ya Cheketua daah kama ndio vile haki ya Mungu bila ushabiki wala nini ile video kwa vyovyote haina viwango kama tunavyo vitarajia ,believe me kaka.
Ulitaka iweje?
Je umeiona?
Unataka kujua nimeionea wapi?
hiyo video bwashehe ya kawaida mnoo.
Mi naifananisha na BiLIma ya nuh mziwanda hahaahahah( natania tu jamani)
Ulitaka iweje?
Je umeiona?
Acheni pressure, video kama ni kali tutaisifia tu. Kama mbovu itapondwa vilevîle.
Bilima !! Huo wimbo siujui
Unaweza kuuattach happa?
Video mbovu sana,yani alikiba kwa uwezo alionao hawezi kutoa video mbaya hata kufunikwa na vanesa au joh makin na hata na shikorobo ya sheta,ni bora angeenda hata ogopa wangemtengenezea video nzuri ila ki ukweli kaaribu vibaya