Alhaji Sheikh Ponda: Game Changer kwa kura za Waislamu

Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....

CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....

Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..

NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.

Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Kuanzia lini mshaanza kuchagua makafiri? Tena wanaoshadadia ubasha, tobaaaaa
 
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....

CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....

Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..

NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.

Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Polepole yupo busy kujenga ghorofa mbezi na masaki kwa pesa alizopiga panga kwenye fungu la kuihujumu chadema na kajipanga kuishi kama chama cha upinzani ndiyo maana yeye anakwapua chake mapema hataki kushangaa shangaa
 
Kumalizia kampeni Dom na kuacha majiji kama Mwanza ama Dar ni mistake sana.
ngoja nikatafute maji ninywe kwanza alafu ntarudi.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Kwa takwimu za mvutaji Bangi sawa, lakini kwa takwimu za kidunia uchaguzi ukiwa huru na haki CCM wajiandae kuwa chama cha upinzani kama Kanu ya kenya
 
Ninavyowajua hwa polisisiemu Lisu aktaka kwenda huko mtwara lazma wamzingue kuwa usalama mdogo ili asifanye kampeni.
 
Ninavyowajua hwa polisisiemu Lisu aktaka kwenda huko mtwara lazma wamzingue kuwa usalama mdogo ili asifanye kampeni.
 
tatizo mnapost vitu bila kufanya utafiti
sheikh ponda na sheikh Rajabu katimba kwa sasa katika uislam awana jpya
waislam hivi sasa wanatumia taranta tofauti kakika harakati za kiislam
wao masheikh wenu wawili ponda na katimba ni masheikh dili (mission town
waislam hivi sasa na ponda ni kama bange na polisi
ponda alikuwa mwembechai baadae mtambani kisha harakati zikaamia tungi temeke
baada ya ponda waislam kumpigania kwa hali na mali alivyokuwa jela siku ya kuachiwa huru pale morogoro siku hiyo hiyo akawaacha waislam kwenye mataa akaungana na chadema pale morogoro na kupanda magari ya chadema
waislam nao wakamzalau pale pale na ponda kuonekana kachagua siasa badala ya DINI
uwenda ulikuwa haujui sasa nakujulisha leo ponda yule katika harakati za kislam mbaka ponda huyu msaka tonge katika majukwaa ya siasa
Ww ni muongo sana. Tena haya maoni yako yametoka ktk Masaburi yako na siyo kichwani. Mlipomuweka ndani hivi juzi kati uliona reaction ya waislaam(Sio BAKWATA)? jifariji tu wewe na waovu wenzako. Kilio cha haki lazima kisikike, km mnata au hamtaki.
 
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....

CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....

Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..

NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.

Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Kwa hapa nakubaliana na usemi,kuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu . Ni wachache wanaokuwa wakweli kutoka kwenye nafsi zao.
 
Sheikh Ponda na Lissu Babati....mji umelipuka kwa shangweeeeh ...na rudia tena uchaguzi huu ni wa Ki Historia
 
Nimeanza kuamini CCM inang'oka mwaka huu, Jiwe ni very strong opponent sababu amebrainwash vilaza wengi ila still moto wa Lissu si wa mchezo. Tumpumzishe jiwe aende chato akanywe uji tuacheni ujinga, miaka zaidi ya 50 toka nchi ipate uhuru maendeleo ya kijinga hadi leo umeme unakatika alafu mmekaa mnachekeana na makalio, Kenya tu toka mwaka 2000 umeme ulikua haukatiki ovyo, leo 2020 umeme unakatika almost kila wiki Tanzania? Alafu jinga linakuja kusema magufuli chaguo la mungu, hahaha chaguo la mungu au shetani? ovyo kabisa
 
Chadema kumchukua Ponda kura zitazidi kushuka mfano ni Mbeya pia kura zitashuka sana sababu ya Askofu Mwamakula ambaye Lisu amekuwa akizunguka Nate

Mbeya mjini waumini wengi ni wa kanisa LA Moraviani na sana hadi chuo kikuu pale kikubwa mno .Sasa Askofu Mwamakula alifukuzwa na Kanisa la Moravian Lisu akaenda naye Mbeya akimnadi kama Askofu !!! Makanisani wakaanza kumsema vibaya Lisu na huyo Askofu wake wa kuchonga na wameapa tarehe 28 hawatampa kura sababu yuko pamoja na muasi

Ponda pia ni muasi wa kiislamu alikuwa mwanaharakati wa kiislamu akatibuana na waislamu wenzie Lisu kambeba eti shehe wake!!!

Katika watu wa 3 wajinga Upo kwenye top 2, Hakuna udini wa kiwango hicho Tanzania
 
Back
Top Bottom