Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Oyoooooo! Hizi ni salamu kwa mtaa wa pili, jipangeni kwa dhoruba kali mwaka huu..
NDIO TUNAKUJA HIVYOOO!!!

Ha haa sasa cha ajabu nini??
Yani mngekuwa kama za dai zinavyooneshwa msinge lala...
Kwanza video ilishachuja kitamboo

Sankoro::sankoro
 

Attachments

  • 1433594249284.jpg
    1433594249284.jpg
    25 KB · Views: 304
Nilikuwa nawaza video itoke inikute nje ya nchi itakuwaje...
Au tuzo zitoke zinikute nipo nje ya nchi ingekuwaje...daah niliwaza sana.

Naomba matokeo ya tuzo ya icon wa tz iliokuwa inatolewa na chuo cha udsm n we ndo ulikuwa una hamasisha watu kupiga kura naomba matokeo now n swali tu plz
 
Jaman team kiba naomba matokeo ya tuzo ya icon ilikuwa inatolewa n chuo kikuu cha dar es salaam plz jaman maana kiba alikuwa anashiriki n kura zilikuwa zinapigwa zaidi ya Mara moja
 
Ha haa sasa cha ajabu nini??
Yani mngekuwa kama za dai zinavyooneshwa msinge lala...
Kwanza video ilishachuja kitamboo

Sankoro::sankoro

Kwani nani aliyesema kuna ajabu? Ajabu hiyo unaiona wewe.
Nimesema ninachojisikia, na wewe ungesema unachojisikia pia.
Sijaona haja ya kuniquote.
 
Tupe link tukavote yaani mie kura silazii damu.
Am a die hard fan wa Kiba......wewe mwaflani uliekuwa unahorojoka jana eti tunaact die hard fans....lako hili pita tena uliangalie kwa umakini upate cha kwenda kucomment si unapitaga kimya kimya unatuangaliiiiiiia kwa jicho lako la husda....kaogeeee bibi weee kisha kahemee vyupi vya wanao!!! Mxiiiuuuuu

Naombeni matokeo ya icon wa udsm wasomi wamemchagua nani ndo icon wa tz plz nisaidieni


Utadhani aliahidiwa ndoa, ye atulie tu maana ashapata chata la mfalme, genye zake kwa king zipo juu kweli




Oyoooooo, asante muandishi wetu wa habari wa Kiba Fans Ho. cute b....leo nimekupa heshima yako bibie, uko vizuri.
Leta link tuvote sie, wale wa mb 8, hata vocha za kupiga kura hawana ndio maana hawawezi kuvote.
Mwisho wa siku King Kiba akishinda wanakopa vocha halafu wanaingia humu na kumwaga povu utadhani walinyimwa wasipige kura.
 
Last edited by a moderator:
Gudmorning #TeamMuzikiMzuri #Teamkiba haya sasa @officialalikiba ameingia kwenye tuzo za Archivers awards zinazotolewa na chuo kikuu cha Dar es salaam kama most inspiration music icon.(msanii aliewashawishi watu wengi kupitia muziki wake, maisha yake na heshima yake kwa jamii inayomzunguka.) Nadhani wote tunajua #KingKiba
alivyo wa inspire vijana wengi kupenda kuimba, jinsi anavyoheshimika kwa mchango wake kwenye jamii na pia kama msanii asie na skendo za ajabu na anajichangaya na kila mtu kwenye jamii awe wa hali ya chini au ya juuu.
Basi twendeni tukampigie kura
BADO SIKU 2 TU.. baada ya hapo tunaendelea na #kilimusicawards nifah, atoto, Ms.Lincoln, Avemaria, Diva Beyonce, unanitaka, Matola na fans wote wa kiba

Kashinda nani iyo tuzo ya icon Dada yangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom