Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

+Honera Kiba kwani kwa ile wiki ya kwanza kutoka ilichezwa chezwa kwenye baadhi ya channel za kimataifa hongera kwa hilo
👏👏👏👏👏👏

+halafu nyie team Kei mnaonekana hamfuatilii habari mlikuaga wapi kusherehekea hii habari ya February 3 mnasherehekea leo.

+ ha haa haaa 😁😁😁😁😀
Msijipe moyo video ya mwana kwa sasa haipigwi kituo chochote cha kimataifa, TBC kwenyewe hawapigi washaitia kapuni, sasa hivi habari ya maMTV huko ni Nana tu!
 

Attachments

  • 1433609795407.jpg
    1433609795407.jpg
    17.4 KB · Views: 170
+Honera Kiba kwani kwa ile wiki ya kwanza kutoka ilichezwa chezwa kwenye baadhi ya channel za kimataifa hongera kwa hilo
👏👏👏👏👏👏

+halafu nyie team Kei mnaonekana hamfuatilii habari mlikuaga wapi kusherehekea hii habari ya February 3 mnasherehekea leo.

+ ha haa haaa 😁😁😁😁😀
Msijipe moyo video ya mwana kwa sasa haipigwi kituo chochote cha kimataifa, TBC kwenyewe hawapigi washaitia kapuni, sasa hivi habari ya maMTV huko ni Nana tu!

Hebu tutokee hapa na wewe.Hata kama ikiwa ya mwaka 47 inakuhusu nini?
Sisi tunafuraha tu as long as ni habari za King.
 
Hebu tutokee hapa na wewe.Hata kama ikiwa ya mwaka 47 inakuhusu nini?
Sisi tunafuraha tu as long as ni habari za King.

+😁😁😁😂😂😂😂
Umepaniki Nifah kwani nimewakataza kufurahi, me mwenyewe nilifurahigi mwezi ule wa pili nilivyoionaga hii habari.

+halafu nyie mlishaanza kujifariji kwamba inapigwa sasa hivi noooo, sasa hivi ni Nana tuu #kama_Ronaldo
 
Last edited by a moderator:
+😁😁😁😂😂😂😂
Umepaniki Nifah kwani nimewakataza kufurahi, me mwenyewe nilifurahigi mwezi ule wa pili nilivyoionaga hii habari.

+halafu nyie mlishaanza kujifariji kwamba inapigwa sasa hivi noooo, sasa hivi ni Nana tuu #kama_Ronaldo

Nipanic kwa kitu gani? Unachekesha wewe.
Tutokee hapa bwana hatujakuomba hizo taarifa zako ungebaki nazo tu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwanini team kiba wengi wao,wanakuwaga na hasira na matusi sana kama mashabiki wa simba na manchester united?

hahahahaaa umeonaeee!!??? wao wanatabia ya kusema hawamchukii dai bali wanamwambiaga ukweli, lakini wengine huku tukimwambiaga kiba ukweli wake povu linawatoka kama wamemeza pakti ya omo, sasa am asking my self, huo ukweli wanaoclaim kila siku wanamwambia dai??? kwanza akiwahusu nini??? alafuuuu huo ukweli wangekuwa wanamweleza king wao si wangeshamfikisha mbali???
 
Where was he?
who made him back???
Wasn't he there?

hahahahhahhahaaaa uuuuwiiii huwezi nipa raha bure buree tuuu, chaaaaaaaa!!! kunywa koka baridiiiiii kwa masaweeee, u nailed it, hayo maswali yanachefua ujue coz hayana majibu.
 
Yeah, ndio maana unaona mamluki hata hivyo ni kawaida tu.

Jamani watu ni wanafiki humu jf sijapata kuona, wao wakimponda kiba wanaiita ni changamoto ila sisi tukitoa changamoto kwa mtu wao tunaonekana haters, wakati kutwaaaa kiba hawaishi midomoni na uzuri ni kuwa washajipambanua wao ni team gani ila kinafikiii wanajifanya hawana team, oooh timu zinaua muziki walipozianzisha akili walitia wapi???

Kila mtu ana uhuru wa kuchagua akipendacho kwa sababu zake au za kijamii, kwahiyo mimi kumpenda Kiba walaa kusimnyime mtu usingizi, we poooondaaaa utakavyojisikia ila mie mapenzi kwa kiba ndio yanazidi na hutokaa unibadilishe mawazo.
 
+Honera Kiba kwani kwa ile wiki ya kwanza kutoka ilichezwa chezwa kwenye baadhi ya channel za kimataifa hongera kwa hilo
👏👏👏👏👏👏

+halafu nyie team Kei mnaonekana hamfuatilii habari mlikuaga wapi kusherehekea hii habari ya February 3 mnasherehekea leo.

+ ha haa haaa 😁😁😁😁😀
Msijipe moyo video ya mwana kwa sasa haipigwi kituo chochote cha kimataifa, TBC kwenyewe hawapigi washaitia kapuni, sasa hivi habari ya maMTV huko ni Nana tu!

Sisi tunatumia Tecno mjomba nyie wenye mainternationale respected devices muwe mnatuhabarisha tu sio mbaya.
Si unajua sie bado tupo local level....aaaah mjombaaa!!!
 
Nipanic kwa kitu gani? Unachekesha wewe.
Tutokee hapa bwana hatujakuomba hizo taarifa zako ungebaki nazo tu.

Kwani kwenye taarifa yangu nilikuquote ha haa haaa si umeisoma mwenyewe na kuitolea povu mwenyewe.

+Nisamehe me nilirusha tu jiwe gizani nikashtukia limekupata.
😁😁😁😁😂😂😂😂
 
Kiba, Ali was some years back. He is using a lot of energy to get audience attention.
I bet, the higher he tries, the more he falls.

kashafeliii mbonaaa, ndio nyenzo zilipotafutwa za mateam X ndio angalau ehuuuu, kile kituzo kikatwaliwa.
 
Back
Top Bottom