Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,355
- 176,161
anajua kukatika aisee,sijui ana umri gani huyu bibie
lazima ajue si unajua hiyo ndio ilikuwaga ajira yake kabla na ndio ilimpeleka uk
anajua kukatika aisee,sijui ana umri gani huyu bibie
lazima ajue si unajua hiyo ndio ilikuwaga ajira yake kabla na ndio ilimpeleka uk
i know not!
lazima ajue si unajua hiyo ndio ilikuwaga ajira yake kabla na ndio ilimpeleka uk
hehehehe umeongea kiutata sana
So now yupo casino anazngusha Uno
hahahaaaa!!! sio utata bwana, she was a dancer na ndio kazi ilompelekaga huko walikwenda na band km ckosei
mmmhh!! kwani ndio kazi anofanya????
mie now najua ni mjasiriamali she has a blog n a botique
Aarrgg 😡😡 kumbe haupo serious kwa King eeh?
How dare you forget le King's Tamkooz?...lol
Usijali bwana,kikubwa tunasubiri mangoma ya ukweli basi.
whaaat!!! nifah nimekuquote hapo juu nashangaa vimekuja vitu vingine vya ajabu cjui vya wapi!!!
hahahaaaaaa!!! uwiiiii i was busy na home chores nikaikutia kati ckuckia vzr lol, nimeckitika kweli kutokumbuka the name of the le tamkoz, najilaumu kweli, ngoja kwanza niwatch mwana video nijipoze kidogo
Hata cipendi youtube ila imenibidi niulizie tu
Miss u
Hapo sawa,maana ukimwangalia ni kama hajakaa sura ya kudance,nikawa najiuliza labda mauno mengine
Nimekuelewa mbona?Mimi imewahi kunitokea hivyo mara 3 hivi kama sikosei.
Cha msingi ukimquote mtu wakati wa kuandika soma kwanza alichokiandika ili kukwepa kumix mambo.
Haha haaaa,haya jipoze mwaya.
Lakini hakuna ubaya bora ujumbe hasa wa King umefika basi,style tutaijua tu.
Abou Saydou anapenda utube huyo ila hajijui tuNimekuambia hivyo maana hii ni mara ya pili au ya 3 unaniuliza kuhusu YouTube.Labda umesahau tu.
yaani mweeeh!! na alivyokuwa anaongea kwa pozi sasa, katuliaaa wala hana papara, kiba wewe jamaniiiiii
Nimekuambia hivyo maana hii ni mara ya pili au ya 3 unaniuliza kuhusu YouTube.Labda umesahau tu.