Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,203
Naisubiri collabo ya bella na kiba, most awaited
Duuuh mafundi wakikutana sipati picha yaani
Naisubiri collabo ya bella na kiba, most awaited
Nasubiri collabo ya p square n diamond aiseee noma sn diamond anavaa kiatu cha yeezy ambacho kwa Ali kiba n bajeti ya mwezi kulisha familia yke n chenchi ina baki
Sound check
Watachambia hamira mwaka huu wavimbe mawowo.
Duuuh mafundi wakikutana sipati picha yaani
Nasubiri collabo ya p square n diamond aiseee noma sn diamond anavaa kiatu cha yeezy ambacho kwa Ali kiba n bajeti ya mwezi kulisha familia yke n chenchi ina baki
sasa we jamaa ni shabiki wa mondi huku unafuata nini, uzi wenu si upo au vp?
coming soon!
Yess alikiba anavaa kiatu cha mchaga au cha mwenge! Kuna tatizo kwani jamani,. What matters is his happyness. Unaweza kuvaa brand zote but deepdown ur so low! Ninachowashangaa nyie timu mondi ni kuwa mnasema domo saizi zake ni psquare and other international artists, sasa kwa nini mnahangaika Sana na huyu kiba?? Tuachieni kiba wetu jamani msihangaike naye nyie level zenu ni BET
Kedrick unamuumizi roho yule dada mchawi hapa jamvini.
Hafu team yake kipindi kile cha white party hawapigi show za elfu kumi. Mbona Leo kwenye show kiingilio kilikua elfu tano jamani. Ina maana kasahau alivotoka. Mashabiki wake ndo wana muharibia akikosa tuzo anaanza kulia lia anaonewa.
Kedrick unamuumizi roho yule dada mchawi hapa jamvini.
Hahahahahaa wachawi wanajuana, who knows? Labda walishagongana na ungo huko angani...lol