Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kanuna mda tu atajibeba naye loh aondoe stress tu kwasababu ana mimba. Yani kuna fukuto huko.

Ha ha ha ha ha chezea mutoto muzuri kutoka Zenji aliyeko UK wewe?
Jamani wanawake tujifunze kutokana na hili la Zari.Hii tabia ya kuparamia wanaume tusiowajua na kuanza show off na vijembe vya hatari tuache.
Ona sasa kama ni kweli Zari anaadhirika vipi? Na mimba akajibebesha kumkomesha wema, ataiweka wapi hii aibu?
Atulie tu na kukubali kua kuchapiwa ni siri ya ndani kama alivyokoma mashauzi maana huko insta yuko kimya kama sio yeye.
Mwanaume/mwanamke aliyetoka kubreack up na mpenzi wake anakua hana mapenzi ya dhati bali kulipiza kisasi.Na wale wote wanatumiana kulipa visasi....hapo sasa!
 
Shida tupu na huko instagram ndiko balaa lilipo.
Hivi jamani bibie boss lady kanuna nini? Mbona hajapost chochote?
Au kisa bibie wa UK?
Halooooooo!

Umepita Pm...picha ya DC akimla mtu mtungo imewekwa, wahi kabla haijafutwa....kulekule Insta
 
Ha ha ha ha ha chezea mutoto muzuri kutoka Zenji aliyeko UK wewe?
Jamani wanawake tujifunze kutokana na hili la Zari.Hii tabia ya kuparamia wanaume tusiowajua na kuanza show off na vijembe vya hatari tuache.
Ona sasa kama ni kweli Zari anaadhirika vipi? Na mimba akajibebesha kumkomesha wema, ataiweka wapi hii aibu?
Atulie tu na kukubali kua kuchapiwa ni siri ya ndani kama alivyokoma mashauzi maana huko insta yuko kimya kama sio yeye.
Mwanaume/mwanamke aliyetoka kubreack up na mpenzi wake anakua hana mapenzi ya dhati bali kulipiza kisasi.Na wale wote wanatumiana kulipa visasi....hapo sasa!

Na watakua hawajifunzi mana wanataka kiki za mjini. Kijana bado mbichi huyo kwanini atulie na bibi inabidi tu awapange kuoa pale atasubiri sana. Kijana anakula ujana amvumilie tu.
Yani alidandia treni kwa mbele akajua amefika na kujimilikisha eeh. Pole zake nyingi asinune avumilie mana kijana alikua ana mu revenge ex wake.
 
Umepita Pm...picha ya DC akimla mtu mtungo imewekwa, wahi kabla haijafutwa....kulekule Insta

Uwiiiiiii! Asante Madame B ngoja niende fastaaaa
Mbona sijaona hiyo PM? Mimi nimeenda race nikidhani ni kwenye ile acc ya badilika_ubadilishwe hakuna kitu!
 
Last edited by a moderator:
Na watakua hawajifunzi mana wanataka kiki za mjini. Kijana bado mbichi huyo kwanini atulie na bibi inabidi tu awapange kuoa pale atasubiri sana. Kijana anakula ujana amvumilie tu.
Yani alidandia treni kwa mbele akajua amefika na kujimilikisha eeh. Pole zake nyingi asinune avumilie mana kijana alikua ana mu revenge ex wake.

Unakumbuka kuna jamaa aliweka uzi huku akisema kua Zari atajuta kuzaa na domo? Watokwa povu walimnanga sana.Haya sasa mambo yameanza mapemaaaa....
 
Unakumbuka kuna jamaa aliweka uzi huku akisema kua Zari atajuta kuzaa na domo? Watokwa povu walimnanga sana.Haya sasa mambo yameanza mapemaaaa....

Hivi ni kweli jamani mondi anatoka na yule dada??!! My fatttt @.$.$

Mi ni fan mkubwa sana wa bosslady na alivyotoka na huyo dogo yaani duh nilibaki mdomo wazi.....ila mwisho wa siku nikaishia kusema.."anyways....it's life choices"
 
Unakumbuka kuna jamaa aliweka uzi huku akisema kua Zari atajuta kuzaa na domo? Watokwa povu walimnanga sana.Haya sasa mambo yameanza mapemaaaa....

Hata mi nilijua tu hakuna kudumu. Nikasema nisiongee sana nisije onekana hater. Yani yule ni kiboko aisee aliona mbali kwa darubini Kali.
 
Hivi ni kweli jamani mondi anatoka na yule dada??!! My fatttt @.$.$

Mi ni fan mkubwa sana wa bosslady na alivyotoka na huyo dogo yaani duh nilibaki mdomo wazi.....ila mwisho wa siku nikaishia kusema.."anyways....it's life choices"

Rumours hizo mwenzangu lakini lisemwalo?
Bibie tokea juzi hizo habari zilivyovuja hajapost chochote.So kuna kitu kinaendelea hapo....ila itabidi ajikaze tu maana hakuna jinsi ndio utu uzima huo.

Hata mimi nilikua disappointed sana lakini mwisho wa siku nikaona haina haja ndio maisha yake aliyojichagulia.
 
Ha ha ha ha ha chezea mutoto muzuri kutoka Zenji aliyeko UK wewe?
Jamani wanawake tujifunze kutokana na hili la Zari.Hii tabia ya kuparamia wanaume tusiowajua na kuanza show off na vijembe vya hatari tuache.
Ona sasa kama ni kweli Zari anaadhirika vipi? Na mimba akajibebesha kumkomesha wema, ataiweka wapi hii aibu?
Atulie tu na kukubali kua kuchapiwa ni siri ya ndani kama alivyokoma mashauzi maana huko insta yuko kimya kama sio yeye.
Mwanaume/mwanamke aliyetoka kubreack up na mpenzi wake anakua hana mapenzi ya dhati bali kulipiza kisasi.Na wale wote wanatumiana kulipa visasi....hapo sasa!

Nilisoma mahali eti kamtumia domo wapelelezi ....
 
Rumours hizo mwenzangu lakini lisemwalo?
Bibie tokea juzi hizo habari zilivyovuja hajapost chochote.So kuna kitu kinaendelea hapo....ila itabidi ajikaze tu maana hakuna jinsi ndio utu uzima huo.

Hata mimi nilikua disappointed sana lakini mwisho wa siku nikaona haina haja ndio maisha yake aliyojichagulia.

Yaani mtoto wewe nakugawa!! Yaani kwa umbea wewe!
 
Back
Top Bottom