Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

na wale waliokufa kwa ajili ya CUF, na wale waliokufa kwa ajili ya uislamu ( mwembechai + zanzibar),, acheni hizo CDM.
Mbona wewe hukufa kwa ajili ya CDM upo mpaka leo,, aaaah kumbe huipendi CDM ndio maana hukufa!!!!
Mbona hamkuwaunga mkono CUF waliposema wameibiwa kura 2005??? CDM kweli wasaliti...

Wasaliti lakini ni wajinga pia
 
Hili ni suala la muda tu.Zitto lazima atatoka chadema kwa kufukuzwa au kwa kujiondoa mwenyewe.Tusubiri tu.Damu za waliokufa kwa ajili ya Chadema zinapiga kelele,msaliti atatoka tu hata ikulu ikiwa upande wake.
Hayo ndio maneno huo ndio ukweli,kufa kesha kufa tunasubiri mazishi.

 
Nilidhani alifanya kama wakili akimteatea mteja wake, kumbe ni sehemu ya uasi!
 
Jamani kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa Mzee 6 ni mwanzirishi wa CCJ wakiwa na mlopokaji Nape. Sasa iweje aseme CCM wakichagua mtu asiyekubalika upinzani utachukua nchi kiurahisi au asipochaguliwa kuwa mpeperushaji wa bendera ya CCM atakimbilia CCJ kupeperusha? Huyu Mzee anazeeka vibaya sijui tatizo lake lilitokana na walipomletea mizengwe ya kuwa mgombea wa Uspika lazima awe mwanamke hivyo kwa kuwa muda ulikuwa mdogo kwa yeye kujibadilisha anaona ni bora kuwavuruga tu sasa ili tukose wote...

Well said Msando,uliyoyaandika unaonyesha ukomavu wa fikra na usomi usio wa kupindapinda.
 
Najaribu kuelewa tu Kashaga. Kwani Kamati Kuu ilikwishamchukulia hatua za kinidhamu Zitto? Si ndio process ilikuwa inaendelea. Walimapatia makosa 11, akatakiwa awasilishe utetezi, ndio Kamati Kuu ingetoa maamuzi. Labda kwa utetezi wake KK ingeridhika na kuamua vinginevyo. Kisha baada ya hapo ingefuata rufaa Baraza Kuu. Kwa mfano, Dr Kitila na Mwigamba, baada ya kuvuliwa uwanachama na KK sasa wana haki ya kikatiba kukata rufaa BK dhidi ya mamuzi yao. Sasa Zitto anataka kukatia rufaa maamuzi yepi?
Awo

Kesi hii inaanza mwezi ujao nakuhakikishia wanao mshangilia Msando leo hapa watamcheka!Chini ya ushauri wa Prof Safari na Mabere Marando CHADEMA itashinda kesi hii!Kibatala atashinda kesi hii kwa uwazi kabisa

Mahakama imetoa tu angalizo chini tena ya kiapo cha dharura(Wadhamini wa CHADEMA hawakusaini affidavit)kuwa Zitto asijadiliwe hadi kesi yake ya msingi iishe lkn mbumbumbu wa sheria wapo mitaani kumshangilia Msando!

Zitto HAKUADHIBIWA na CC-CHADEMA na kuvuliwa Unaibu Katibu Mkuu sio adhabu maana cheo hicho sio cha kupigiwa kura!
 
Last edited by a moderator:
So umeamua kuachana na snitch na kufuata ma snichest...

Anyway, tunajua kuwa Kumfukuza sawa mnaweza na mtamfukuza, ila sababu za kumfukuza na utaratibu mnaoutumia sio. Muhimu kawafundisha hilo. Hataondoka Chadema kikondoo bali kishujaa.

Go to hell.
 
Nyinyi kwa mitusi tu hamjambo yaani kuliko ata mabaradhuli

Ukosefu wa uvumilivu kisiasa, si matusi tu bali ngumi mkononi:boxing:, kuwekeana mitego:tongue: na kufukuzana.

Wanataka wananchi wote tuwe na fikra za aina moja, then wanajiita wanachama wa demokrasia...:A S thumbs_down:
 
Ukosefu wa uvumilivu kisiasa, si matusi tu bali ngumi mkononi:boxing:, kuwekeana mitego:tongue: na kufukuzana.

Wanataka wananchi wote tuwe na fikra za aina moja, then wanajiita wanachama wa demokrasia...:A S thumbs_down:
Free mason!!
 
''CHADEMA sio mtu binafsi. Ni taasisi....'' Je cc ya CHADEMA, iliyofanya maamuzi hayo siyo taasisi? Kwa nini tunazungumzia sana Mbowe, Slaaa etc wamefanya hiki na kile wakati maamuzi yamefanywa na kamati kuu??
 
