Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Attachments

  • 1435440594941.jpg
    1435440594941.jpg
    47.4 KB · Views: 89
Should we drop this vp tufumue tulisema after 3 month tunafumua nyingine 😀😀😀 audio n video sio video mwakaaa
 

Attachments

  • 1435442611252.jpg
    1435442611252.jpg
    42.8 KB · Views: 76
Ndo kukosa kazi huko unaweza kukuta watu wachache wana I view kila sasa. Je yule mkorea aliye vunja record ya kuwa na viewers billion moja kwahyo ni bora kuliko wasanii wengine.
Tatizo wanafanya kila kitu kwa mashindano huyo domo kwa Davido atasubiri sana si kielimu wala mkwaja wala family level na background yake. Aiendelee kujidaganya. Davido made him famous.

Vp msanii chipukizii Ali k kufikia levo ya diamond itakuwa lini iyo :what:
 
Shalom TeamUshindi.

Ile video iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kutoka kwa King of Afro pop in East Africa, Allikiba, itakuwa released jumatatu hii.

Video hii ya chekecha ipo directed na Director Mejilabi ambaye ni miongoni mwa directors wakubwa Africa na mwenye records nzuri kama video zake 2 kuingia katika category ya video bora ktk tuzo za Mtv Mama mwaka huu.

#Rockstar4000 presents

Acha uongo ww embu taja video alizofanya mejilabi n zikabamba zaidi ya crazy ya shei shey ft wiz kid crazy taja video nyingine aliofanya IPO MTV awards we jamaa unawadanganya wenzako et video mbili aiseeee n moja tu iyo crazy
 
Acha uongo ww embu taja video alizofanya mejilabi n zikabamba zaidi ya crazy ya shei shey ft wiz kid crazy taja video nyingine aliofanya IPO MTV awards we jamaa unawadanganya wenzako et video mbili aiseeee n moja tu iyo crazy

usiku mwemah ?? #teamkiba
 

Attachments

  • 1435446390246.jpg
    1435446390246.jpg
    33.2 KB · Views: 86
usiku mwemah ?? #teamkiba

Jamaa yko kasema huyo director ana video mbili ktk kipengelee cha best video mwaka huu mtv awards me nimemuambia kaigiza video moja tu n hana video nyingine iliobamba zaidi ya iyo ya crazy usikurupuke izo NEA awards hata diamond yupo pia cjui unajua aya kakojoe ulale
 
Vp msanii chipukizii Ali k kufikia levo ya diamond itakuwa lini iyo :what:

Hivi kwanini alikiba akitangaza kutoa wimbo mpya au video huyu jamaa lazima aje na mambo ya "should I drop this one " cjui "u gonna love it " Mimi mpka Leo nasubiria kale kawimbo alichokitangaza na psquare kwa mtindo Wa should I drop this
Mwambieni aache kuwa na mawazo ya wavaa chachandu
 
Hivi kwanini alikiba akitangaza kutoa wimbo mpya au video huyu jamaa lazima aje na mambo ya "should I drop this one " cjui "u gonna love it " Mimi mpka Leo nasubiria kale kawimbo alichokitangaza na psquare kwa mtindo Wa should I drop this
Mwambieni aache kuwa na mawazo ya wavaa chachandu

Mi namshangaa huku kudrop video kila siku kunamshusha sana, hivi haoni tanzania nzima sasa inazizima kwa kusubiri cheketua??? Ajifunze kwa the #king kiba
 
Hivi kwanini alikiba akitangaza kutoa wimbo mpya au video huyu jamaa lazima aje na mambo ya "should I drop this one " cjui "u gonna love it " Mimi mpka Leo nasubiria kale kawimbo alichokitangaza na psquare kwa mtindo Wa should I drop this
Mwambieni aache kuwa na mawazo ya wavaa chachandu

mkuu umesahau collable na mafikizolo... Afu suala la kutoa ni maamuzi yani vichupa vingi saaaaaana tunafanya doli doli tu hakuna longolongo na kuna uwezekano hiyo ikatoka mwakani hivyo yanii kibabe zaidi...

No gademu longoloñgo 😎 No kauka nikuvae tunachagua tu...
 
Mi namshangaa huku kudrop video kila siku kunamshusha sana, hivi haoni tanzania nzima sasa inazizima kwa kusubiri cheketua??? Ajifunze kwa the #king kiba

Uwe unashirikisha akiliyako sio kila mda mahaba niuwe, diamond amerelease nyimbo 2 mwaka huu, huyo kiba ndio uwezo wake video 1 kwa mwaka, afu hata hivyo amekaa kibongobongo zaidi inakuwa haimcost sana...

Ndio maana unaona diamondz davido, na wizkid wanaongoza kwa nominations mtvmama unajuwa kila mmoja anaproject ngapi kwa 2014???

Usifananishe mwanamuziki local na wakimataifa sisi tunaenda ki proffesional ndio maana mambo yanajipa...
 
Wewe matumbo njoo kwa Legendary Sugu tuflash back huku usiwachefuwe wapendwa, leo tunaichambuwa Bongo Fleva ilikoanzia ili vijana wajifunze misingi ya huu muziki ulipotoka. Asiyejuwa Historia siku zote ni mtumwa.

Hahahahahah sawa bas.
 
Last edited by a moderator:
Uwe unashirikisha akiliyako sio kila mda mahaba niuwe, diamond amerelease nyimbo 2 mwaka huu, huyo kiba ndio uwezo wake video 1 kwa mwaka, afu hata hivyo amekaa kibongobongo zaidi inakuwa haimcost sana...

Ndio maana unaona diamondz davido, na wizkid wanaongoza kwa nominations mtvmama unajuwa kila mmoja anaprokect ngapi kwa 2014???

Usifananishe mwanamuziki local na wakimataifa sisi tunaenda ki proffesional ndio maana mambo yanajipa...

Kweli we wa tandale, hivi kuongoza nominations inatokana na wingi wa video??? Hebu rudi tena ucheki video anakuwa nominated kwa kipengele kipi na nyingine ni live na best male. Unaweza ukarelease video moja na ukaingia katika vipengele zaidi ya vitano kama ilivyo kwa bwanako domo upo hapo. Kudai kiba ni local mbona akipata hizi tuzo za local mnachachawa sana na kugwayagwaya. Umesema domo katoa nyimbo mbili tu hahahaaha!!! Ina maana taarab hamuihesabiii hahahahahahahah:sly::sly::sly:
 
Back
Top Bottom