Alhaji Sheikh Ponda: Game Changer kwa kura za Waislamu

SEMA WEWE UNAMUUNGA MKONO SIYO WAISLAMU WOTE. KUUNGA MKONO NI HAKI YAKO LAKINI WEWE SI MSEMAJI WA WAISLAM WOTE

Wewe yuko sahihi, wewe ndio unaandika utopolo. Iko hivi we Mataga >> WAISLAM WOTE TUNAMUUNGA MKONO SHEIKH PONDA NA LISSU. INSHALLAH LISSU ATASHINDA URAIS NA MASHEIKH WETU NA WAISLAM KWA UJUMLA WATANUSURIKA NA UDHALIMU WANAOFANYIWA SASA NA JIWE NA WATU WAKE.
 
TUNDU LISSU UJIO WAKO UMETUOKOA SANA WATANZANIA, SIPATI PICHA JIWE ANGETUNYANYASAJE UCHAGUZI HUU! INGEBIDI TUNDAMBAE NA BM TU!!

UBARIKIWE SANA TL NA UZAO WAKO WOTE. NA UJIANDAE KWA URAIS WA TANZANIA TU SASA.
 
Huenda mpumbavu ikawa ni wewe., dini na siasa ni baba mmoja mama mmoja, kiongozi wetu na mtukufu wa daraja Mtume wetu Muhammad S.A.W alikuwa anaongoza dola ya kiislamu, vipi utaongoza na kushika dola za kiislamu bila ya kuwa mwanasiasa, kilichomvutia Sheikh Ponda kwa Tundu Lissu ni kwamba pamoja na kwamba Lissu ni mkiristo lakini mara zote Lissu amekuwa akisisitiza katika uongozi wake atakuwa anatenda HAKI na haki ndio msingi mkuu wa dini ya Kiislamu, kwanini Waislamu wachelewe kuumunga mkono mtu ambaye ataongoza kwa haki?
Wewe utakuwa mpumbv mwenzao ukishaweka mambo ya dini kwenye siasa ndani ya nchi yenye dini tofauti tegemea machafuko. Facts.
 
Mi nikijana wa Kiislam nina umri wa miaka 32, Sijawahi kupiga kura hata mara moja na niliapa sitokaa nipige kura.
Sheikh Issa Ponda ndio Sheikh wangu baada ya kufariki Sheikh Ilunga (Allah amrehemu).
Kutokana na Sheikh Ponda kutaka Waislamu wote tumpigie kura Tundu Lissu basi kwakua yeye ndio Sheikh wangu basi kwa Mara ya kwanza mwaka huu nitapnga mstari kupiga kura tena nitampigia Tundu Lissu.
 
Mimi ni nani katka chama? Nape yupozake huko anabangua korosho, mwigulu anakamua zake alizeti.... Hahaha alisikika mfia maji mmoja
 
Clip ya shehe inazunguka kwenye maguroup ya waislamu balaa toka jana usiku ..

Kuna group moja nimo la shule ya kiislamu hii clip imerushwa watu wote na walimu wame react very postive.......

Aisee yaani ni kwamba CCM haina chake kwenye uchaguzi huu.

Jana baada swala waislam tuliijadili clip ya Sheikh wa Dar na hii ya Sheikh Ponda.Baada ya majadiliano marefu Waislam wote kwa kauli moja tulikubaliana na hoja ya Sheikh Ponda.
 
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....
waislam gani hao unaowaongelea?
Ni lini waislam wa Tanzania waliwahi kufuata maelekezo ya Ponda?acheni kujidanganya Ponda ni mpiga debe tu kama yule askofu wa kagera
Enzi za upinzania wa kweli kulikwa na sheikhe anaitwa Kassim Mtopea,huyo alijipambanua dhahiri kabisa na kuambatana na mrema kila sehemu,lakini hakufua dafu
Tundu lissu na waislamu wapi na wapi
 
Tuendelee ama tusiendelee,alisikika polepole kwenye jukwaa hahhahaaahaaaahaha
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....

CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....

Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..

NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.

Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
 
Mimi nipo kwenye group la masheik hawamtambui huyo Ponda na wala hata sidhani kama kuna atayekwenda kupiga kura kwa influence yake.

Wewe upo group la KKKT bwashee,tunakujua ni msharika wa Kijitonyama.
 
Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....

CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....

Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..

NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.

Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Tulia wewe, Polepole na Bashiru wanaendesha kampeni za kisayansi, kabla ya kuanza kampeni walikuwa na ushindi wa zaidi ya 70%, sasa hivi wana wanachama milioni 17 na kila mwanachama ameambiwa akatafute watu watatu wa kuipigia kura CCM, inamaana Chama kinaungwa mkono na watu milioni 51, idadi ambayo ni kubwa kuliko hata wapiga kura waliojiandikisha.
 
Kila mtu ashinde mechi zake.
MaCCM mjifunze kuvumiliana, mbona Sisi wana CHADEMA tunawavumilia na mateso yote mnayo tupatia.
 
Kura haziibiwi kwenye kituo cha kupiga kura, kura za Rais zinaibiwa kwenye majumuisho ya nchi nzima.

Hakuna namna yoyote ya kuiba kura mkiwa na mawakala wakweli na mkawa na senta yenu kila kata ya kujumlisha kura za diwani, kura za jimbo na kura za Rais.

Huitaji Tume ya uchaguzi kukutangazia mshindi, mshindi mnamjuws nyinyi wenyewe mkiwa na timu nzuri ya kuratibu ukusanyaji wa nakala za matokeo kila kata, jimbo na mkoa kwa ujumla.

Maalim Seif huwa anakuwa ameshaliza majumuisho ya kura kabla ya Zec na ndio maana Jecha akaona isiwe tabu bora afute uchaguzi.

Nina wasiwasi mkubwa na Chadema sidhani kama wana timu ya uhakiks ya kusimamia kura za urais.

Makao makuu ya Chadema pamepwaya hakuna briefings zozote za uchaguzi badala yake sasa Lisu ndio anaibeba Chadema.

Kwenye uchaguzi uliopita Ukawa walikuwa na ngome yao Kawe kwa ajili ya briefings, kule Kenya Odinga alikuwa na ngome yao waliita Pentagon ndio ilikuwa inaratibu, lakini Chadema sijui tatizo ni nini?

Bila Lisu kurudi ni kweli Chadema ilikuwa inakwenda kupata aibu ya mwaka, ila Mungu mkubwa Lisu amerudi amebadili upepo ccm inakwenda kuangushwa, lakini kuna mikakati gani ya kichama badala ya kumtegemea Lisu kwa kila kitu?
Mkuu sitaki kuwa msemaji as chadema katika hili ..lakin ninauhakika hawawezi kukosa kitu kama hicho na lazima kitakuwa kwa siri mahali fulani kwani uchaguzi ukipoita sote tunakunbuka nini kiliwapata

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
80 Reactions
Reply
Back
Top Bottom