Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ok dear, nilikumiss tu maana umepotea ghafla.
Huko kupiga kura leo wanazingua tumejaribu mimi na Diva Beyonce tumeshindwa.
Labda watakua wameshafunga wanahesabu sasa.Nitajaribu kufuatilia pakiwa fresh nitawacheki.

Oooooh ndio maana! Nimeingia ikanizinguaaa
 
Last edited by a moderator:
Oooooh ndio maana! Nimeingia ikanizinguaaa

Yeah, mimi nimejaribu kama mara 5 jamani nakasirikaje?
Msisahau kesho ndio Kill Music wanafungulia mbwa (kupiga kura)
Oyoooooo King lazima abebe tuzo kwa support yetu guys.
 
Yeah, mimi nimejaribu kama mara 5 jamani nakasirikaje?
Msisahau kesho ndio Kill Music wanafungulia mbwa (kupiga kura)
Oyoooooo King lazima abebe tuzo kwa support yetu guys.

Sana tu
 
Kiba, mwanamuziki bora namba mbili nchini ni mahiri. Wimbo wake wa mwana ambao ni kilele cha mafanikio yake ni wimbo wenye maneno mazito yaliyojaa hekima.

Tatizo nyota tu na kutopenda pesa, anaridhika haraka na sifa za wana jf ambao si wanunuzi wa kazi za wasanii.

Kiba amebugi tu kwa kutoa video dhaifu sana ya mwana, lakini ni mwanamziki bora na ninamkubali kwa dhati kuwa ni namba mbili.

Hongera Kiba, vivaa
 
Kiba, mwanamuziki bora namba mbili nchini ni mahiri. Wimbo wake wa mwana ambao ni kilele cha mafanikio yake ni wimbo wenye maneno mazito yaliyojaa hekima.

Tatizo nyota tu na kutopenda pesa, anaridhika haraka na sifa za wana jf ambao si wanunuzi wa kazi za wasanii.

Kiba amebugi tu kwa kutoa video dhaifu sana ya mwana, lakini ni mwanamziki bora na ninamkubali kwa dhati kuwa ni namba mbili.

Hongera Kiba, vivaa

Kwani ungempa Kiba pongezi zake bila hizo porojo nyingine ungepungukiwa na nini?

Well...unaposema ameridhika na sifa za wana JF ambao sio wanunuzi wa kazi za wasanii una maana gani?
Siku hizi tunanunua nyimbo mkito kwa sh 500 tu,wewe unaongelea manunuzi gani?
Yale ya cd ambayo yameshakufa siku hizi au?

Kwa taarifa yako fans wa Kiba tuliopo huku JF tunamsapoti Kiba sana.Akitoa wimbo au video tunakutana hapa na kujadili na kumpa pongezi zake maana hua hakosei kama wewe ulivyojaribu kumponda katika maelezo yako.

Pia anapopata nomination kokote kule tunahamasishana sana kumpigia kura.

Kiukweli Ali Kiba anatakiwa ajivunie fans wake tuliopo JF!
 
Kiba, mwanamuziki bora namba mbili nchini ni mahiri. Wimbo wake wa mwana ambao ni kilele cha mafanikio yake ni wimbo wenye maneno mazito yaliyojaa hekima.

Tatizo nyota tu na kutopenda pesa, anaridhika haraka na sifa za wana jf ambao si wanunuzi wa kazi za wasanii.

Kiba amebugi tu kwa kutoa video dhaifu sana ya mwana, lakini ni mwanamziki bora na ninamkubali kwa dhati kuwa ni namba mbili.

Hongera Kiba, vivaa

umekula maharage ya wapi vile???
 
kumbe ali kiba anakutisha na kukupunguzia chochote kitu! Pole na uchovu wote alionao!

halafu utakuta kahaba mbovu kama wewe bwana wako ni dereva wa bodaboda halafu unaleta mashauzi eti kiba mchovu!! Je kibwana chako kinachokugonga kinampata kwa lolote kiba?
 
halafu utakuta kahaba mbovu kama wewe bwana wako ni dereva wa bodaboda halafu unaleta mashauzi eti kiba mchovu!! Je kibwana chako kinachokugonga kinampata kwa lolote kiba?

mkuu watu kama hawa usibishane nao.huyo ni chizi. hajielewi
 
Haya haya jamani wakati wa kupiga kura KTMA ndio umeshafika.
Yafuatayo ni maekekezo ya jinsi ya kumpigia King Kiba kura na vipengele vyake.

1.Mtumbuizaji bora wa kiume CODE # DA4

2.Wimbo bora wa mwaka CODE # AB1

3.Mwimbaji bora wa kiume CODE # BB1

4.Mtunzi bora wa mwaka CODE # FB1

5.Video bora ya mwaka CODE # GA3

6.Wimbo bora wa Afropop CODE # AH1

7.Wimbo bora wa kushirikiana CODE # AL4

Jinsi ya kupiga kura.
1.Tuma hizo code # kwenda namba 0686 528 813 kwa kutumia WhatsApp.

2.Tuma hizo code # kwenda namba 15415.

Kwa wale wa WhatsApp nadhani itakua rahisi kwetu.

NB.Tuma code moja moja kwa kila sms usiunganishe zote kwa pamoja.Nimejaribu kutafuta jinsi ya kupiga kura online nimeshindwa!
Mwenye kujua zaidi naomba atufahamishe.
Pionaire njoo hapa nadhani utaelewa vizuri sasa.
Vote vote for King Kiba.
 
Last edited by a moderator:
Kiba, mwanamuziki bora namba mbili nchini ni mahiri. Wimbo wake wa mwana ambao ni kilele cha mafanikio yake ni wimbo wenye maneno mazito yaliyojaa hekima.

Tatizo nyota tu na kutopenda pesa, anaridhika haraka na sifa za wana jf ambao si wanunuzi wa kazi za wasanii.

Kiba amebugi tu kwa kutoa video dhaifu sana ya mwana, lakini ni mwanamziki bora na ninamkubali kwa dhati kuwa ni namba mbili.

Hongera Kiba, vivaa



Hivi udhaifu wa ile video uko Wapi kwani??

kuna mtu hapendi hela hapa duniani kweli?
 
Back
Top Bottom