nifah dada mwenyewe ndo huyuuuu?Ha ha ha ha ha chezea mutoto muzuri kutoka Zenji aliyeko UK wewe?
Jamani wanawake tujifunze kutokana na hili la Zari.Hii tabia ya kuparamia wanaume tusiowajua na kuanza show off na vijembe vya hatari tuache.
Ona sasa kama ni kweli Zari anaadhirika vipi? Na mimba akajibebesha kumkomesha wema, ataiweka wapi hii aibu?
Atulie tu na kukubali kua kuchapiwa ni siri ya ndani kama alivyokoma mashauzi maana huko insta yuko kimya kama sio yeye.
Mwanaume/mwanamke aliyetoka kubreack up na mpenzi wake anakua hana mapenzi ya dhati bali kulipiza kisasi.Na wale wote wanatumiana kulipa visasi....hapo sasa!
Attachments
Last edited by a moderator: