Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 840
Walah sipati picha,
Nimepita huku, watu mna roho ngumu, this is good, I like it
Walah sipati picha,
nifah hujambo?Hata mimi narudisha salamu...
Salaam Ruttashobolwa
Am very okey, just waiting for the bigest booom from the king himself
Oyoooooo, afanye hivyo tuserebuke kabla ya Ramadan. ..au nini?
Mwenyewe naugonja kwa hamu sana hyo video. I can't waiiiiiiit.
Umejuaje kuwa ana shindana na mond wewe. Na alikuja kukulalamikia kuwa anakula hasara. Naona umeandika personal issues zaidi sasa ulitaka asiwe close na mdogo wake awe na nani labda.?
Hoja yako haina mashiko hadi business class sijui nini umeandika pumba tupu. Nothing new ka unapenda domo endelea kumpenda hivo hivo sio kuanza Ku attack usichokikubali.
Watu wengine bhaaana...
Hayo ndo madhara ya kutokunywa chai mtu unaandika pumba tuu ili na yy awe ameanzisha sred
Sijaona mantiki ya kuanzisha thread....kwa jambo kama hilo...!
Welcome back dear, ila umerudi mapema kuliko nilivyodhani...
Hongera.
Asante mamy... ata mimi mwenyewe sikutegemea kama ningerudi leo yaani.
Nilikuwa nimekatiwa ticket ya tar 10 ila leo nipo apa.
Ama neneee....
Ngoma ikiachiwa nahisi watu hawatapumua...
Afu kweli aiachie b4 Ramadhan ili kwa pamoja tucheketuee...
Mambo zenu jamani.. nimewamith daaaaahhhh.