Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Watu wengine bhaaana...
Hayo ndo madhara ya kutokunywa chai mtu unaandika pumba tuu ili na yy awe ameanzisha sred

Hahaaaaa kweli kabisa ma dia sio kila kitu ni ushabiki. Sasa hataki mtu afatane na ndugu yake wa damu si shiiigda tu au kupanda ndege.
 
Nyie team domo mtaelewa tuu mwaka huu

😀😀😀😀 Mr coming soon. Kasema nn tena kina coming soon video ya cheketua, collabo n Bella kingingine 😀😀 nataka matusi mapya plz coming soon 😀
 
😀😀😀😀 Mr coming soon. Kasema nn tena kina coming soon video ya cheketua, collabo n Bella kingingine 😀😀 nataka matusi mapya plz coming soon 😀

Vipi demu wako na prego...... Anaendeleaje ameacha usumbufu.
 
Vipi demu wako na prego...... Anaendeleaje ameacha usumbufu.

Mtafika lini hata video yenu ionekane sound city team kiba au ndo coming soon okey yamoto band hao hapo coming soon tunawangojeeea hata sound city kavideo chenu kaonekana cwezi jua may coming soon 😀
 

Attachments

  • 1433588482775.jpg
    1433588482775.jpg
    30.5 KB · Views: 74
😀😀😀😀 Mr coming soon. Kasema nn tena kina coming soon video ya cheketua, collabo n Bella kingingine 😀😀 nataka matusi mapya plz coming soon 😀

Pita ivi sibishanagi na wajinga na kama umetumwa mwambie aliyekutuma sitaki ban
 
Pita ivi sibishanagi na wajinga na kama umetumwa mwambie aliyekutuma sitaki ban

Ban ulipigwa ban pole sn punguza matusi mbona mie situkanagi eh team coming soon punguzeni matusi don't panic
 
Ongea taratibu bwana.Mods hua wanaangalia na nidhamu yako labda.
Wengine tukiwepaga ban tu tunahangaika na id's mpya.Huenda wewe hujafanya hivyo ndio maana.

Mamaaa acha tuu nisikuhadisie apa maana nahisi nitarudishwa ndani...
ila nashukuru kwa huruma yao
 
Miss you more cuttie...bora umerudi kabla video haijatoka...

Nilikuwa nawaza video itoke inikute nje ya nchi itakuwaje...
Au tuzo zitoke zinikute nipo nje ya nchi ingekuwaje...daah niliwaza sana.
 
Mtafika lini hata video yenu ionekane sound city team kiba au ndo coming soon okey yamoto band hao hapo coming soon tunawangojeeea hata sound city kavideo chenu kaonekana cwezi jua may coming soon 😀

Ka mkeo kakushinda soda ndo itakua mambo ya kibaa babu weeee. Endelea kumsifia dume mwenzako.
 
Eti Kiba akipanda ndege tunaletewa thread. ..khaaa!

Hahahaha wamevurugwa hao, maana wenyewe wanajipa moyo eti mondi ndiyo msanii wa kwanza kupanda business class, teteteteh hawakawii kusema kuwa King kamuiga mond
 
Hahaaaaa kweli kabisa ma dia sio kila kitu ni ushabiki. Sasa hataki mtu afatane na ndugu yake wa damu si shiiigda tu au kupanda ndege.

Nimeona wanamaind eti kiba kaishiwa adi anachukuliwa video ni abdu hahahaaaaaa.......
Iyo video ipo mmmwaaah na ikitoka sisi hatuwalambishi ndimu bali lazma waugue ebola..
 
Kumbe ulipigwa ban ma dia nilikua sikuoni mweeeh pole sana bora umerudi tena.

Yaani huyu kedrick huyu na mtu fidodido flan ivi wapo kwa ajili ya kutafutia tuu watu bani na si vinginevyo...
Asante mamy wangu
 
Last edited by a moderator:
Ban ulipigwa ban pole sn punguza matusi mbona mie situkanagi eh team coming soon punguzeni matusi don't panic

Team video 3 (TeamV3) punguzeni fujo aisee, nahis mna hali mbaya kisa tu kuona picha za behind the scenes, je ikitoka video yenyewe si mtakufa kwa vihoro
 
Ban ulipigwa ban pole sn punguza matusi mbona mie situkanagi eh team coming soon punguzeni matusi don't panic

Naomba tuheshimiane tena usi ni quot kama hauna point ya kuniambia.
Mimi sio demu wako wala ndugu yako so pita ivi utokee kule
 
Team video 3 (TeamV3) punguzeni fujo aisee, nahis mna hali mbaya kisa tu kuona picha za behind the scenes, je ikitoka video yenyewe si mtakufa kwa vihoro

😀😀😀😀 inyanya ft diamond nakupenda elewa somo weka soundcity now channel 327
 

Attachments

  • 1433589408187.jpg
    1433589408187.jpg
    48.2 KB · Views: 73
Back
Top Bottom