Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Uliomfanya atambulike. Midundo ya number 1 (remix) iko Naija.
Ova

Then huujui muziki dogo, yale sio mapigo ya kinaija ata kidogo mule Afro Pop yenye radha ya south Africa(simaanishi nchi)...Tafuta nyimbo za wasanii wa Botswana Namibia nk utanielewa....Kuna siku ata takeu na kapuka mtasema ni naija.
 
Kwangu ni ngumu sana kujadili jambo na mtu mwenye akili ndogo ya kutoweza kujua kama South Africa ni nchi, na Southern Africa ndio ukanda.
Sasa nitaanzia wapi kujadili na mtu kama huyu asiyeweza kujua tofauti ya vitu vidogo mno kama hivyo, hebu acha nimalizie usingizi wangu.
Ova
 
FLORA LYIMO DANCING MWANA BY.ALI KIBA 2014. ENJOY.

 
Last edited by a moderator:
Mwenzangu!Jana eti alikua hayuko kwenye mood sijui ni project gani hiyo anayoifanya inamvuruga vile!

cc. Ms.Lincoln

hahahaaaa!! chezea le project wewe!!!

hapa nasubiria kwa hamuuu hizo suprise za Kiba, i was watching 'e-news' kasema amejipanga vyema this year na masuprise ya kumwaga, kibaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa!! chezea le project wewe!!!

hapa nasubiria kwa hamuuu hizo suprise za Kiba, i was watching 'e-news' kasema amejipanga vyema this year na masuprise ya kumwaga, kibaaaaaa

Jamani!Nipo busy kweli na movies hadi TV sijaangalia....habari njema hii.
Can't wait kuya enjoy hayo masurprise ya King....
Ni mwendo wa pop it in tu mwaka huu....bado kill music iko njiani!
Uwiiiiiiii
 
Jamani!Nipo busy kweli na movies hadi TV sijaangalia....habari njema hii.
Can't wait kuya enjoy hayo masurprise ya King....
Ni mwendo wa pop it in tu mwaka huu....bado kill music iko njiani!
Uwiiiiiiii


amesema atatoa ngoma za ukweli za kutosha, ameipa jina hiyo styl ya utoaji wa ngoma zake nimelisahau, yaani ni mwendo wa burudani tu mpaka kieleweke
 
hahaha anajua kucheza kafunika wengi,hapo pembeni kakosekana lemutuz

Kweli bibie katisha sana.Sikuwahi kufikiri kama anajua hivyo!
Le Mutuz akiicheza Mwana mtuhabarishe tuongeze siku...lol
 
amesema atatoa ngoma za ukweli za kutosha, ameipa jina hiyo styl ya utoaji wa ngoma zake nimelisahau, yaani ni mwendo wa burudani tu mpaka kieleweke

Aarrgg 😡😡 kumbe haupo serious kwa King eeh?
How dare you forget le King's Tamkooz?...lol
Usijali bwana,kikubwa tunasubiri mangoma ya ukweli basi.
 
Kweli bibie katisha sana.Sikuwahi kufikiri kama anajua hivyo!
Le Mutuz akiicheza Mwana mtuhabarishe tuongeze siku...lol

anajua kukatika aisee,sijui ana umri gani huyu bibie
 
Leo hakuna sijui gari ina misi au sijui inachemsha

hahahaaaaaa!!! uwiiiii i was busy na home chores nikaikutia kati ckuckia vzr lol, nimeckitika kweli kutokumbuka the name of the le tamkoz, najilaumu kweli, ngoja kwanza niwatch mwana video nijipoze kidogo
 
Back
Top Bottom