Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mhhh,itabidi unifundishe na mimi nisijeipata aibu kwa kudance mbele za watu kwa maconfidence yote kumbe naonekana hamnazo kwa wanaojua..lol

Wala usitie shaka, wewe tena! Nitakufundisha zote hadi uzielewe. lol
Ova
 
Hatimaye sasa mafuta na maji vinaanza kujitenga, pumba na mchele hadharani kweupeeeee.

Wanawake wa leo mna kazi kupigana vikumbo na makaka poa, maana mdada akipropose kwa Matola mkaka poa naye anahitaji dushelele hilohilo la Matola.

Mpwa Pdidy mtumishi wa Mungu mpakwa mafuta kwa mara ya kwanza nakuita kwenye thread hii ukemee mapepo yote ya ushoga kwa jina la mwana wa adam na wote tuseme Ameen, pepo toooka!
Kwa jona LA YESU NATANGAZQ PEPO TOKAAAA TOLAAA TOMATOLAAAA RAKASHABA SHUKIRIMANDANOLA
 
Mpwa nimeso a gazetinkauliza machoyangu ama unajua vileviuno anavyokata vilinishtua sanasikumoja nkahoso yulenanio wa wema uwiiii pepooo tokaaaaaaa shikaramdmatolaaaaaaaaaa mungu amrehemu ila waangalie na backgroundyafamilia unawezakuta kuna mmojawao akiwautotoni walimwonka aka walimwonja....akagoma kuendelea
 
Hujamjua tu?uwiiiii Ms.Lincoln hufai mpenzi!
Hata hivyo siwezi kukuambia hapa nisijemponza kaka wa watu!Naogopa lawama sana.
Hujanigundua mie leo akili ni kama imepigwa ganzi,nimechoka nisaidie kuwazua bwana!
 
Last edited by a moderator:
Kanisa LA pdidy sad aka ahesabu matola tutalisimalisha kanisa kweliii haaaaahaaaaq mpwaukowapi naelekea calabash

Mbavu zangu jamaniiii!!ha ha ha ha!!pepo ashindweee! Matola amepotelea wapi sijui...
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom