Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

kedrick
hahahaaaaa kumbe mwoga eee. Unazani wazee wa kubet ni wase.nge kama wew? Ungeenda ujibu pumba zako uone jinsi ungetahiriwa govi wew

Hapana me sio mwoga nimekupa like haujaridhiki nipe maneno nikujibu coz cjaona cha kukujibu labda unisaidie
 
Last edited by a moderator:
Pyee yao.
Kwenye wimbo wa coco baby alikua anapumua pumua tu na kusema chaaa! Chaa!

Ule wimbo ni mzuri, ila penye ukweli lazima tuseme mle ndani ndomo alipotea sn,

Hivi kumbe kutoboa intaneshino haiwezekani kabisaaa bila colabo?? Kwani wenzetu wamefanya colabo na nani wakatoboa kwetu, ifikie wakati tuthamini vya kwetu, na kama hatuwezi kutoboa bila colabo basi tukiipata tuitendee haki sio tunakurupuka tu mwisho wa siku tunaanza kumsaka mchawi kumbeeeee, jamani eeeeh kiba hajawazibia chochote nyie fanyeni yenu na mumuache kiba afanye yake, mkiona anawauma sn nunueni vitochi,uzeni tv na redio zenu, alafu masikio na macho mzibe ili msimsikie wala kumuona tena!
 
Ule wimbo ni mzuri, ila penye ukweli lazima tuseme mle ndani ndomo alipotea sn,

Hivi kumbe kutoboa intaneshino haiwezekani kabisaaa bila colabo?? Kwani wenzetu wamefanya colabo na nani wakatoboa kwetu, ifikie wakati tuthamini vya kwetu, na kama hatuwezi kutoboa bila colabo basi tukiipata tuitendee haki sio tunakurupuka tu mwisho wa siku tunaanza kumsaka mchawi kumbeeeee, jamani eeeeh kiba hajawazibia chochote nyie fanyeni yenu na mumuache kiba afanye yake, mkiona anawauma sn nunueni vitochi,uzeni tv na redio zenu, alafu masikio na macho mzibe ili msimsikie wala kumuona tena!

Shangaa wewe!
Why Kiba?
Jamani, hatuwezi kufanana.
WAACHE WIVU NA ROHO MBAYA.MAFANIKIO HAYAKUUMBWA KWA MTU MMOJA PEKEE.
 
Shangaa wewe!
Why Kiba?
Jamani, hatuwezi kufanana.
WAACHE WIVU NA ROHO MBAYA.MAFANIKIO HAYAKUUMBWA KWA MTU MMOJA PEKEE.

Sijui ni nini aliwakosea mtoto wa watu, kipenzi cha watanzania(hapo msibishe tuzo imeongea), kwahiyo muacheni tuuuu, kama iliandikwa atusue now nani wa kupinga? Eti alikuwa wapi? Hahahaaaaaa alishawajibu alipokuwa soo kama inawauma sn basi hatuna jinsi sie aliyejuu ndie ashaamua ati.
 
Gudmorning #TeamMuzikiMzuri #Teamkiba haya sasa @officialalikiba ameingia kwenye tuzo za Archivers awards zinazotolewa na chuo kikuu cha Dar es salaam kama most inspiration music icon.(msanii aliewashawishi watu wengi kupitia muziki wake, maisha yake na heshima yake kwa jamii inayomzunguka.) Nadhani wote tunajua #KingKiba
alivyo wa inspire vijana wengi kupenda kuimba, jinsi anavyoheshimika kwa mchango wake kwenye jamii na pia kama msanii asie na skendo za ajabu na anajichangaya na kila mtu kwenye jamii awe wa hali ya chini au ya juuu.
Basi twendeni tukampigie kura
BADO SIKU 2 TU.. baada ya hapo tunaendelea na #kilimusicawards nifah, atoto, Ms.Lincoln, Avemaria, Diva Beyonce, unanitaka, Matola na fans wote wa kiba
 
Last edited by a moderator:
Tufanye hivi wadau
 

Attachments

  • 1432796895854.jpg
    1432796895854.jpg
    20.4 KB · Views: 52
Gudmorning #TeamMuzikiMzuri #Teamkiba haya sasa @officialalikiba ameingia kwenye tuzo za Archivers awards zinazotolewa na chuo kikuu cha Dar es salaam kama most inspiration music icon.(msanii aliewashawishi watu wengi kupitia muziki wake, maisha yake na heshima yake kwa jamii inayomzunguka.) Nadhani wote tunajua #KingKiba
alivyo wa inspire vijana wengi kupenda kuimba, jinsi anavyoheshimika kwa mchango wake kwenye jamii na pia kama msanii asie na skendo za ajabu na anajichangaya na kila mtu kwenye jamii awe wa hali ya chini au ya juuu.
Basi twendeni tukampigie kura
BADO SIKU 2 TU.. baada ya hapo tunaendelea na #kilimusicawards nifah, atoto, Ms.Lincoln, Avemaria, Diva Beyonce, unanitaka, Matola na fans wote wa kiba

