Mzungu akiongea na ccm huitwa kwa jina la Nchi yake, lakini huyo Mzungu akiongea na chadema huitwa BeberuMarekani au Mabeberu?
Mzungu akiongea na ccm huitwa kwa jina la Nchi yake, lakini huyo Mzungu akiongea na chadema huitwa BeberuMarekani au Mabeberu?
Huko siyo kujua huo ni utabiri wa kichawi unawaza kiuchawi hauwazi kiuhalisia, ccm ya sasa ni ccm ya hovyo mno hakuna maendeleo hakuna chochote vyombo vya dola vinatumika vibaya, wananchi wamekosa furaha hakuna mwenye Akili timamu anaipenda ccm tenaMimi ninachojua kabla ya Kampeni CCM walikuwa na 'uhakika' tayari kwa Kura Milioni 14 na Kampeni zikielekea 'Ukingoni' hivi wana Milioni 22 zao.
Magufuli anaogopa kutoka ikulu kwa ana hofu kubwa ya kuandamwa na utitri wa kesi kuliko Jacob zuma wa Africa kusini ndiyo maana anafanya kila mbinu asalie ikuluUnamshambulia wrong enemy. Tatizo la kwanza ni Jiwe mwenyewe
Hahaha wamarekani nao wanapiga kura?!Shehe Ponda hamzidi umaarufu shehe msomi Dr alhad Musa Salum wa Bakwata ambaye jana amepongezwa na Marekani.
Maendeleo hayana vyama!
Hebu nitolee huu 'Ushuzi' wako hapa tafadhali.Huko siyo kujua huo ni utabiri wa kichawi unawaza kiuchawi hauwazi kiuhalisia, ccm ya sasa ni ccm ya hovyo mno hakuna maendeleo hakuna chochote vyombo vya dola vinatumika vibaya, wananchi wamekosa furaha hakuna mwenye Akili timamu anaipenda ccm tena
Kama masheik wenyewe ni wale wa ccm,yaani bakwata hao sawa tuMimi nipo kwenye group la masheik hawamtambui huyo Ponda na wala hata sidhani kama kuna atayekwenda kupiga kura kwa influence yake.
Waislam tunamuunga mkono Tundu Lissu.
1.Masheikh wetu wanaozea jela mwaka wa 7 huu kesi haisikikizwi hukumu haitolewi.Sababu gani dini yote mkamuunga yeye mkono?
Bado naona 'Ushuzi' wako tu hebu nitokee hapa tafadhali!Huko siyo kujua huo ni utabiri wa kichawi unawaza kiuchawi hauwazi kiuhalisia, ccm ya sasa ni ccm ya hovyo mno hakuna maendeleo hakuna chochote vyombo vya dola vinatumika vibaya, wananchi wamekosa furaha hakuna mwenye Akili timamu anaipenda ccm tena
1.Masheikh wetu wanaozea jela mwaka wa 7 huu kesi haisikikizwi hukumu haitolewi.
2.uonevu katika nchii hii umezidi watu wanatekwa wanapotea wanauliwa na serikali haichukui hatua
3.vyama vya upinzani hawapewi "fairly ground " tofauti na wenzao CCM
4. Wazanzibari hawana uhuru wa kuwachagua viongozi wanaowataka
5.vijana wetu wamemamaliza vyuo tangu 2015 Ajira hakuna.
6. Mengine utaongezeaa.....
Hahaaaaaa mbavu zangu 😂 😂 😂
Bwana weee afadhali umeliona hili 😂 😂Hata hivyo CCM toka lini ikashinda kwa kura? Labda kama NEC na Polisi nao wameslimu.
Gari ya Mkaa, Trip moja Shamba Trip ya Pili Gereji.Kampeni awamu hii pumzi kwisha kila wiki mapumziko, hakuna tena push-ups mamamae.... Dr Kisenge kasema asilaumiwe kwa kuzorota kwa afya ya bwana yuleee!
Kuna slogan inatumika kupakazia uislam pindi muislam akijitokeza ktk siasa za tz, wenye kumbukumbu wanajua kilichokuwa kinamuandama Kikwete akiwa rais. Huyu ponda atasakamwa na hiyo slogan pia, wamesahau kwamba huyu ni miongoni mwa watanzania walioshambuliwa hadharani na vitu vyenye ncha kali (kwa mujibu wa ripoti ileee) sio mwoga tena na ni pacha wa Lisu kwa aliyoyapitia. Asidharauliwe na chama cha mapinduzi ana wakilisha wapiga kura huyu. Msije mkajisahau.tatizo mnapost vitu bila kufanya utafiti
sheikh ponda na sheikh Rajabu katimba kwa sasa katika uislam awana jpya
waislam hivi sasa wanatumia taranta tofauti kakika harakati za kiislam
wao masheikh wenu wawili ponda na katimba ni masheikh dili (mission town
waislam hivi sasa na ponda ni kama bange na polisi
ponda alikuwa mwembechai baadae mtambani kisha harakati zikaamia tungi temeke
baada ya ponda waislam kumpigania kwa hali na mali alivyokuwa jela siku ya kuachiwa huru pale morogoro siku hiyo hiyo akawaacha waislam kwenye mataa akaungana na chadema pale morogoro na kupanda magari ya chadema
waislam nao wakamzalau pale pale na ponda kuonekana kachagua siasa badala ya DINI
uwenda ulikuwa haujui sasa nakujulisha leo ponda yule katika harakati za kislam mbaka ponda huyu msaka tonge katika majukwaa ya siasa
Hamna haja ya kuandaa speech mbili!Nidiriki kusema mchezo umeisha na CCM tumeliwa hadaharani.... Ingizo la Sheh Ponda katika kampeni za Lisu ni total disaster kwetu CCM.... Kwa ratiba ya Lisu niliona jana ataenda huu ukanda wa Kibiti, Rufiji, Lindi, Mtwara na Ruvuma pia.... Huko kwa Waislamu Sheh Ponda ananguvu kama ya Tsunami... Sheh Ponda ana command kubwa kwa waislamu kuliko BAKWATA....
CCM tushafanya a big mistake kwa kweli....
Suala la pili ni Lisu kumaliza kampeni Dar es Salaam. Wakati Mgombea wetu tarehe hiyo 27 atakuwa mapumnziko Chamwino... Yaani Lisu kumaliza mziki Dar is another disaster... Itakuwa ni funga kazi na atakomba kura zote Mlm 3 za Dar..
NB:.. Bashiru na Pole Pole lazima tuwambie ukweli. Hizi kampeni za safari hii mmechemsha sana sana. Mlijua kabisa nyie ni wageni wa kuja, hamjawahi kushiriki uchaguzi wowote ule toka mzaliwe hata wq serikali ya kijiji, mkajifanya mnajua kila kitu na kuminya wengine wenye ushawishi ndani ya Chama. Sasa angalieni matokeo yake.
Kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani tokea tupate uhuru anaandaliwa speech mbili. Ya kushukuru kwa ushindi na at the same time anandaa speech ya kukubali kushindwa... You have really put us in a mess You two people... Tukivuka hili, basi mjiandae kabisa na mfunge kabisa mabegi yenu. Hatuwezi kukubali kuingia na nyie tena katika uchaguzi wa 2022 na 2025.... Kama TUKISHINDA ingawa sioni dalili
Day dreamingUsiogope mkuu, Ccm kuna mbinu nyingi za kushinda sio lazima iwe kwenye sanduku la kura.