Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Kwahiyo mkuu hadi Salim Kikeke yupo chini ya clouds?
Nisaidie kushangaa na jide je anasemaje? Mtajiharishia sn mwaka huu.
Kwahiyo mkuu hadi Salim Kikeke yupo chini ya clouds?
Kabisaaa hao wapuuzi unawapotezea tu, mtani wangu pekee ndio anajitambua mle.
Oyoooooooooooo kama mimiiiiiiii ivyo ivyoo....
Hukumpa domo jamani😕
Ni kweli kabisa wamejawa na chuki hata penye ukweli huwa hawaoni. Huyo ni mtu ninayemheshimu na unaweza kujadiliana naye bila mihemuko.
Thubutuuuuu, yaani hata ningekosea walah ningeidaka hewani,
Alafu yeye anasubiri za kiintaneshino mwenzangu, ngoja tusubirie za BET nitampigia kura, teh teh teh
leo ni shidaaaaa....!!!!!
leo ni shidaaaaa....!!!!!
Mamy ulikuwa wapi jana wenzio tumechamba mtu...tumekubakizia na wew nenda kule Congrats complain na advice uonee
Kwaiyo n ww umeamini diamond katoa elfu 10 kwa boda boda haaaaah
We mr appohoo kila siku ni senior member tu??!!
Hao bodaboda kila sehemu wapo, kwenye mikutano ya chadema hayaaaa....CCM hayaaaa.....CUF hayaaaaaa.....ACT hayaaaaa.....TLP hayaaaaaa duh hiyo ndo sign yenu ya kusema kuwa mnapendwa zaidi?? Kazi mnayo
Shida tupu na huko instagram ndiko balaa lilipo.
Hivi jamani bibie boss lady kanuna nini? Mbona hajapost chochote?
Au kisa bibie wa UK?
Halooooooo!
Shida tupu na huko instagram ndiko balaa lilipo.
Hivi jamani bibie boss lady kanuna nini? Mbona hajapost chochote?
Au kisa bibie wa UK?
Halooooooo!
misss uuuuuu mmmwaaaahhhhhh
Shida tupu na huko instagram ndiko balaa lilipo.
Hivi jamani bibie boss lady kanuna nini? Mbona hajapost chochote?
Au kisa bibie wa UK?
Halooooooo!
Miss you mooooore chipenzi ake!
Siku hizi umekuwa mtoro sana
We mr appohoo kila siku ni junior member tu??!!
Hao bodaboda kila sehemu wapo, kwenye mikutano ya chadema hayaaaa....CCM hayaaaa.....CUF hayaaaaaa.....ACT hayaaaaa.....TLP hayaaaaaa duh hiyo ndo sign yenu ya kusema kuwa mnapendwa zaidi?? Kazi mnayo
mmeo lemutuz leo kanuna hatarii
we mr appohoo kila siku ni junior member tu??!!
Hao bodaboda kila sehemu wapo, kwenye mikutano ya chadema hayaaaa....ccm hayaaaa.....cuf hayaaaaaa.....act hayaaaaa.....tlp hayaaaaaa duh hiyo ndo sign yenu ya kusema kuwa mnapendwa zaidi?? Kazi mnayo
mmeo lemutuz leo kanuna hatarii
na anataka kuvuruga ktma
Mbona kiba alikodisha watu kumzomea diamond fiesta n kwny TIGO music concert walikuwepo walivyo anza kuzomea wakawa wanarushiwa elfu 2 n diamond mashabiki wa kiba wakanza kumshangilia diamond mnajaa sn km msanii wenu kiba