Jinsi tu Msando alivyoongea anaonekana yuko smart sana kichwani,Ameongea point ya msingi sana.Haya wale wasioweza kabisa kutumia akili zao ipaswavyo katika kudadavua mambo ya msingi na hoja madhubuti kama hizi ni fursa yenu nyingine kuporomosha mitusi,kumwaga kashfa na kuwaita wenzenu majina ya dharau kama mlivyokwishaanza kufanya hapa.Hatuwalaumu ndio upeo wenu wa kufikiri ulipogotea hapo.Kwa tulio na akili zetu kubwa na huru Msando tumekuelewa sana na hongera kwa maneno ya busara na yenye kuonyesha ukomavu wa hali ya juu wa kifikra na kimawazo.

hapo kweli mkuu..wasiojielewa watakuja kuendeleza matusi
 
Msando kajiingiza mkenge yeye mwenyewe... Ngoja tumfukuze kwanza zitto then kipanga kitakufuata wewe mwenyewe bwana Msando maana nawe ni sehemu ya masalia tunakujua kaka.
 
Cheupe macho kama umekula kungu,,!!!

Unajiandaa kufanyiwa kitchen party nini??

HASARA TUPU,,MTOTO WA WATU WEWE,SI MCHANA SI USIKU,MTOTO SI MALI KITUUU,,,

ONA SURA YAKO CHEUPE,UNAPENDA KUJIPODOAAA,UNAPENDA KUJICHUBUAA,UNAPENDA KUTUZINGUAA,KUMBE NI KAKA POAAA,,USIMUONE AMEPOAAA.KATOKA KUSASAMBUAAA,,VIUNO UNANENGUAA,,WANAKUOPOAA...

CHEUPE BHANA,USILIEE BASI..

Afisa ugavi punguza emotional kwenye maandishi yako.
 
We ni mtoto mdogo tu, CDM umeanza kuipenda juzi tu (2010) Usiwaongelee mbovu watu ambao nusu ya maisha yao wameyatumia kukijenga Chama.

Hoja ya msingi ni kwamba wametumiaje hiyo nusu ya maisha au maisha yao kwenye taasisisi/chama?? Huwezi kuniambia kwa kuwa tuu mwanachama amekulia kwenye chama, hata kama anakihujumu chama ili afaidike binafsi, ataachwa tu kwa kuwa amekulia kwenye chama!! Ndiyo maana ukiangalia kwa umakini sakata lote hili utaona kwamba ZZK ni mbinafsi kupindukia, kwani angejiuliza kwa nini kamati kuu yote yenye wajumbe wengi na mahiri (Mpaka maprofesa!!) iwe na kauli moja? Hivi wewe kama ni kiongozi kazini kwako ukagundua wafanyakazi wenzio wote hawakutaki si lazima ujiulize una kasoro gani? Kama ni mimi lazima niondoke kwenye hicho kituo cha kazi maana hakuna kazi itakayofanyika. Pili tujifunze kujibu hoja kwa hoja na si kuitana majina mabaya ( wewe ni mtoto..) anaweza kuwa ni sawa na mzazi wako huyo unayemkashifu.
 
Msaliti na kibaka wa CM ana Phd ya kupokea rushwa auwe chama ndiye atakeshindwa awe ndani au nje ya chama
mkuu unaongelea yupi? maana wote hao Zitto na Mbowe ni wachumia tumbo tofauti yao ni mwengine anachukua fungo kubwa na mwengine dogo. Basi.
Nakumbuka mbowe alipoulizwa juu ya kuchukua mil . 40, kisha mil 20 na baadaye 100 kutoka kwa mkono alisema tatizo sio kuchukua hela, tatizo ni matumizi yake? hii kauli unaionaje? kati ya zitto na mbowe nani msaliti wa wananchi? weka uchadema wako pembeni kwanza ndo uone hilo.
 
na wale waliokufa kwa ajili ya CUF, na wale waliokufa kwa ajili ya uislamu ( mwembechai + zanzibar),, acheni hizo CDM.
Mbona wewe hukufa kwa ajili ya CDM upo mpaka leo,, aaaah kumbe huipendi CDM ndio maana hukufa!!!!
Mbona hamkuwaunga mkono CUF waliposema wameibiwa kura 2005??? CDM kweli wasaliti...
Mimi sijasaliti chadema,Zitto amesaliti chadema.Nina wasiwasi na uelewa wako kuhusu maoni yangu kwa sababu sioni ni kwa jinsi gani unaingiza masuala ya cuf na uislamu katika hoja hii ya usaliti wa Zitto kwa Chadema.
 
Mimi naomba wanasheria wanisaidie,! Hivi mahakama inaweza kuingilia shughuli za chama ambacho kipo kisheria na kinajiongoza kwa katiba yake? Kwanini mahakama isiache chama kisimamie miiko na maadili yake? Naomba wanasheria wanipe jibu napata shida sana ni sawa na mtu anayelazimishwa kumuoa mke asiyemtaka, ndoa itavunjika tu!!!!!!!!!!! Basi mahakama kwakuwa ina mamlaka makubwa hivi iongeze idadi ya wanachama kwa vyama vyenye wanachama wachahe kwa mamlaka iliyopewa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! "MUNGU IBARIKI CHADEMA"
 
Back
Top Bottom