Mapochopocho
Member
- Jan 22, 2012
- 13
- 0
Mimi naomba wansheria wanisaidie, hivi chama ambacho kipo Kisheria hakiwezi kujiongoza kwa katiba yake? Mahakama ina mamlaka gani kung'ang'aniza mtu abaki chama fulani? Chama kiachwe kijiendeshe kwa katiba yake na kusimamia miiko na maadili yake. Hii ni sawa na kulazimishwa kuoa mke usiyemtaka, ndoa itavunjika tu!!!!!!!!!!!!!!! Kama mahakama ina mamlaka makubwa namna hii basi kwa mamlaka iliyonayo iongeze idadi ya wanachama kwa vyama vyenye wancham wachache!!!!!!!!!!!!!!!! Naomba wansheria mnipe jibu kama mpo. "MUNGU IBARIKI CHADEMA"