Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Habari za kuamka, ushapiga mswaki lakini

Nimeamkaa mda sn coco si unajua mwisho wa mwezi huu nilikuwa bize kufanya mambo flan ya balance sheet za biashara zng 😀😀 vp we umekunywa hata chai Leo au ndo unajifanya umefunga kumbe una ela
 
Hahahaha nafurahi kusikia kwamba mi na wewe tunakaa hapa mwananyamala kwa sababu umemjuaje kama wewe upo nje ya mwananyamala???? Karibu chama kubwa mzee.

Hahahaaaa! Huna elimu ila unaona mbali ukiwa nayo sijui itakuwaje, hebu tukajiunge kasatifiketi fasta, vp ulishamaliza qt???

#chekechacheketuaaaaa
 
Nimeamkaa mda sn coco si unajua mwisho wa mwezi huu nilikuwa bize kufanya mambo flan ya balance sheet za biashara zng 😀😀 vp we umekunywa hata chai Leo au ndo unajifanya umefunga kumbe una ela

Hata anajua basi maana ya balance sheet.!!
 
Nimeamkaa mda sn coco si unajua mwisho wa mwezi huu nilikuwa bize kufanya mambo flan ya balance sheet za biashara zng 😀😀 vp we umekunywa hata chai Leo au ndo unajifanya umefunga kumbe una ela

Hahahaha sawa kende naona njiwa wanauzika sana mwezi huu.
 
Hahaaaa nilijiunga nikafeli ngoja nijiunge tena hahahah

Kazana bwana mwenzio hatimaye nimepata vi D viwili sio mchezo, nakimbizia setifiketi ila nasubiri mabilione wanichangie ada, nashangaa wamekaa kimya hata mchango hawatoi, waache uchoyo wawe wazalendo au hawataki wasomi tuwe wengi jamani!!

#chekechavideovibes
 
Kazana bwana mwenzio hatimaye nimepata vi D viwili sio mchezo, nakimbizia setifiketi ila nasubiri mabilione wanichangie ada, nashangaa wamekaa kimya hata mchango hawatoi, waache uchoyo wawe wazalendo au hawataki wasomi tuwe wengi jamani!!

#chekechavideovibes

Uzalendo wanaujua?? Hao ni wachoyo na wakiona unakarbia kupata kasetifiketi tu lazma wakufungulie thread ya kukatisha tamaa, si unaona jembe kiba linavyofanyiwa humu? Wanataka watoke wao tu, sie tubaki na ujinga wetu
 
Uzalendo wanaujua?? Hao ni wachoyo na wakiona unakarbia kupata kasetifiketi tu lazma wakufungulie thread ya kukatisha tamaa, si unaona jembe kiba linavyofanyiwa humu? Wanataka watoke wao tu, sie tubaki na ujinga wetu

Uwiiii now nimeamua hata wakifunga shule sirudi nyuma, wakifunga mlango nitapitia hata dirishani, wafanye wafanyavyo hizo ni kelele za chura tu, ada hata kwa kuuza njiwa nitapata tu(teh teh teh teh)
 
My local kimbiza hao intaneshino mpaka wawehuke na bado, Kiba anajua kuniwezea watu, khaaah mpaka anawekwa tangazo km mechi ya EPL, hapana chezea kwakweli, hii video inangojwa kuliko uchaguzi mkuu.
 
Back
Top Bottom