Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Albert Msando: Hatushindani na chama au wanachama wa CHADEMA

Eti,,mwalimu,,sijui nani kawaambia mimi ni mtaaluma hiyo..

Unajaribu ku-tabir lakin unashindwa na unahangaika sana,pole sana,

Even though siwez kuidharau na kuibeza taaluma hiyo,kwan bila walimu hao unaowadharau nisingefika hapa,au usingefika hapo,,lakin hiyo sio professional yangu,,vip unataka kuijua proff yangu??nikusaidie nikutoe kwenye hiyo tabu??

Mwehu kweli wewe,usiish maisha ya kulabdia labdia,,,watu tuna maisha yetu,,na hatutii huruma kama vikaragosi wa wanasiasa nyinyi,,

TUPO HAPA KWA KAZI MOJA TUH,KUPIGANIA RASILIMALI ZA TAIFA,KUWATESA WANASIASA NA KUKEMEA UKANDA UDINI NA UKABILA AT ANY COST AND BY ANYMEANS NECESSARY,,

WHETHER YOU LIKE IT OR NOT,YOU HAVE TO FACE IT MWEHU WEWE

UKikuta mtu mzima aliyejitambulisha kuwa mpambanaji chini ya miezi sita unakuta analamba viatu vya watu ujuwe ndio mwehu,usiite wenzio wehu wakati unashinda JF kwa ajili ya character assasination unaattack personalities za watu,kabila na dini za watu what a nasty great thinker unatukana maumbile ya mtu ya kuzaliwa halafu unajiita unakili au unamaisha mshamba wa gesi haitoki ndio maana you failed the battle kwa sababu kichwani maji matupu
 
So umeamua kuachana na snitch na kufuata ma snichest...

Anyway, tunajua kuwa Kumfukuza sawa mnaweza na mtamfukuza, ila sababu za kumfukuza na utaratibu mnaoutumia sio. Muhimu kawafundisha hilo. Hataondoka Chadema kikondoo bali kishujaa.
bora umewaambiwa ukweli hawa vifaranga wa wahafidhina. lengo lao ni kumuangamiza Zitto. Njama zao hizi OVU hazitashinda kamwe under this sun. Akiwa chadema au nje yake.
 
Da Freema Agyeman ... nilijiunga Chadema nikiwa chuo inspired by Zitto Kabwe...inaniuma kuwa nilimfuata snitch!
Hata kwenye dini wanasema fata maneno usifuate muenendo wake... nadhani hata huyu jamaa zioe sera zake enzi zile zaweza kuwa fundisho ziri tu, ila huu ukuda alioufanya sasa ni aibu, anayemsupport namshangaa sana, mtu anahongwa mshiko mrefu vile tena kutoka kwa mbaya wako na sasa kasambaratisha chama afu bado ati mtu anamsupport
 
Mhavidhina Mbowe,Mhavidhina Dr Slaa na Mhavidhina Mtei! Mmepauka kimawazo!
 
Kwa sasa chadema family wakiona jina la msando mahala wote kichefu chefu.

Nope. Only if you do not understand relationships between Msando and CHADEMA bigwigs. Huyu mbona ni mtoto wa nyumbani?
 
bora umewaambiwa ukweli hawa vifaranga wa wahafidhina. lengo lao ni kumuangamiza Zitto. Njama zao hizi OVU hazitashinda kamwe under this sun. Akiwa chadema au nje yake.
Msaliti na kibaka wa CM ana Phd ya kupokea rushwa auwe chama ndiye atakeshindwa awe ndani au nje ya chama
 
Right on the money, wameamua either wachukuwe uongozi au wavunje chama.I saw this coming.Kazi kweli kweli.Naanza kukumbuka yale maneno yako kuhusu mustakabali wa hiki chama.Very sad yani kwa demokrasia nchini.

Mushi!!watauwaje chama wakati sasa kesi imerudishwa kwenye chama ili wenye chama(Baraza Kuu) waimalize.Kama Zitto hatakiwi si Baraza Kuu litamfukuza tu na mambo yanaisha.Ila ukiona watu(Viongozi) wanaogopa kuitisha Baraza Kuu ujue kuna tatizo...wanaogopa nini?
 
Msando na zito wote ni makanjanja tu.Usaliti hauna haki milele.Lazima wasaliti washughulikiwe ikibidi hata kwa lazima.
 
Mushi!!watauwaje chama wakati sasa kesi imerudishwa kwenye chama ili wenye chama(Baraza Kuu) waimalize.Kama Zitto hatakiwi si Baraza Kuu litamfukuza tu na mambo yanaisha.Ila ukiona watu(Viongozi) wanaogopa kuitisha Baraza Kuu ujue kuna tatizo...wanaogopa nini?

Baraza kuu litaitishwa kwa taratibu ambazo chama kimejiwekea na mfuasi na mamluki wa CCM kupitia mahakama hawezi kuendesha chama kwa taratibu za mahakama au CCM ,
 
Da Freema Agyeman ... nilijiunga Chadema nikiwa chuo inspired by Zitto Kabwe...inaniuma kuwa nilimfuata snitch!
we kifaranga wa wahafidhina. lengo lenu ni kumuangamiza Zitto. Njama zenu hizi OVU hazitashinda kamwe under this sun. Akiwa chadema au nje yake.
kama hata wewe mwenyewe umeingia chadema kwa ushawishi wa Zitto. leo hii kutaka kugombea uongozi imekuwa ndo kaburi lake?
kisa tu amegusa maslahi ya hayatula mtei wa tengeru? Demokrasia ipo wapi hapo? chacha wangwe alifanyiwa hivi hivi. hatujui atakaeyefuata, pengine atakuwa lisu au slaa.
amka, chukua hatua.
 
jamaa kaongea vitu vya msingi na mwenye AKILI TIMAMU kagungua kuwa ZITO Bado anatuhuma za kijibu na kufukuzwa ni haki yake.

Upo sahihi mkuu, Albert anajua Zitto ameboronga vya kutosha CDM na anastahili kufukuzwa uanachama ila anachoomba kama wakili mtetezi ni afukuzwe kwa taratibu na kanuni zilizowekwa na chama. Angalia hii sentensi yake.

"Kinachohitajika sasa sio kutafuta mchawi. Ni jukumu la kila mmoja wetu kuwajibika ipasavyo na kuhakikisha suluhu inapatikana. Na niseme wazi kabisa, kama suluhu ni mtu kufukuzwa basi tuhakikishe hilo linafanyika kwa mujibu wa Katiba na Kanuni kwa kuzingatia haki za msingi kama ambavyo tumekuwa tukipigania".

Wote kwa pamoja na Albert Msando na tuseme ZZK afukuzwe rasmi chadema baada ya kesi yake ya msingi kusikilizwa na kuamliwa hapo february 2014.
 
Huyo dogo Musando ndo kaandika nini?

Kama hashindani na chama, sasa kesi kafungua dhidi ya nani?
 
Jinsi tu Msando alivyoongea anaonekana yuko smart sana kichwani,Ameongea point ya msingi sana.Haya wale wasioweza kabisa kutumia akili zao ipaswavyo katika kudadavua mambo ya msingi na hoja madhubuti kama hizi ni fursa yenu nyingine kuporomosha mitusi,kumwaga kashfa na kuwaita wenzenu majina ya dharau kama mlivyokwishaanza kufanya hapa.Hatuwalaumu ndio upeo wenu wa kufikiri ulipogotea hapo.Kwa tulio na akili zetu kubwa na huru Msando tumekuelewa sana na hongera kwa maneno ya busara na yenye kuonyesha ukomavu wa hali ya juu wa kifikra na kimawazo.

Umenena vyema mkuu!
 
So umeamua kuachana na snitch na kufuata ma snichest...

Anyway, tunajua kuwa Kumfukuza sawa mnaweza na mtamfukuza, ila sababu za kumfukuza na utaratibu mnaoutumia sio. Muhimu kawafundisha hilo. Hataondoka Chadema kikondoo bali kishujaa.
hatujali na hatutajali kama ataondoka kikondoo au kishujaa kama usemayo wewe.sisi muhimu kwetu ni kumjua kirusi aliye ndani ya chama chetu ambaye amekuwa akisema kuna kirusi kumbe ni yeye mwenyewe! muhimu zaidi ni kukiondoa kirusi hiki ndani ya chama na kwenye hili we are serious, committed,focused and of course united!
 
We ni mtoto mdogo tu, CDM umeanza kuipenda juzi tu (2010) Usiwaongelee mbovu watu ambao nusu ya maisha yao wameyatumia kukijenga Chama.

TeHe tehe tehe! Sasa anataka kutumia nusu ya umri wake uliobaki kuharibu chama. Zitto bhana.
 

Attachments

  • attachment(16).jpg
    attachment(16).jpg
    7.8 KB · Views: 155
Back
Top Bottom