Hata mie japo npo kwa diamond kani inspire kutia mimba mademu n kukacha 😀😀 safi sn no scandal n mfano bora kwa jamii n mwendo wa kutia mimba tu
 
Last edited by a moderator:
Gudmorning #TeamMuzikiMzuri #Teamkiba haya sasa @officialalikiba ameingia kwenye tuzo za Archivers awards zinazotolewa na chuo kikuu cha Dar es salaam kama most inspiration music icon.(msanii aliewashawishi watu wengi kupitia muziki wake, maisha yake na heshima yake kwa jamii inayomzunguka.) Nadhani wote tunajua #KingKiba
alivyo wa inspire vijana wengi kupenda kuimba, jinsi anavyoheshimika kwa mchango wake kwenye jamii na pia kama msanii asie na skendo za ajabu na anajichangaya na kila mtu kwenye jamii awe wa hali ya chini au ya juuu.
Basi twendeni tukampigie kura
BADO SIKU 2 TU.. baada ya hapo tunaendelea na #kilimusicawards nifah, atoto, Ms.Lincoln, Avemaria, Diva Beyonce, unanitaka, Matola na fans wote wa kiba

Tena kawa inspire wengi mnoooo japo kwa roho zao za kwanini hawamthamini, pop it in.
 
Last edited by a moderator:
Hata mie japo npo kwa diamond kani inspire kutia mimba mademu n kukacha 😀😀 safi sn no scandal n mfano bora kwa jamii n mwendo wa kutia mimba tu

Vipi kwani wakati anakutia mimba ulikuwa umelewa viroba??? Au unataka akutie nyingine tena?? Sema tu mama kama wataka chata la le king tena! Si unaona mwenyewe watoto walivyo wazuri, makubaliano yenu ndio yaliyowafikisha huko, so walaaa usiumie sn.
 
Vipi kwani wakati anakutia mimba ulikuwa umelewa viroba??? Au unataka akutie nyingine tena?? Sema tu mama kama wataka chata la le king tena! Si unaona mwenyewe watoto walivyo wazuri, makubaliano yenu ndio yaliyowafikisha huko, so walaaa usiumie sn.

😀😀😀😀 mna matusi nyie team kiba
 
Sasa umemaindi nn kwan mie nimekutukana maumivu yakizidi kamuone daktari 😀 me nawapa changamoto tu au nime Ku cyber bull

Peleka kwenye Uzi wake huku hatatuhusu mambo yake Invisible pitia huku. Uwe unakuja na I'd yako iliyozoeleka mana wajifanya kichwa ngumu. Nyie timu ndomo sijui mkoje yakiwashinda kila siku kuja na vi I'd vipya juzi mumeanzisga Uzi wa kizushi.
 
Last edited by a moderator:
Post count: 7
Other: junior member
Ivi nyie team nyoko mna matatizo ya mapu.mbu eeee? Izo korodani zenu zinafanya kazi vizuri??
Mtafungua new id mpaka miku.ndu ijae povu nyoooo sisi ni mbele kwa mbele na hamtuwezi? Hii inaitwa jeshi la watu wachache wenye mbinu zaidi ya watu million moja ndo team kiba upoooooo?

Hahaaaa hao wameajiriwa na domo mwenyewe kwa sababu uu ni Uzi wa kiba waki post kuhusu domo tumwombe invisible awe ana peleka kwenye Uzi wao. Maana wanatafta Ku provoke watu wana multiple I'd wanataka kutuharibia Uzi wetu.
 
Vipi kwani wakati anakutia mimba ulikuwa umelewa viroba??? Au unataka akutie nyingine tena?? Sema tu mama kama wataka chata la le king tena! Si unaona mwenyewe watoto walivyo wazuri, makubaliano yenu ndio yaliyowafikisha huko, so walaaa usiumie sn.

Huyo kedrick wakati anatiwa mimba alikuwa anafurahia tu why now ndo aanze kuropoka au alidhani mimba ndo kila kitu?
Ye atulie
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom