ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,448
- 1,706
Hapana nadhani wewe si mwislam na hauelewi unachokisema.
Sijawai kuisikia mihadhara ya sheikh alhad kwan hatopata wa kumsikiliza na hakubaliki ila sheikh ponda hizo ndizo kazi zake.
O..
Sijawai kuisikia mihadhara ya sheikh alhad kwan hatopata wa kumsikiliza na hakubaliki ila sheikh ponda hizo ndizo kazi zake.
O..
Shehe Ponda hamzidi umaarufu shehe msomi Dr alhad Musa Salum wa Bakwata ambaye jana amepongezwa na Marekani.
Maendeleo hayana vyama!