Oyooooooo!
Wachawi na wanga hamtupi shreeddaaaaa!
Ali k 4 real
Oyooooooooo
Oyooooooo!
Wachawi na wanga hamtupi shreeddaaaaa!
Ali k 4 real
Oyooooooo!
Wachawi na wanga hamtupi shreeddaaaaa!
Ali k 4 real
subiria siku akishuka nchini ndo umpe ushauri... at this tym endelea kupiga majungu na huyo mvaa moka wenu...
yaani tuzo za watu tu mmejaza mavi kwenye chupi.. hivi mngechukua hata moja ya channel O je ?
Diamond yupo mwanza haujaona mapokezi
Nyie endeleeni kukodisha bodaboda wakati sisi tunachekecha hahahahhaha rahaaaaaaaaaa jamani rahaaaaa kupendwaaaaa
Umejuajeee kuna rafiki zangu wapo kule ni madereva toyo ameniambia walikodishwa na walilipwaa sijui elfu kumi kumi....
Et walilipwa elfu 10 wote wale basi diamond ana ela embu hesabu bodaboda Zilikuwa ngapi n wale wapita njia
Umejuajeee kuna rafiki zangu wapo kule ni madereva toyo ameniambia walikodishwa na walilipwaa sijui elfu kumi kumi....
Nyie endeleeni kukodisha bodaboda wakati sisi tunachekecha hahahahhaha rahaaaaaaaaaa jamani rahaaaaa kupendwaaaaa
jamaniiu eeeeeee kuna nini mbona kila sehemu kiba kibaaaaa
jamaniiu eeeeeee kuna nini mbona kila sehemu kiba kibaaaaa
Aiseee diamond ana ela embu pigeni hesabu kalipa elfu 10 kwa boda boda hao aiseee nyie cjui account ya kibwa inasoma tshs ngapi
Sasa unazani kukodisha watu ni sifa? Maana yake hana mashabiki ndo maana anawanunua...
Kwaiyo n ww umeamini diamond katoa elfu 10 kwa boda boda haaaaah
Mwanaumeeeeeeeeeeeeee kafanya yakeee
Hebu wapotezee kujibishana nao ndo wanavimba kichwa. Kuna watu waelewa kama Rutta ndo unaweza Ku argue naye hao wengine ujinga unawasumbua tu. Achana nao kabisa hawajui maana ya haya majukwaa.
Salm kikekee mtangazaj wa kiume anayependwa
Yaani kura zangu hazikwenda bure, King Kiba,Wema,Kikeke,Christian bella,jide....., Hongereni sana